Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Kumbe Lilith alimsaliti Adam[emoji28][emoji28][emoji28] kumbe kusalitiana ni jambo la kawaida aiseeeee
 
Kumbe Lilith alimsaliti Adam[emoji28][emoji28][emoji28] kumbe kusalitiana ni jambo la kawaida aiseeeee
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji5] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]
 
2 and 3 umejuaje mkuu tunaomba utibitishe hata kwenye kitabu chochote tu
 
hujaeleweka
.tulia uandike vizuri
 
2 and 3 umejuaje mkuu tunaomba utibitishe hata kwenye kitabu chochote tu
tafuta shehe mkamilifu kielimu karibu yako akupe darasa vxur mkuu..au kwa ushahid zaid soma Quran na hadithi za mtume
 
Umejitahidi sana kwa uchambuzi
 
Inawezekana kabisa aliacha mwili ule wa kibinadamu pale alipoenda kufanya kolabo na kuzimu... Kumbuka hawa viumbe wa mwanzo walikuwa na super natural powers
Umeongea kitu cha ndani sana ili mtu akuelewe anapaswa kuwa na ufahamu/uelewa mkubwa sana wa mambo ya kiroho hasa. Ni kweli mwanadamu katika wakati wake kabla ya dhambi hakuwa wa mchezo mchezo.

Baada ya dhambi mpaka mapepo wanamsumbua mtu bhana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…