Tetesi: Ufunguzi wa barabara ya Arusha-Tengeru double carriage road!!

Tetesi: Ufunguzi wa barabara ya Arusha-Tengeru double carriage road!!

Kwa hili nampungeza sana Mheshimiwa...ametupa fursa ya lami maeneo mengi ya Arusha yaliyokua barabara za vumbii.
 
Nenda kaishi Kenya kama unao vipi Bongo [emoji1241]badala na kusifia vya kwenu wewe kazi kusifia vya wengine [emoji23]
Huwa sina mda na mazwazwa kama wewe.,Kwani Kenya sio Afrika hadi uone siwezi enda ishi?Kwani hata Che Nkapa alivyozalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza kutoka Tz~Zanzibar si walikimbilia shimoni Kenya?So zalisheni wakimbizi tena nitaenda kwani mshaonja damu za watu hamuwezi kuacha.
images-747.jpeg
 
Baada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi karibuni.

Hongera Serikali ya CCM kwa kuwekeza katika miundombinu ya barabara kwa kipindi cha miaka takribani 20.

Hongera JPM kwa usimamizi mzuri ukiwa Waziri na sasa Rais wa JMT.

Sema tu haujui uelezwe.

Huu mradi ni mkopo wa ADB. Walitaka barabara ijengwe dual carriageway mpaka kupita Himo kuelekea Voi Kenya. Serikali ya TZ wakaelekeza ijengwe mpaka Tengeru, na kwingine kurekebishwe tu ma culvert. Upande wa Kenya wanapiga double kutoka Voi mpaka boarder, pia kwa mkopo wa ADB kwa ajili ya mradi huohuo.
 
Huwa sina mda na mazwazwa kama wewe.,Kwani Kenya sio Afrika hadi uone siwezi enda ishi?Kwani hata Che Nkapa alivyozalisha wakimbizi kwa mara ya kwanza kutoka Tz~Zanzibar si walikimbilia shimoni Kenya?So zalisheni wakimbizi tena nitaenda kwani mshaonja damu za watu hamuwezi kuacha.
View attachment 642860
Hizo story fake za BBC ziliishia wapi?hao wakimbizi walirudi lini?walipitia wapi?
UNHCR ina takwimu za hao wakimbizi?
 
Sema tu haujui uelezwe.

Huu mradi ni mkopo wa ADB. Walitaka barabara ijengwe dual carriageway mpaka kupita Himo kuelekea Voi Kenya. Serikali ya TZ wakaelekeza ijengwe mpaka Tengeru, na kwingine kurekebishwe tu ma culvert. Upande wa Kenya wanapiga double kutoka Voi mpaka boarder, pia kwa mkopo wa ADB kwa ajili ya mradi huohuo.
Mkopo ni hela ya bure?Si inalipwa!
Kwani ni mradi wa kwanza kutekelezwa kwa mkopo?

Hujui tofauti ya mkopo na msaada?
 
Baada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi karibuni.

Hongera Serikali ya CCM kwa kuwekeza katika miundombinu ya barabara kwa kipindi cha miaka takribani 20.

Hongera JPM kwa usimamizi mzuri ukiwa Waziri na sasa Rais wa JMT.

"HIVI HII LAMI NDO INAIPA ARUSHA HADHI YA JIJI? KWA HIYO SIKU YA UFUNGUZI NDO ITAKUWA DECLARED JIJI AU NI UMBEA WAKO TU MA MIHEMKO"
 
Hata wakoloni walileta reli ya Dar- Arusha.
CCM inajenga Reli....Inajenga Meli...Inanunua ndege na kujenga barabara kiwango cha lami kila kona ya nchi....huo ndio utofauti kati ya ukoloni na uongozi madhubuti wa CCM!
 
Hata wakoloni walileta reli ya Dar- Arusha.
CCM inajenga Reli....Inajenga Meli...Inanunua ndege na kujenga barabara kiwango cha lami kila kona ya nchi....huo ndio utofauti kati ya ukoloni na uongozi madhubuti wa CCM!
 
CCM inajenga Reli....Inajenga Meli...Inanunua ndege na kujenga barabara kiwango cha lami kila kona ya nchi....huo ndio utofauti kati ya ukoloni na uongozi madhubuti wa CCM!

Samahani, meli ipi imejengwa na CCM?
 
Barabara ya Dodoma Iringa ni moja ya barabara zilizojengwa hovyo kabisa. Yaani barabara hata haijamaliza mwaka imeanza mashimo na viraka. Nitashangaa kama atakubali kuizindua hivi ilivyo maana nayo ilianza kujengwa akiwa waziri wa ujenzi enzi za JK. Wamedanganya kuijenga vizuri urefu fulani kama km 15 kutoka mjini kutoka pande zote za miji lakini baada ya hapo haina tofauti na barabara za mitaani.
Mimi napita hiyo barabara kila wiki,acha kutudanganya fala we. Before nilikuwa natumia 6 hours sasa hivi 2hours unaleta story za kiku**ma hapa. Kafungue nawewe bikin yako usilete maada za kichonganishi kama huna data
 
Wapumbavu sana hawa Lumumba's,mradi umedhaminiwa na world bank kwa East Afrika tangu enzi za Mzee wa Msoga,hela za ufadhili wakazila hawa majangili wa intarahamwe (aibu) wakati wenzetu Ug na Kny wakipiga kazi 2008-09.,na wenzetu walishamaliza kitambo tena kwa viwango vya kupendeza na sahihi kwa kiasi kilichotolewa.,Kiukweli hela iliyotolewa ni kiwango sawa kwa nchi zote kwa kila km,sasa hebu waende Kenya waone 'highway' na michepuko yake ilivyojengwa ndio waje na sifa zao za kijinga na kisengerema.
Wewe ni MUONGO, umepita njia ya voi- Taveta ambayo ni part ya hiyo miradi, haifikii hata robo ya huu mradi wa Tanzania.
 
Na zinalipwa na wana CCM tu hizo kodi?
Zinasimamiwa na wanaCCM...Kumbuka mwenyekiti wenu ni mmoja wa wakwepa kodi kwa hiyo usitake kujisifia unalipa kodi ilhali unaongozwa na mwenyekiti mkwepa kodi!
 
East Africa ni nani??? Na hiyo mikopo ya ADB na Japan italipwa na Kodi za kina nani?
Nikufahamishe tu mradi wowote unaoendeshwa na Jumuiya ni Serikali za nchi husika ndizo zinazogharamia. Na kama ni mkopo ni Serikali hizo hizo za nchi husika smbapo kila nchi inakopa.

Mradi huu wa Bara bara ya Arusha-Tengeru to holili Gharama za upanuzi wa barabara ya Arusha - Tengeru na barabara ya kuzunguka nje ya jiji la Arusha kwa upande wa Tanzania ni shilingi bilioni 209.6, ambapo kati ya fedha hizo Benki ya Maendeleo ya Afrika (ADB) itatoa mkopo wa shilingi bilioni 190.2 na serikali ya Tanzania itatoa shilingi Bilioni 19.4.
Hivyo ni Serikali ya Tanzania
 
Back
Top Bottom