Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo fedha za watanzania,sio ccm.Unajua fedha ya Tanzania iliyowekezwa hapo?
Akiwa waziri na baadaye RaisHiyo barabara Magufuli aliisimamia akiwa waziri au Rais?![]()
Rais Magufuli aanzia Arusha | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
Hiyo imejengwa na TZ ila ni barabara ya kuunganisha EA kila nchi itajenga upande wake!.Umewaumbua wajinga wajinga,wanakimbiza thread wenyewe kwa wenyewe,wanajibizana utafikiri ngonjera.
Wadau wanawachora
Hata bilioni 25 ya fidia walishindwa kesho majengo ni kuvunja kama TanescoUnajua fedha ya Tanzania iliyowekezwa hapo?
Nijielimishe nini, nani hajui umechelewa miaka kisa Tanzania kushindwa kufanya maamuziJielimishe kwanza kuhusu huu mradi halafu ndio upost
Kumbe! [emoji15] [emoji15] [emoji15]Barabara imejengwa na EAC siyo serikali ya Tanzania!
Baada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi karibuni.
Hongera Serikali ya CCM kwa kuwekeza katika miundombinu ya barabara kwa kipindi cha miaka takribani 20.
Hongera JPM kwa usimamizi mzuri ukiwa Waziri na sasa Rais wa JMT.
ADBFedha imetoka wapi?
wew ndi ujielimishe....Jielimishe kwanza kuhusu huu mradi halafu ndio upost