Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Evidence gani..?? Unaakili timamu kweli wewe..??Lete evidence
Hebu wacha kujiabisha...Kwenye elimu tumetekeleza pia...unataka nikuoneshe mafanikio?
Sababu nilijua yeye ndio aliianza sababu jiwe la msingi aliweka yeyeAkiwa waziri na baadaye Rais
Wapumbavu sana hawa Lumumba's,mradi umedhaminiwa na world bank kwa East Afrika tangu enzi za Mzee wa Msoga,hela za ufadhili wakazila hawa majangili wa intarahamwe (aibu) wakati wenzetu Ug na Kny wakipiga kazi 2008-09.,na wenzetu walishamaliza kitambo tena kwa viwango vya kupendeza na sahihi kwa kiasi kilichotolewa.,Kiukweli hela iliyotolewa ni kiwango sawa kwa nchi zote kwa kila km,sasa hebu waende Kenya waone 'highway' na michepuko yake ilivyojengwa ndio waje na sifa zao za kijinga na kisengerema.Umewaumbua wajinga wajinga,wanakimbiza thread wenyewe kwa wenyewe,wanajibizana utafikiri ngonjera.
Wadau wanawachora
weka picha basiWapumbavu sana hawa Lumumba's,mradi umedhaminiwa na world bank kwa East Afrika tangu enzi za Mzee wa Msoga,hela za ufadhili wakazila hawa majangili wa intarahamwe (aibu) wakati wenzetu Ug na Kny wakipiga kazi 2008-09.,na wenzetu walishamaliza kitambo tena kwa viwango vya kupendeza na sahihi kwa kiasi kilichotolewa.,Kiukweli hela iliyotolewa ni kiwango sawa kwa nchi zote kwa kila km,sasa hebu waende Kenya waone 'highway' na michepuko yake ilivyojengwa ndio waje na sifa zao za kijinga na kisengerema.
Nadhani hongera ziende kwa watanzania wote ambao ni "walipa kodi" sidhani kama kuna kiongozi ambaye ametoa hela yake mfukoni!Baada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi karibuni.
Hongera Serikali ya CCM kwa kuwekeza katika miundombinu ya barabara kwa kipindi cha miaka takribani 20.
Hongera JPM kwa usimamizi mzuri ukiwa Waziri na sasa Rais wa JMT.
Watapita kwa sababu imejengwa na fedha za "walipa kodi" wenye vyama na wasio navyama. Hivi Serikali ikisema watu wenye vyama tu ndio walipe kodi nchi itaenda? Hap labda usifie usimamizi mzuri hapo nitakubali, siyo kwamba chama cha mapinduzi kimejenga!Wacha waseme hakuma kinachofanyika lakini mwisho wa siku wanapita kwenye barabara hizo hizo na mbuzi wao!
Hawa wahuni wa Chadema hata angalau kukarabati jengo lao la ufipa wameshindwa. Bado eti wanaota kushika dola, ha ha ha.Baada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi karibuni.
Hongera Serikali ya CCM kwa kuwekeza katika miundombinu ya barabara kwa kipindi cha miaka takribani 20.
Hongera JPM kwa usimamizi mzuri ukiwa Waziri na sasa Rais wa JMT.
Nenda katembee ujionee acha kung'ang'ania hapo lumumba unazidi kuwa bwege,by the way mbona weye haujaweka picture?weka picha basi
Wapumbavu sana hawa Lumumba's,mradi umedhaminiwa na world bank kwa East Afrika tangu enzi za Mzee wa Msoga,hela za ufadhili wakazila hawa majangili wa intarahamwe (aibu) wakati wenzetu Ug na Kny wakipiga kazi 2008-09.,na wenzetu walishamaliza kitambo tena kwa viwango vya kupendeza na sahihi kwa kiasi kilichotolewa.,Kiukweli hela iliyotolewa ni kiwango sawa kwa nchi zote kwa kila km,sasa hebu waende Kenya waone 'highway' na michepuko yake ilivyojengwa ndio waje na sifa zao za kijinga na kisengerema.