Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,693
- 1,702
Wa TZ Mnataka Katiba Mpya
Yenye Mgombea binafsi
Rais aliyeingia kwa Rushwa aondolewe
Mawaziri watoke nje ya Wabunge ili wawajibike
Slaa atazungumzia juu ya Katiba
Juzi Mtikila kaenda Mahakamani, JK kafanya Janja Mahakama imekataa
Hukumu yenu ni kubwa kuliko ya Mahakama
Mtaitoa tarehe 31 Oktoba ili CCM iondoke
Yenye Mgombea binafsi
Rais aliyeingia kwa Rushwa aondolewe
Mawaziri watoke nje ya Wabunge ili wawajibike
Slaa atazungumzia juu ya Katiba
Juzi Mtikila kaenda Mahakamani, JK kafanya Janja Mahakama imekataa
Hukumu yenu ni kubwa kuliko ya Mahakama
Mtaitoa tarehe 31 Oktoba ili CCM iondoke