Uko vizuri.Malaika ndio hawana Jinsia.hawazaani.na huwa hawali chakula...ila majini yana jinsia ndio maana tunayo jini mahaba.na pia majini hula chakula.ndio maana kafara za damu zipo kwa washirikina.
ila wapo majini wema hilo usisahau..
Ni ngumu sana kuielewa dunia kwa sababu siri zipo kwenye maandishi na maandishi yamefichwaNadhani kuna maana kamili nyuma ya Biblia takatifu kwa kuchagua vya kuandika
Nature ya mwanadam huwa hapendi vitu vinavyomkela so bimeondolewa MAKSUDINadhani kuna maana kamili nyuma ya Biblia takatifu kwa kuchagua vya kuandika
sikumbuki ila mleta mada alikuwa somebody Chizi MaarifaLink ya zamani ni ipi?
Okay pouwasikumbuki ila mleta mada alikuwa somebody Chizi Maarifa
Hapa nakuelewa sana. [Yapo mambo mengi ambayo hayakuandikwa kwenye Biblia kama yangeandikwa kusingetosha kwa wingi wake] unajua mshana jr, haya mambo ya ufukunyuzi yanaleta maswali mengi sana hasa kwa sababu mengi hayatoi habari kamili.Nadhani kuna maana kamili nyuma ya Biblia takatifu kwa kuchagua vya kuandika
Kunavyo vitabu vingi saana! Zaidi hata ya hivyo 72. Vipo vingi saana! Vingine hata bado hawajaviweka hadharaniNje ya biblia gani.ya kikatoliki au ya kiprotestant? Maana hizo biblia walianza wakatoliki wakachambua vitabu na kuchukua vichache kati ya vingi...hivyo kuna maandiko mengi tu ya kidini nje ya biblia yamehifafhiwa tu, wakaja waprotestant nao wakachukua bilia ya kikatoriki wakaichambua na kuchukua vitabu vichache na kuacha vingine kama 8 hivi, maana biblia ya kikatoliki ina vitabu 72 na ya kiprotestant ina vitabu 64
Suala la kuingiliana kimwili ni zaidi ya hisia na kufurahia tendo kama ilivyo kwa wengi wetu. Kuna maana kubwa sana iliyolengwa katika mkutaniko huo ambayo inahitaji ufahamu wa juu sana kuendelea kutambua mambo yanayohusisha tendo la kujamiiana kwa wanadamu.Inaelekea "kipochi manyoja" kilikua cha ubora wa hali ya juu kabisa... Salaleeee[emoji23] [emoji23]
Ni hadithi isiyo na ukweli wowoteHahaha kumbe mungu aliruhusu mke zaidi ya mmoja?! Alimuumba Adam, Eva na Lilith. Mbona siku hizi wanawake hawataki?!
Siyo hadithi ya kweli.Habari za Lilith hazijaandikwa popote kwenye Biblia takatifu... Na huko zilikoandikwa si kwa wema bali kwa ubaya ukiachilia satanism na atheism
Hapa kuna mkanganyiko sana, japo kuwa huwa najiuliza maswali ya ziada huenda ikawa ni namna tu ya mitindo wa mwandishi.Ninachojua malaika na majini hawana jinsia na ndio maana huyo samael na lilith au lilith na devil hawana uzao zaidi huwa wanaharibu vizazi vya adam alivyoviumba Mungu. Kama hayo yangewezekana hii dunia watu wa Mungu tusingepatikana kipindi hiki.
Ila habari ya lilith nimewahi kujihoji sana Kama bible inasema Aliwaumba. kwanin aje amfanyie oparetion ya kumtoa Hawa???
Mtaijua Kweli na hiyo Kweli itawaweka huru.Huwezi kuelewa mafundisho ya Biblia na marejeo mengine bila kuwa na Mtazamo/akili ya KRISTO
Yaani hata kama Alitungwa kwenye simulizi
Basi waliyemtunga walikuwa na nia njema kabisa na kizazi hiki
Sijaona Mtazamo na Akili pekee kama ya hiki kiumbe
Ni Mtazamo pekee unaoweza kukutoa kwenye Kasumba za Dhana nyingi fikirishi na nje ya Mantiki ya kusababu Kibinadamu.
Kweli alikuja kutuweka Huru.
Maana sidhani kama tungepona kwa mizigo ya mafundisho Mengi hivi...! [emoji16][emoji16][emoji16] ni Hatari kwa kweli.
Hata Mimi sikubaliani nazo!Summary nzima ya Lilith hii hapa... Lakini hii ni kwa mujibu wa wayahudi .. Ukija kwa waebrania unapata kitu tofauti na hikiView attachment 692894na mwandishi hakubaliani na hii simulizi
Mhm hapa napo sijaelewa labda, majini wema? Ndiyo kama wepi hao mkuu?.Malaika ndio hawana Jinsia.hawazaani.na huwa hawali chakula...ila majini yana jinsia ndio maana tunayo jini mahaba.na pia majini hula chakula.ndio maana kafara za damu zipo kwa washirikina.
ila wapo majini wema hilo usisahau..