Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

The Bible is Fiction: A Collection Of Evidence

Similarities to Other Stories
The similarities between the stories and characters in the Bible and those from previous mythologies are both undeniable and well-documented. This would be obvious if it weren’t for early indoctrination of these beliefs into children, which usually makes them unassailable as adults.

In this short piece I’ll attempt to show extraordinary similarities with regard to two of the most important Biblical narratives: the Genesis story and the character of Jesus Christ.

The Book of Genesis’s Flood Story Mirrors The Epic Of Gilgamesh From Hundreds Of Years Earlier
Here are a number of elements that both Gilgamesh and the flood story in Genesis share:

  1. God decided to send a worldwide flood. This would drown men, women, children, babies and infants, as well as eliminate all of the land animals and birds.
  2. God knew of one righteous man, Ut-Napishtim or Noah.
  3. God ordered the hero to build a multi-story wooden ark (called a chest or box in the original Hebrew), and the hero initially complained about the assignment to build the boat.
  4. The ark would have many compartments, a single door, be sealed with pitch and would house one of every animal species.
  5. A great rain covered the land with water.
  6. The ark landed on a mountain in the Middle East.
  7. The first two birds returned to the ark. The third bird apparently found dry land because it did not return.
  8. The hero and his family left the ark, ritually killed an animal, offered it as a sacrifice.
  9. The Babylonian gods seemed genuinely sorry for the genocide that they had created. The God of Noah appears to have regretted his actions as well, because he promised never to do it again.
Keep in mind the level of detail in these similarities. It’s not a matter of just a flood, but specific details: three birds sent out, resisting the call to build the ark, and a single man being chosen by God to build the ark. Then consider that the first story (Gilgamesh) came from Babylon — hundreds of years before the Bible was even written.

Do you honestly think, based on the similarities above, that those who wrote the Genesis story had not heard the Gilgamesh story? And if they had heard it, and they were simply rehashing an old, very popular tale, what does that say about the Bible?

Jesus’s Story is an Obvious Rehashing Of Numerous Previous Characters
Perhaps even more compelling is the story of Christ himself. As it turns out it’s not even remotely original. It is instead nothing more than a collection of bits and pieces from dozens of other stories that came long before. Here are some examples.

  1. Asklepios healed the sick, raised the dead, and was known as the savior and redeemer.
  2. Hercules was born of a divine father and mortal mother and was known as the savior of the world.
  3. Dionysus was literally the “Son of God”, was born of a woman who had not had sex with a man, and was depicted riding a donkey. He was a traveling teacher who performed miracles, and was killed and resurrected, after which time he became immortal.
  4. Osiris did the same things. He was born of a virgin, was considered the first true king of the people, and when he died he rose from the grave and went to heaven.
  5. Osiris’s son, Horus, was known as the “light of the world”, “The good shepherd”, and “the lamb”. He was also referred to as, “The way, the truth, and the life.” His symbol was a cross-like symbol.
  6. Mithra‘s birthday was celebrated on the 25th of December, his birth was witnessed by local shepherds who brought him gifts, had 12 disciples, and when he was done on earth he had a final meal before going up to heaven. On judgment day he’ll return to pass judgment on the living and the dead. The good will go to heaven, and the evil will die in a giant fire. His holiday is on Sunday (he’s the Sun God). His followers called themselves “brothers”, and their leaders “fathers”. They had baptism and a meal ritual where symbolic flesh and blood were eaten. Heaven was in the sky, and hell was below with demons and sinners.
  7. Krishna had a miraculous conception that wise men were able to come to because they were guided by a star. After he was born an area ruler tried to have him found and killed. His parents were warned by a divine messenger, however, and they escaped and was met by shepherds. The boy grew up to be the mediator between God and man.
  8. Buddha‘s mother was told by an angel that she’d give birth to a holy child destined to be a savior. As a child he teaches the priests in his temple about religion while his parents look for him. He starts his religious career at roughly 30 years of age and is said to have spoken to 12 disciples on his deathbed. One of the disciples is his favorite, and another is a traitor. He and his disciples abstain from wealth and travel around speaking in parables and metaphors. He called himself “the son of man” and was referred to as, “prophet”, “master”, and “Lord”. He healed the sick, cured the blind and deaf, and he walked on water. One of his disciples tried to walk on water as well but sunk because his faith wasn’t strong enough.
  9. Apollonius of Tyana (a contemporary of Jesus) performed countless miracles (healing sick and crippled, restored sight, casted out demons, etc.) His birth was of a virgin, foretold by an angel. He knew scripture really well as a child. He was crucified, rose from the dead and appeared to his disciples to prove his power before going to heaven to sit at the right hand of the father. He was known as, “The Son of God”.
The problem, of course, is that these previous narratives existed hundreds to thousands of years before Jesus did.

