Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

Elections 2010 Ufunguzi wa Kampeni ya Chadema Jangwani 2010

One of, if not the biggest blunders by TBC todate!!! Ipo siku viongozi walioagiza haya watajutia maamuzi yao haya!!! Tumeyaandika leo, yatabakia na kusomwa hata baada ya miaka 70 x 7!! 🙁
 
TBC imekata matangazo ya live mara baada ya Marando kusema kuwa Mkapa aliruhusu wizi wa fedha benki kuu baada ya kuombwa na Kikwete, Lowasa na Rostam

Nasubiria Kasheshe (member wa JF) aje kutoa maelezo mareeeefu kuhusu matatizo ya kiufundi.
 
Haya TBC, naona waya wa TANESCO umeshindikana kuliwa na mamba huko Kihansi
 
Naona TIDDO kawasiliana na watu wake waache kurusha live matangazo yao live.
Naona kuna haja ya kuiita TBCCM
 
TBC inaendeshwa kwa kodi za watanzania wote.

Ni makosa na ufisadi mkubwa sana kurusha habari za CCM bila matatizo yoyote yale wakati mnakata matangazo ya uzinduzi wa CHADEMA.

Ikumbukwe pia kuwa TBC waliwahi kukataa (refuse) kuonesha hotuba ya Dr Slaa bungeni kinyume na kawaida yao ya kuonesha maendeleo bungeni.
 
Nilikuwa nafatilia uzinduzi wa CHADEMA Hapo Jangwani kupitia Television ya Taifa TBC1, cha kushangaza wamekata ghafla matangazo hayo baada ya Mzee Marando kupanda jukwaani na kuanza kusema ukweli. jamani sasa hii nini,?

Tunaomba wenye acsess watuletee kinachoendelea kupitia Hapa JF.
 
Wamweka sasa Taarifa ya Habari . . .

Hivi wa CCM na CUF waliikatisha?
 
safi sana wakuu kutujuza maana wengine tuko mbali. Ila TBC ni ya kwanza kuvunjwa baada ya Mh kuingia madarakani. Inaonyesha jinsi gani ilivyo na mfumo mbovu, hawako kwa maslahi ya taifa.
 
Xuma, nilikuwa sijaona topic yako kabla ya kuanzisha ya kwangu.

Huu ni upuuzi na ufisadi mkubwa sana. Wamezoea sana hawa TBC.
 
Huyu Jane Shirima anayetangaza inaonekana wala hukupangwa maana kavaa ki Tshiti tofauti na wanayokuwa siku zote.

Hii imeshakuwa issue sasa

Wameongelea tu juu ya CHADEMA kuweka Pingamizi Jumatatu
 
Nostradamus,

..kila ilani itakuwa na mapungufu. hakuna ambayo itakuwa na details zote unazotaka.

..tunachopaswa kuangalia kabla ya kupiga kura ni kuchukua ilani za vyama vyote na kuzilinganisha.

..ungesaidia kama ungeleta ilani ya CCM halafu tuone wanau-define ufisadi namna gani. vilevile CCM wana rekodi kwa hiyo tutawapima kama kweli wanaushughulikia ufisadi kama wanavyobainisha ktk ilani yao.

..vyama vya upinzani kama CUF,Chadema, etc, havijapata kushika madaraka, hivyo tunalazimika kuvipima kwa kusoma ilani zao, na kuchunguza viongozi wao na kuangalia kama wana uwezo wa kutekeleza wanayoahidi.

..kwa mtizamo wangu siyo kama CCM hawajafanya kitu kabisa. there are some good things they have done, but to me are not good enough. there r a lot of lost opportunities, na mambo mengi wanayoyafanya CCM siyo sustainable. this is a party of wastage and fiscal indiscipline. akwa utendaji wa CCM sioni nchi hii na wa-Tanzania wakiweza kujitegemea huko mbeleni. kwa msingi huo kura yangu siwezi kuwapa CCM.
 
Jamaa wamekatisha matangazo kutokana na madongo ya Mabere Marando

Si madongo, yale ni mabomu, tena makombora ya SCAD! Hatari tupu! Wamekatisha kabla ya muda wake... ati wakaweka kipindi cha BANGO! Hahahaha! Too late, damage is already done!

Tundu Lissu kafanya kweli, Shibuda hakulaza damu... Naibu Katibu Mkuu wa Zanzibar naye kamshushia JK live... kamwita MWALI! CHADEMA wanayaweza!

CCM walianza, CHADEMA wanamaliza. Akuanzaye mmalize!

Hahahaha!

-> Mwana wa Haki

People's Power! Amandla! Awetu! Amandla! Maatla!
 
Bravo Superman and Shame TBC and to hell Tido Muhando
 
Sisi Watanzania tulio mbali sana na DSM tulikuwa tunafatilia kwa umakini sana Mkutano wa CHADEMA ku TBC ila hatujaweza kujulishwa kwanini TBC wamekata matangazo hayo au
 
Sasa kumbe....ulidhani matatizo yaliyopo yanatokana na Shetani......hehe hehe hehe hehe ehe ehhe ehehhe
 
mods, nilianzisha mada hii wakati xuma naye akianzisha ya kwake. Naomba muunganishe hii yangu na ile ya kwake mkipata nafasi. Sikuwa na nia ya kujaza forum na threads zinazofanana.
 
TBC wameshindwa kabisa kuvumilia madongo ya Marando...alikua anaua..
 
Tu TBC ni Washenzi sana, nimesikita sana! Ikibidi Watanzania Tuandamane tudai haki yetu maana hiki chombo kinaendeshwa kwa kodi za Wananchi
 
@#@%$$#%^$^&*^%(&^)*&(*_)(+_=0 Wameweka kipindi cha MUZIKI sasa baada ya Taarifa ya Habari Kwisha.
 
Back
Top Bottom