Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

Ufugaji wa sungura na njiwa wenye tija

hope hii itasaidia katika ufugaji na pamoja na mabanda yao, kwa hapa uganda kwa sasa ni issue kubwa sana maana ina soko kubwa wameweza hadi kuimarket kwenye baadhi ya supermarket
Rabbit 1.jpg Rabbit house 1.jpg Rabbit house 2.jpg hili ni box unaliweka ndani ya banda la sungura anayekaribia kuzaa so hii inasaidia kutopoteza sungura watoto wengi tokana na baridi cabbinate 2.jpg

kingine kuweza kucontrol kuzaana unawatengenisha dume likae peke yake kwenye banda so ukitaka jike lizae unalipeleka kwenye banda la dume
hii just small what i know otherwise ni pm email yako nikutumie e-book nilizonazo
 
Mama timmy Shardcole
ALOYCE MPANDANA

Mmefikia wapi na hii project ya sungura ..... naona bei za sungura zipo juu

I have just started the project with California and New Zealand white

Naomba feedback ya wafugaji wa sungura
 
Last edited by a moderator:
Natafuta wafugaji wa sungura wakaazi wa mwanza, tuwasiliane
 
fuga sungura kama petty tu ila kibiashara sio dili ni kama kufuga paka ,njiwa au mbwa utegemee kunufaika kiuchumi
Hapa nina fikra tofauti kidogo na wewe kufuga paka, mbwa au njiwa unaweza kunufaika kiuchumi. kwa mfano ukiwa unazalisha mmbwa kwa ajili ya kuuza ni biashara nzuri sana na ina fedha nyingi sana.
 
Hapa nina fikra tofauti kidogo na wewe kufuga paka, mbwa au njiwa unaweza kunufaika kiuchumi. kwa mfano ukiwa unazalisha mmbwa kwa ajili ya kuuza ni biashara nzuri sana na ina fedha nyingi sana.

Kwa taarifa yao na wengi sungura hasa hybrid mbegu ya California white, Newzealand na German giant wana soko kubwa ..... kit mmoja wa umri wa mwezi mmoja anauzwa Tsh 20,000 na sungura mkubwa (matured/adult) anauzwa Tsh 30,000 ..... ukienda SUA order ya sungura hawa ina foleni ya kusubiri miezi minne

Nyama ya sungura ni white meat, very delicious,very nutriteous, tender meat and haina uric acids wala na mafuta yake hayana colesteral .... kuna sehemu inaitwa Oceanic Resort ipo Mbweni wanabanika sungura na wanauza sana hawa sungura

Sungura hupevuka ndani ya miezi minne tangu kuzaliwa ..... sungura hujifungua siku ya 32 tangu apate mimba, sungura muda wote huwa mbegu zake za kike zipo tayari kupokea mbegu za kiume tofauti na wanyama wengine ambao huingia kwenye joto kwanza mara moja kwa mwezi, sungura anauwezo wa kuzaa mpaka mara 10 kwa mwaka na huzaa mpaka watoto kumi kwa mzao mmoja

Malisho mazuri ya sungura ni majani (legumes,hay and vegetables)

cereals, proteins, minerals and vitamins .... kama unamjua agent wa chakula cha mifugo cha Hill basi Dairy Pellet Meal ndiyo chakula bora kabisa kwa kulisha sungura wakawa bora

Sungura huchomwa sindano ya minyoo (Bamectin injectible-subcatenoaus) kama kinga na salphurdimadine-intramascular kama kinga ya magonjwa yatokanayo na bacteria kama coccidiossis

Nashauri watu wajikite kwenye ufugaji huu usio na usumbufu na ni rahisi
 
Mama timmy

Upo wapi mfugaji mwenzangu .... nimeshaanza project hii na inakua kwa kasi na inalipa

Merry Xmass
 
Last edited by a moderator:
Bluetooth umetoa maelezo mazuri sana,kwa watu waliopo dar nendeni dsm zoom ukale nyama ya sungura ni nzuri sana na haina mafuta.
Watanzania tubadilike ndugu zangu now days magonjwa ni mengi sana ukiangalia mabinti wadogo wanamatatizo ya uzazi mara uvimbe mara hiki mara kile hizi red meat tunazokula sio nzuri hawa ng'ombe,mbuzi na broiler tuwaache kabisa.Tujitahidi tuleni white meat kama kuku wa kienyeji,kware na Sungura.
NOTE: Afya bora ni msingi wa maendeleo.
 
unauzaje Califonia and New Zealand white???????????

mkuu mimi nipo Mwanza nimekua interested pia kufuga Sungura je? breed uliyonayo ina range uzito gani na nikitaka wa mbegu utaniuzia kwa sh.ngapi
 
Watalaam naomba kujua,je sungura wakiwa kwenye banda la sakafu ya cement hawazaliani? Alafu ukiwa changanya dume na jike hawazaliani? Je haya mambo ni kweli jamani au ikoje wadau....
 
Watalaam naomba kujua,je sungura wakiwa kwenye banda la sakafu ya cement hawazaliani? Alafu ukiwa changanya dume na jike hawazaliani? Je haya mambo ni kweli jamani au ikoje wadau....

Mkuu salaamu! Pole na shughuli check na jamaa wanaitwa DILA AFRICA wana shughulika na ufugaji wa Sungura wa kisasa wastani wa kilo wa Sungura wao ni kilo nne hadi sita wana kuuzia na kukupa utalamu pamoja wa kukufunga hao Sungura wakifika wakati wa kuwauza wao wenyewe ndiyo wanunuaji last wiki walikuwa na semina hapa Dar then watu walienda kujionea shamba lao la Ruvu wapo mtaa wa SAMORA KELVIN HOUSE hawa jamaa wanatokea Kenya na wa matawi karibu nchi tano hapo kwetu shamba lao la Sungura lipo Ruvu no zao +255743085805 +254724690480
 
Mkuu salaamu! Pole na shughuli check na jamaa wanaitwa DILA AFRICA wana shughulika na ufugaji wa Sungura wa kisasa wastani wa kilo wa Sungura wao ni kilo nne hadi sita wana kuuzia na kukupa utalamu pamoja wa kukufunga hao Sungura wakifika wakati wa kuwauza wao wenyewe ndiyo wanunuaji last wiki walikuwa na semina hapa Dar then watu walienda kujionea shamba lao la Ruvu wapo mtaa wa SAMORA KELVIN HOUSE hawa jamaa wanatokea Kenya na wa matawi karibu nchi tano hapo kwetu shamba lao la Sungura lipo Ruvu no zao +255743085805 +254724690480

Kuweni makini na hizi biashara hata biashara ya kware ilikuja kama hii ya sungura.Kinachonitia shaka zaidi kuhusu hawa jamaa bei ya sungura wao ni kubwa mno na hao wao ndo wanapotengeneza pesa.
NB:Ni mtazamo wangu tu so fikiri kabla ya kuchukua hatua
 
Back
Top Bottom