Unavoidable contradictions
Not only was the Bible taken largely and blatantly from previous stories, but there are contradictions so massive that they defy belief. Here are just a few of them.

Noah’s Ark: The story of the Ark is that a pair of every animal on earth was put on the ship. Forgetting for a second the fact that the story came directly from the Epic of Gilgamesh, keep in mind we’re being asked to believe that two 500-year-old people are caring for tens of thousands of animals. And where did they keep the food? How did they keep the poisonous snakes from biting the other animals? And where did they get the polar bears, alligators, and thousands of other animals that that don’t live in the Middle East?
Mkuu nimesoma hoja yako ila kuna kitu hujakielewa...... Dini karibu zote duniani zilianzia mashariki ya kati hivyo basi zinatambua historia ya kwanzia bustani ya edeni... Gharika la nuhu mpaka kuja kwa Yesu ila tofauti ni kwamba kila mtu ana namna ya kuielezea mfano ukienda iran utakutana na iran mythology inayocopy na kupaste kila kitu kuhusu story ya adam na bustani ya edeni ila tofauti watakwambia shetani alimtumia chura na wanaolinda bustani ile ni samaki.....

Kwa ufupi story ni moja ila UELEWA na MAJINA ndio tofauti..... Kma umefuatilia hata vitabu vya CS Lewis kuhusu Chronicles of Narnia utagundua anaongelea story nzima ya biblia ila katika uelewa wake..... Hata greek mythology inaongelea story nzima ya uumbaji hadi kuja kwa Yesu ila katika UELEWA na MTAZAMO wa kigiriki ndio maana story zote zinafanana tofauti ni majina location na MTAZAMO basi

But story ni moja and its real brother
 
Mwanzo 1
27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.

Huu mwanzo 1:27 unaonyesha adam na mwanamke wameumbwa muda mmoja na ndipo wanadai Lilith aliumbwa muda mmoja na adam akaishia kumdharau na hakumheshimu adamu kabisa na wakadai mwisho wa siku akaolewa na malaika shamael wakaenda kuishi kuzimu!! Na hoja hii yao wanaipa nguvu na mstari huu hapa

Mwanzo 2: 21-
21 BWANA Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,

22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu BWANA Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.

23 Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.


Kuendana na walioibua hoja hii Mstari wa 23 unaonyesha wazi Adam anamlinganisha huyu aliyetoka kwenye nyama zake KWA yule alieumbwa muda mmoja na yeye (lilith) hasa aliposema SASA HUYU!!!

Hivyo wanaamini baada ya lilith kuwa na dharau kwa adamu na kumpelekea adam kuwa mpweke ikabidi Mungu amtengeneze replacement ya lilith ambaye atatokana na nyama za adam kabisa ili amuheshimu na ndio hoja hii imejengewa hapa

Ni hayo tu
Nafarijika sana ninapochokoza mada halafu ikapata uchambuzi wenye weledi na ulioshiba elimu kama huu... Hapa unajikuta hata mtoa mada unaongeza maarifa... Asante sana zitto junior
 
Unatakiwa uonyeshe panaposema Lilith brother, kama ni "Her" tu it could be anything, hata Jezebel!
Mkuu LILITH kwa tafsiri ya kiingereza ndio wametumia SCREECH OWL kma ambavyo mmetumia Jesus ilihali jina lake halisi ni ya'shuah

Ukitaka kutafiti linganisha original text ya kiebrania sio kiingereza

Mfano biblia ya kiebrania ayubu anamuita mnyama mkubwa kuliko wote ni Dinasour ila biblia ya kiswahili inatafsiri KIBOKO!!

