Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

Iwe hasara afu watu waendelee kufuga? Nenda ucheki calculations zako vzr
 
Hii Biashara Ni Pasua Kichwa Mkuu Usijaribu.... zipo Njia za Kisasa waeza jaribu sio hizi za kulisha hadi kichwa kipasuke... nadhani mleta mada na wachangiaji wengi wanatumia njia za ufugaji wa kale... kuna mhindi mtaalamu wa kiwanda pale kipawa aliniambia kufuga si mchezo kunahitaji pesa nyingi huu mdogo mdogo ni kuwaste time tu...

Unatakiwa kufuga samaki wa maji ya chumvi kuna maeneo yaliyo mazuri karibu na bahari unajengea na kuset maji yanatoka baharini yanakuja bwawani and then yanatoka na kurejea baharini smaki wanakuwa wenyewe tu chakula unaweka kidogo sana ila project na technology yake inaweza kukucost kama usd 20,000 ambazo ni sawa na 43M ila unavuna continuous so waeza kuwa millionaire kwa miaka hii kufanya biashara kwa ajili ya pesa ya kula Watanzania tuache... sasa hivi tufikiria biashara za kitajiri yaani hadi unayemuajiri uwe unamlipa kama manager wa bank kuu...

Tumuombe Magufuli naye atembelee Israel wana technolgy kali sana niliona wanafuga fish kwenye matank wanawalisha eels na wadudu wengine wanawazalisha na chaula kidogo waeza fuga hata juu gholofani au kwenye jangwa na ukawa tajiri sio mtafuta mboga ya kula...

Acha Bangi na Uongo
Kama hujatembelea wafugai uwe mpooole,sio kukaa unadanganywa na wahindi.

We muhindi gani akakupa siri ya biashara yake zaidi ya kukutisha,halafu nyie mnaokatisha watu tamaa kwa kuona watu waoote maboze humu au hatujui wafugaji.

Au ndio unataka tujue na wewe ulienda Israel,Sifa mbaya,kabla ya kupost ujue kwamba kinachoongelewa ni kitu gani.

Matajiri wangapi walianza na laki moja, na leo wangapi wanatusua maisha kwa mitaji midogo.

We Jiuliza, maeneo ya yard za magari Dar yalivyo na kila ukipita mwezi mzima unakuta karibia gari zote zipo au zimetoka mbili tu, wakati mtu ameinvest karibia Billion kwenye Yard, at the same time kuna mtu anamiliki Dalala 10 tu anaingiza pesa kuliko yeye.

Maisha usilazimishe unavyotaka wewe, utajiri unaanzia kwenye moja. Tembelea vijijini uone watu wanavyofuga kwenye mabwaya ya asili karibia ya mito au maeneo yenye chemchem uone wanavyopiga hela, wanamiliki majumba na magari kwa biashara hiyo
 
***Planktons(phytoplanktons-mimea midogo sana, zooplanktons-wadudu wadogowadogo), Hivyo Mkuu (microorganisms) sioni kama litakuwa neno sahihi hapo juu kwa maana halisi ya Micro-organisms.
Nilikisudia kuandika kwa urahisi na kueleweka kwa kila mtu.
 
  • Thanks
Reactions: Luo
Hii Biashara Ni Pasua Kichwa Mkuu Usijaribu.... zipo Njia za Kisasa waeza jaribu sio hizi za kulisha hadi kichwa kipasuke... nadhani mleta mada na wachangiaji wengi wanatumia njia za ufugaji wa kale... kuna mhindi mtaalamu wa kiwanda pale kipawa aliniambia kufuga si mchezo kunahitaji pesa nyingi huu mdogo mdogo ni kuwaste time tu...

Unatakiwa kufuga samaki wa maji ya chumvi kuna maeneo yaliyo mazuri karibu na bahari unajengea na kuset maji yanatoka baharini yanakuja bwawani and then yanatoka na kurejea baharini smaki wanakuwa wenyewe tu chakula unaweka kidogo sana ila project na technology yake inaweza kukucost kama usd 20,000 ambazo ni sawa na 43M ila unavuna continuous so waeza kuwa millionaire kwa miaka hii kufanya biashara kwa ajili ya pesa ya kula Watanzania tuache... sasa hivi tufikiria biashara za kitajiri yaani hadi unayemuajiri uwe unamlipa kama manager wa bank kuu...

Tumuombe Magufuli naye atembelee Israel wana technolgy kali sana niliona wanafuga fish kwenye matank wanawalisha eels na wadudu wengine wanawazalisha na chaula kidogo waeza fuga hata juu gholofani au kwenye jangwa na ukawa tajiri sio mtafuta mboga ya kula...
Ungemuuliza huyo mhindi kwao wanafugaje? Kama yeye mtaalam amekuja bongo kufanya nini?. Halafu na wewe ukiambiwa changanya na zako. Wabongo bwana yaani akisema mhindi sawa, akisema Bukoba boy no.

Turudi katika mada sasa- Hiyo teknolojia ya kuzungusha maji wanaganya kwasababu wana uhaba wa maji na ardhi kwahyo eneo dogo linatumika intensivelly. Ni gharama sana hiyo yeknolojia.

Tuishie hapo ila nikutaarifu tu Tanzania ina hazina kubwa ya wataalam wa samaki. Vile vile ina fursa nyingi. Hivyo huu mradi unalipa. Siku nyingine omba msaada wa kuelewa haya mambo.
 
