Tetesi: Ufunguzi wa barabara ya Arusha-Tengeru double carriage road!!

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Baada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi karibuni.

Hongera Serikali ya CCM kwa kuwekeza katika miundombinu ya barabara kwa kipindi cha miaka takribani 20.

Hongera JPM kwa usimamizi mzuri ukiwa Waziri na sasa Rais wa JMT.
 
Barabara ya Dodoma Iringa ni moja ya barabara zilizojengwa hovyo kabisa. Yaani barabara hata haijamaliza mwaka imeanza mashimo na viraka. Nitashangaa kama atakubali kuizindua hivi ilivyo maana nayo ilianza kujengwa akiwa waziri wa ujenzi enzi za JK. Wamedanganya kuijenga vizuri urefu fulani kama km 15 kutoka mjini kutoka pande zote za miji lakini baada ya hapo haina tofauti na barabara za mitaani.
 
Barabara imejengwa na EAC siyo serikali ya Tanzania!
 
Barabara safi kabisa juzi nimepita naona Taa za intersection zinaongoza magari fresh ila hizi za Kulumika barabara bado hazijawashwa!
 
Hiyo barabara Magufuli aliisimamia akiwa waziri au Rais?
Rais Magufuli aanzia Arusha | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
 
Mradi wa EA huu acha uongo wa kipuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…