Biblia ya kiebrania na english inadai wanyama waliokuwepo kabla ya ulimwengu kuumbwa waliiitwa LEVIATHANS ila biblia ya kiswahili inatafsiri kma MAMBA !!!

Hivyo ukitaka tafsiri halisi uwe unatumia hebrew dictionary ndio utagundua screech owl ni LILITH

ahsante
 
Isaya 34:14 Na hayawani wa nyikani watakutana na mbwa-mwitu, na beberu anamwita mwenziwe; naam, babewatoto anakaa huko na kujipatia raha.
Sijaona jina hilo mkuu
 
Mkuu nimesoma hoja yako ila kuna kitu hujakielewa...... Dini karibu zote duniani zilianzia mashariki ya kati hivyo basi zinatambua historia ya kwanzia bustani ya edeni... Gharika la nuhu mpaka kuja kwa Yesu ila tofauti ni kwamba kila mtu ana namna ya kuielezea mfano ukienda iran utakutana na iran mythology inayocopy na kupaste kila kitu kuhusu story ya adam na bustani ya edeni ila tofauti watakwambia shetani alimtumia chura na wanaolinda bustani ile ni samaki.....

Kwa ufupi story ni moja ila UELEWA na MAJINA ndio tofauti..... Kma umefuatilia hata vitabu vya CS Lewis kuhusu Chronicles of Narnia utagundua anaongelea story nzima ya biblia ila katika uelewa wake..... Hata greek mythology inaongelea story nzima ya uumbaji hadi kuja kwa Yesu ila katika UELEWA na MTAZAMO wa kigiriki ndio maana story zote zinafanana tofauti ni majina location na MTAZAMO basi

But story ni moja and its real brother
je dunia ilianzia mashariki ya kati?
 
Nafarijika sana ninapochokoza mada halafu ikapata uchambuzi wenye weledi na ulioshiba elimu kama huu... Hapa unajikuta hata mtoa mada unaongeza maarifa... Asante sana zitto junior
Pamoja sana mkuu mshana jr huwa nakubali sana mada zako za kufikirisha kma hizi ingawa wengine watabeza na kukuita nabii wa uongo cjui karani wa shetani ila walio tayari kuongeza maarifa wanajifunza mengi sana kupitia nyuzi zako

Hongera sana
 
Mkuu LILITH kwa tafsiri ya kiingereza ndio wametumia SCREECH OWL kma ambavyo mmetumia Jesus ilihali jina lake halisi ni ya'shuah

Ukitaka kutafiti linganisha original text ya kiebrania sio kiingereza

Mfano biblia ya kiebrania ayubu anamuita mnyama mkubwa kuliko wote ni Dinasour ila biblia ya kiswahili inatafsiri KIBOKO!!

Biblia ya kiebrania na english inadai wanyama waliokuwepo kabla ya ulimwengu kuumbwa waliiitwa LEVIATHANS ila biblia ya kiswahili inatafsiri kma MAMBA !!!

Hivyo ukitaka tafsiri halisi uwe unatumia hebrew dictionary ndio utagundua screech owl ni LILITH

ahsante
Thanks for coming... Much much respect to you [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
afadhari mkuu leo umeileta hii mada hapa.
nilijalibu kuileta kama mala kadhaa hivi mode wamezifuta labda kwa kua sio mtaalam wa uandishi .


mimi kwa % fulani nakubaliana na hili,
ukitaka kwa kiasi ukubaliane na hii fuatilia matukio yanayoendana na huyo ibilis .
maana inasemekana baada ya mungu kutuma malaika watatu kwenda kumludisha lilith ,lilith akakataa na ndipo alipowatuma tena kwenda kuua uzao wake na lilith hivyohivyo akaapa kuua uzao wa adam.

hapo ndio vifo vya vitoto vichanga kufa na hasa chini ya umli wa miezi 3.