Mkuu chakula cha samaki ni kipi? Na je wakati wa kuwavuna wanavunwaje bila kuwabakisha kwenye bwawa lako la kutengeneza?
Kwanza unatakiwa upate formula ya chakula chako. Lishe yake haina tofauti na kuku isipokuwa viwango vya protin, wanga, mafuta hutofautiana. Pia fomu maana chakula cha samaki kinaingia kwenye maji.

Hivyo lazima kiwe binded na unga wa mhogo au ngano na kitengenezwa kama pellet kwa samaki wakubwa. Vile vile kama ni sato ni vema kikawa cha kuelea. Tembelea Wizara husika kwa msaada.
 
Ungemuuliza huyo mhindi kwao wanafugaje? Kama yeye mtaalam amekuja bongo kufanya nini?. Halafu na wewe ukiambiwa changanya na zako. Wabongo bwana yaani akisema mhindi sawa, akisema Bukoba boy no. Turudi katika mada sasa- Hiyo teknolojia ya kuzungusha maji wanaganya kwasababu wana uhaba wa maji na ardhi kwahyo eneo dogo linatumika intensivelly. Ni gharama sana hiyo yeknolojia. Tuishie hapo ila nikutaarifu tu Tanzania ina hazina kubwa ya wataalam wa samaki. Vile vile ina fursa nyingi...Hivyo huu mradi unalipa. Siku nyingine omba msaada wa kuelewa haya mambo.
Ni ule upumbavu wa kuamini kila kitu kinachosemwa ukitoa wanavosema watanzania.
 
***Planktons(phytoplanktons-mimea midogo sana, zooplanktons-wadudu wadogowadogo), Hivyo Mkuu (microorganisms) sioni kama litakuwa neno sahihi hapo juu kwa maana halisi ya Micro-organisms.
Neno sahihi ni phytoplankton yaani mimea ya katika maji na zooplankton yaani wadudu-wanyama katika maji kwa pamoja huitwa plankton
 
Kuchimba bwawa lenye ukubwa wa robo heka kwa kutumia mashine inaweza kugharibu kiasi gani cha pesa?
 
Kuchimba bwawa lenye ukubwa wa robo heka kwa kutumia mashine inaweza kugharibu kiasi gani cha pesa?
Robo heka ni bwawa lenye ukubwa wa sqm 2500. Mashine itachimba kwa siku 2-3 kulingana na eneo na uwezo wa operator. Kwa masaa 8 kukodi mashine ni laki 6-8. Operator kwa kawaida 100,000 kwa masaa 8. Mafuta ni kama lita 250-300.

Inawezekana ukamlipa hela ya ziada operator akufanyie kazi kwa zaidi ya masaa 8 ili umalize mapema. Pia kuna gharama ya usafiri wa kubeba mashine kama ni ile ya chain (1ml-2ml)
 
Robo heka ni bwawa lenye ukubwa wa sqm 2500. Mashine itachimba kwa siku 2-3 kulingana na eneo na uwezo wa operator. Kwa masaa 8 kukodi mashine ni laki 6-8. Operator kwa kawaida 100,000 kwa masaa 8. Mafuta ni kama lita 250-300. Inawezekana ukamlipa hela ya ziada operator akufanyie kazi kwa zaidi ya masaa 8 ili umalize mapema. Pia kuna gharama ya usafiri wa kubeba mashine kama ni ile ya chain (1ml-2ml)
Kwahiyo kwa kukadilia unaona ni shilingi ngapi?
 
Hii Biashara Ni Pasua Kichwa Mkuu Usijaribu.... zipo Njia za Kisasa waeza jaribu sio hizi za kulisha hadi kichwa kipasuke... nadhani mleta mada na wachangiaji wengi wanatumia njia za ufugaji wa kale... kuna mhindi mtaalamu wa kiwanda pale kipawa aliniambia kufuga si mchezo kunahitaji pesa nyingi huu mdogo mdogo ni kuwaste time tu...

Unatakiwa kufuga samaki wa maji ya chumvi kuna maeneo yaliyo mazuri karibu na bahari unajengea na kuset maji yanatoka baharini yanakuja bwawani and then yanatoka na kurejea baharini smaki wanakuwa wenyewe tu chakula unaweka kidogo sana ila project na technology yake inaweza kukucost kama usd 20,000 ambazo ni sawa na 43M ila unavuna continuous so waeza kuwa millionaire kwa miaka hii kufanya biashara kwa ajili ya pesa ya kula Watanzania tuache... sasa hivi tufikiria biashara za kitajiri yaani hadi unayemuajiri uwe unamlipa kama manager wa bank kuu...

Tumuombe Magufuli naye atembelee Israel wana technolgy kali sana niliona wanafuga fish kwenye matank wanawalisha eels na wadudu wengine wanawazalisha na chaula kidogo waeza fuga hata juu gholofani au kwenye jangwa na ukawa tajiri sio mtafuta mboga ya kula...

uNGEMUOMBA HUYO MUHINDI AKUFUNDISHE ILI NA WEWE UKAFUGE.
 
Robo heka ni bwawa lenye ukubwa wa sqm 2500. Mashine itachimba kwa siku 2-3 kulingana na eneo na uwezo wa operator. Kwa masaa 8 kukodi mashine ni laki 6-8. Operator kwa kawaida 100,000 kwa masaa 8. Mafuta ni kama lita 250-300. Inawezekana ukamlipa hela ya ziada operator akufanyie kazi kwa zaidi ya masaa 8 ili umalize mapema. Pia kuna gharama ya usafiri wa kubeba mashine kama ni ile ya chain (1ml-2ml)

Kwahiyo gharama ya kubeba hiyo mashine ni juu ya mteja?
 
Back
Top Bottom