Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Mkuu vipi umevuta bange? Ukiwa na Hizo Pesa unapata bus ila utakuwa na deni kma la mil38 hivi ila kwa Mwaka huwezi kosa m100 na ni biashara ya uhakika... so wewe nadhani unasoma quote za watu kimitaani.... Njoo Conti Car na hizo Pesa tutakupatia hilo Gari... Acha uoga.Eicher Bus gani 40 Mil.? Tatizo lako maneno ya Vijiweni mengi unasikiliza
Next time be careful ukiwa unaongea na mimi maana huwa Sibahatishi mambo yangu...