inasemekana huyu lilith nae aliumbwa kwa udongo kama adam ,baada ya lilith kumkimbia adam ndipo mungu alipo mlaza usingizi adam na kumtengeneza hawa.
ndio maana adam alipoamka toka usingizini ndipo akamuona hawa na kusema.
hakika huyu sasa ndio kati ya sehem ya mwili wangu.

mwanzo kwenye habari ya uumbaji mungu alisema na tumumbe mtu kwa mfano wetu ,
mungu akamuumba mtu mke na mtu me.

tukiwaza kwa umakini hapa hawa hakuumbwa ila ametengenezwa ila kuna alieumbwa pamoja na adam ,je,yukowapi huyu?
bibilia hapa imepindishwa kwa faida maalum.


KUTENGENEZA NI KUKALABATI KITU AMBACHO KIMESHA UMBWA ILA NA KINA HITLAFU FULANI.

KUUMBA NI KUTENGENEZA KITU KIPYA KABISA AMBACHO HAKIJAWAHI KUWEPO WALA KUZANIWA.
 
Isaya 34:14 Na hayawani wa nyikani watakutana na mbwa-mwitu, na beberu anamwita mwenziwe; naam, babewatoto anakaa huko na kujipatia raha.
Sijaona jina hilo mkuu
Tumia biblia ya kiingereza king james version toleo la kwanza kabisa huyo SCREECH OWL inatajwa kma LILITH ila kwa tafsiri ya sasa lilith imekuwa screech owl hivyo kwa kiswahili imekuwa BABEWATOTO
 
Pamoja sana mkuu mshana jr huwa nakubali sana mada zako za kufikirisha kma hizi ingawa wengine watabeza na kukuita nabii wa uongo cjui karani wa shetani ila walio tayari kuongeza maarifa wanajifunza mengi sana kupitia nyuzi zako

Hongera sana
Asante sana lakini hata hao wapondaji ni wafaidikaji wakuu ila basi tu si unajua binadamu baadhi yao lazima naye atake kuonyesha umahiri bila hata kuwa na maarifa ya kitu husika
 
afadhari mkuu leo umeileta hii mada hapa.
nilijalibu kuileta kama mala kadhaa hivi mode wamezifuta labda kwa kua sio mtaalam wa uandishi .


mimi kwa % fulani nakubaliana na hili,
ukitaka kwa kiasi ukubaliane na hii fuatilia matukio yanayoendana na huyo ibilis .
maana inasemekana baada ya mungu kutuma malaika watatu kwenda kumludisha lilith ,lilith akakataa na ndipo alipowatuma tena kwenda kuua uzao wake na lilith hivyohivyo akaapa kuua uzao wa adam.

hapo ndio vifo vya vitoto vichanga kufa na hasa chini ya umli wa miezi 3.


[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] Yeah tafsiri inayopingwa na wengi ndio hii uumbwaji wa mtu mke na mtu mke na Mungu kumfanyia Adam mwanamke [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]


inasemekana huyu lilith nae aliumbwa kwa udongo kama adam ,baada ya lilith kumkimbia adam ndipo mungu alipo mlaza usingizi adam na kumtengeneza hawa.
ndio maana adam alipoamka toka usingizini ndipo akamuona hawa na kusema.
hakika huyu sasa ndio kati ya sehem ya mwili wangu.

mwanzo kwenye habari ya uumbaji mungu alisema na tumumbe mtu kwa mfano wetu ,
mungu akamuumba mtu mke na mtu me.

tukiwaza kwa umakini hapa hawa hakuumbwa ila ametengenezwa ila kuna alieumbwa pamoja na adam ,je,yukowapi huyu?
bibilia hapa imepindishwa kwa faida maalum.


KUTENGENEZA NI KUKALABATI KITU AMBACHO KIMESHA UMBWA ILA NA KINA HITLAFU FULANI.

KUUMBA NI KUTENGENEZA KITU KIPYA KABISA AMBACHO HAKIJAWAHI KUWEPO WALA KUZANIWA.
 
