Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Hebu nifahamishe inakuwaje samaki wankuwa hawakui?

Nimejaribu mara tatu na ninafuata maelekezo ya kitaalam lakini hakuna mafanikio
 
Hebu nifahamishe inakuwaje samaki wankuwa hawakui ?
Nimejaribu mara tatu na ninafuata maelekezo ya kitaalam lakini hakuna mafanikio
Haa itabagumba mi nakaa mbugani pale......

Ulishaji wako ukoje?unawapa chakula inform of unga au pellets?vipi maji ya bwawa unayarutubisha?na je huyo aliekuuzia mbegu performance yake shambani unaijua?
 
Reactions: SDG
Haa itabagumba mi nakaa mbugani pale......

Ulishaji wako ukoje?unawapa chakula inform of unga au pellets?vipi maji ya bwawa unayarutubisha?na je huyo aliekuuzia mbegu performance yake shambani unaijua?
tunajitahidi kufuga kisasa maelekezo yote tunafuatia labada hilo la muuzaji lakini tumenunua vifaranga sehem tofauti

Karibu mrumoni
 
 
mambo samahan mm nko Arusha na natamani sana kuona jinsi ufugaji wa samaki unavyofanyika naweza kuja kutembelea eneo lako kwaajl ya study tour am interested kufanya hiyo kazi nahitaji sehem ya kujifunza kwa ukarb pls if u can naomba namba zako myn is 0713276076
 
Natamani Sana kufuga kwa kisasa wenzentu nchi zilizoendelea kunakitu kinaitwa AQUAPONIC agriculture niliipenda Sana cjajua hapa kwetu kama kunawataalam hz mambo
 
Wakuu mimi Ndio nimekwisha jaribu biashara hi ya samaki nimechimba mabwawa mawili nakueka samaki elfin5 tano kwasasa wanamuda wa miezi miwili kamili TATIZO NI UPATIKANAJI WACHAKULA NINAPATA ILA BEEIPO JUU SANA YANI KILO 20 KWA TSH 50'000/= NAOMBA ANAYE JUA UPATIKANAJI WAKE KWA BEI NZURI TUWASILIANE
 
Mkuu hongera sana. hapa kwenye chakula ulaji wa samki pananichanganya kidogo. kwa siku kwa hao samaki 5000 wanakula kiasi gani? hicho chakula cha 50,000 (20kg) wanakitumia kwa mda gani?

Nafikiri kuna gharama kubwa san kwenye chakula kwani mtaalamu hapa kasema wakiwa wadogo wanakula 5% ya uzito wao. maana yake kwa hao 5000 tuseme wana uzito wa 20kg watakula 5000g kwa siku sawa na 5kg. kwa mwezi watakula 150kg kwa mwezi ambayo itakuwa 450,000tsh kwa bei ya 3,000tsh kwa kilo. sasa kwa miezi mitatu ya mwanzo itakuwa zaidi ya 1.4M kumbuka uzito unazidi kuongezeka.

sasa kwa miezi ya 4-7 ambapo watakuwa wanakula 5% ya uzito sema wamefika 400g+ maana yake mmoja atakula 20g kwa siku. 5000 watakula 100kg kwa siku.. sasa kwa miezi 3 itakuwa ni 9,000kg ambazo ni 27,000,000tsh ( kwa bei ya 3,000tsh kwa kg)

sasa faida itakuwa wapi mkuu?
Naomba kuelimishwa hapa wakuu
 
Kwenye chakula tunaomba mtupe mchanganuo.. Wataalamu wanavyosema akiwa mdogo (SATO) miezi mitatu anakula 5% ya uzito wake na akikua 4months + anakula 3% ya uzito wake nikipiga hesabu kwa samaki 5000 mfano gharama ya chakula kwa kuweka bei ya 3,000 kwa kilo ni kubwa sana.

Naona inaenda milioni 25+.
Je hili mnalionaje? Waliofuga na wanaofuga tafadhali
 
naomba ushauri wa kitaaram, ningependa kujua garama za
1. kuchimba bwala la futi12 by 10
2. garama za kujenga na cement
3. wanaenda samaki wangapi???
4. garama za kuwahudumia hadi kufika kuwauza

nitashukuru sanaa kwa msaada wenu
 
naomba namba yako
 
tembelea gereza la moshi karanga, wako vizuri na wana mabwawa ya aina tofauti
 
Samaki wenyewe kumbe wanakua kwa miezi tisa? Bora Kufuga Kuku...
Kama Mimba ya Binadamu...

Idea Zingine unaweza kugeuka Masikini kwa muda mfupi.... Gharama zote hizo siku unavuta unaishia kulipa madeni... Deal kama hizi uwe na kipato kingine cha kuendesha Maisha
 
Reactions: SDG
Mbona bei yako ya vifaranga iko juu sana mkuu, kuna huyu jamaa anauza kwa bei poa kabisa au inakuwaje hapo?
Ufugaji wa samaki kwenye bwawa ~ MUUNGWANA BLOG
 
Mbona bei yako ya vifaranga iko juu sana mkuu, kuna huyu jamaa anauza kwa bei poa kabisa au inakuwaje hapo?
Ufugaji wa samaki kwenye bwawa ~ MUUNGWANA BLOG
Kingolwira ni kituo cha serikali ambacho kinauza kwa bei ya ruzuku. Hata hivyo muda mrefu walikuwa katika ukarabati bila kizalisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…