ndugu hebu funguka vizuri bana kama unatubania uhondo vile... unajua sisi wengine ambao mahesabu yametupita ukianza kutaja squire mita basi ndio hatuelewi kabisa..ok najua wewe kama mtaalam unaweza ukaniambia mzunguruko wa tank wa kiasi gani unaweza ukaweka samaki 1000(mfano) inawezekana nikaenda kwenye viwanda vya plastic tank nikatoa order wakanitengenezea ukweli ufugaji wa samaki ukisoma maelezo utajiri unauona huu hapa ila tukija kwenye utendaji hasa huu ufugaji wa kisasa ni shughuli pevu....na hapo unaposema unajaza maji kwa lita moja sijakupata kidogo... halafu hivi hizi pump unakuwa unaiwasha kwa muda au ni kuanzia unapoingiza samaki mpaka unapowavuna... chanzo changu cha maji nategemea maji ya kuleta na gari ambayo sio ya chumvi.... hii project kk inaniumiza kichwa acha ukweli ninao kuku wa nyama ni mmbadala wa samaki ila nikipata taarifa za kutosha kuhusu ufugaji huu kweli murrano yangu naiona ilee ikitokea japan....over