View attachment 692867Lilith anayesemekana ni mke wa kwanza wa Adam... Hatajwi popote kwenye Biblia takatifu zaidi ya kwenye kitabu cha Isaya 34 : 14, na ambapo hata hivyo kutajwa kwake hakuna mahusiano kabisa na Adam
Kuna simulizi nyingi nje ya Biblia zinazokinzana na nyingine kushabihiana kumhusu mwanamama huyu Lakini zote zinakubaliana katika jambo moja kuwa Lilith alimwacha Adam kwakuwa hakutaka kuwa chini ya amri za mwanaume... Hakutaka kuongozwa wala kutawaliwa na mwanaume kwa utetezi kwamba, wote waliumbwa siku moja na kwa malighafi zinazofanana.. Hivyo hakuna mkubwa kuliko mwingine....

Sasa asili ya Lilith ni nini!? Ni wapi?
Lilith anaonekana mara nyingi kwenye Biblia ya kiebrania na huko anajulikana kama malkia wa usiku, pepo katili la usiku lenye tamaa kubwa ya ngono... Huku kazi yake kubwa ikiwa ni kuiba watoto gizani usiku... Lilith sio jina jema popote zaidi ya kwenye imani za kipagani na kishetani
Asili ya Lilith inatajwa sana kwenye simulizi za wayahudi (c 700-1000)... Hapa anatajwa kama mke wa kwanza wa Adam waliyeumbwa pamoja (mwanzo 1:27, kisha akafuatia mke wa pili wa Adam baada ya Lilith kuondoka (mwanzo 2:22)... Hapa inasemekana Lilith alimuacha Adam kwenye bustani ya Eden na hakutaka kurudi huko na kwenda kugawa kipochi manyoya kwa malaika muasi aliyeitwa samael.... Lakini pia simulizi nyingine zinasema aliondoka na kwenda kungonoka na shetani ili kuendeleza kizazi na uzao wa shetani....
Hii inaweza kuleta uhalisia kidogo kutokana na vile satanism wanavyomchukulia Lilith... Kumuamini na kumwabudu kama mungu mwanamke, mke wa baba yao shetani

Hizi zote ni simulizi nje ya Biblia takatifu lakini kitu kimoja kilicho wazi ni kwamba kuna hicho kiumbe chenye jinsia ya kike kiitwacho Lilith ambacho hakuna popote kinatajwa kwq wema... Kuna mahali anaelezewa kama mchawi, pepo aliyengonoka na shetani kwa makusudi mazima ya kuendeleza kizazi chao kama tulivyoona hapo juu.... View attachment 692866
Ibada za kutoa kafara katika satanism
Andiko ulilotoa
Haliendani na hiyo isaya 34: 14



Isaya 34
14 Na hayawani wa nyikani watakutana na mbwa-mwitu, na beberu anamwita mwenziwe; naam, babewatoto anakaa huko na kujipatia raha.
 
Brother, kwenye kujua tatizo liko wapi una F! Kuhusu kiingereza: Here is the logic - do the writings in the Bible predate the document you presented with the story about Lilith? If they do, then it could not have possibly been written with reference to Lilith. Someone could have very well added the names to the Lilith tale later, that is, after the Bible, to give it validity. And if Lilith was at all so significant that at that point in time Isaiah felt it was not necessary to reference her by name but her alias, we would have been presented her story in the Bible to grant us that much familiarity, at least in Isaiah. It's why I said she is possibly part of the Jewish folk tales!
Dah naona umeamua kureply kwa hasira hadi umetufanya tukae na dictionary pembeni 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Kwanini mkuu!
hebu iweke ile mistar ya mwanzo namna mungu alivyotamka kuhusu uumbaji wa mwanadamu kwa kutumia biblia mkuu.

MAANA NAAMINI KWA QIL AN IMEELEZA WAZI JUU YA UUMBAJI.TANGU ANATAMKA HADI KUMTIA PUMZI.
 
Andiko ulilotoa
Haliendani na hiyo isaya 34: 14



Isaya 34
14 Na hayawani wa nyikani watakutana na mbwa-mwitu, na beberu anamwita mwenziwe; naam, babewatoto anakaa huko na kujipatia raha.
Hebu andika haya kwa kiingereza
 
Back
Top Bottom