mathayo daniel
Member
- Jan 23, 2018
- 72
- 22
Wengine hawasomi bibilia ndoo maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo story mlizipata wapi jamaa nani alikuepo huko kama sio habari za kutungwa tuu... Et mtu anasimulia mambo ya mbinguni..[emoji23] anasimulia mambo ambayo kabla ya dunia kuumbwaa..huyo lilith ndo ibilisi lenyewe kama sijakosea kwanini nasema hivyo :-
1-shetani ndiye aligoma kumsujudia adamu kule mbinguni wakati malaika walipoambiwa wampe heshima Adam kama mkuu wao..shetani kwa kuwa alikua ni jini aliyepaishwa mbinguni akaleta kiburi na kusema."mimi nmeumbwa na moto huyu kaumbwa na udongo tena unaonuka mi siwezi kumsujudia....
2-shetani baada ya kuwekwa Aden na shetani pia alikua huko bado hawajatupwa duniani.Shetani kwa aibu ndipo alipokimbilia mbali na aden akaishi katika majabali
3-shetani ana jinsia mbili.ya kike na kiume..hivyo alianzisha uzao wake hapa duniani.na kila akijifanya tendo moja enzi hizo alikua anataga mayai 72..sijui kama bado huwa anazaa tena mpaka saiv au kawaachia uzao wake ujiongeze wenyewe.
kwaiyo me naona hii story ya waizrael haina tofauti na ile ya biblia ya kumficha ficha shetani.elimu ya kumfahamu shetani ni finyu sana katika biblia.ukitaka kuwafahamu vizuri hawa viumbe mtafute shehe anayeijua dini yake vizur akupe habari zaid.naamini utanielewa zaid
Duh sura nzima mkuu??? Si nmekuwekea hapo mistari juu.... Mistari iko mingi kuipaste yote hapa patakuwa hapatoshiTuwekee hapa tusome na sisi
Mkuu nimetoa mfano wa malaika walioenda kumtembelea lutu.... Tunaona wananchi walitaka kuwaingilia je kma wanadamu wanaweza ingilia malaika kwanni malaika washindwe kuingilia wanadamu??
Kuliko kukashifu tu jifunze kujibu hoja maana wengi wanajifunza humu kupitia hizi debate.... Wwe unasema majini na malaika kuza hawawezi mie nmetoa hoja malaika wanaweza kuvaa mwili wa binadamu je akivaa mwili wa kibinadamu hawezi kuzaa na mwanadamu?? Mbona kula walikuwa na kula na maji walikunywa hao malaika walipomtembelea abraham..... Pia kuna mmoja alipigana na yakobo kabisa sasa kwanni waweze yote ya kibinadamu alafu NGONO washindwe??
Embu tutoe tongotongo
Naona wewe ni mgeni wa hili jukwaa. Hapa tunaeleweshana na kushare maarifa hakuna mwenye wafuasi hapa kwakuwa hiki sio chama cha kisiasa, kikundi cha kiimani au group la wasanii... Huku ni intelligence kunakojadiliwa yasiyojadiliwa kwingine
"Sasa huyu" ujue hii ni demostrative pronoun kimsingi amaonyesha. Swali anamuonyesha nani?. "Bwana akafanyia usingizi, anapozinduka akamuona mwanamke . Hili ni tangazo la kuonyesha kwa Mungu.Mkuu mie nimenyoosha tu maelezo kuhusu hoja hiyo sijasema nimesupport au nmepinga so hakuna cha nabii wa uongo wala nini so jifunze kupanua ufahamu sio kukashifu mtoa mada maana wote tuko apa kujifunza na kubadilishana mitazamo
Tukirudi kwenye hoja.... Hao wanaoamini kuhusu theory hii wanakandia hasa hapo wanaposema SASA HUYU....... Embu tueleweshe na sisi wengine je hapo adamu alikuwa na maana gani
Pia aliposema ametwaliwa kutoka kwa mwanaume'' je haionyeshi kwamba yule aliumbwa ila huyu alitwaliwa......
Kwa msaada wa wengi embu tudadavulie ili tusipotoshwe
Ahsante
Umeelewa swali langu mkuu?? Nmesema kma walikula wakanywa maji na bado walitaka kuingiliwa je hauoni kwa mfumo huo huo wa kuvaa mwili basi na wenyewe wana uwezo wa kumuingilia mtu kma wakitakaMimi nimesema shetani na malaika wake/majini kifo kimewashinda.
Hao malaika watatu walio mtembelea Adam mimi na sema si malaika ila ni Mungu alimtembelea akiwa katika utatu mtakatifu ambapo kila nafsi yake iliuvaa uwanadamu.
Kwa nini mchukue baadhi tu ya mistari? Nini kiliwatokea hao uliowaita wananchi?
Unaijua greek mythology??? Unajua kwanni Yesu kwenye biblia alimtaja HADES?? Unapajua Tertullus?? Kwanni biblia iliitaja kma ni upotoshaji??
Unaijua iran mythology?? Vipi kuhusu Brahma kwa kihindu?? Na gilgamesh wa sumeria??
Kama hujawahi wasoma basi uisiseme upotoshaji maana story zao zinaendana na biblia kabisa sema tu wanatumia majina ya miungu yao ila events ni zile zile....kuanzia edeni mpaka gharika hadi MUNGU kushuka kuwaokoa!!! Utaelewa kma umesoma kuhusu zeus kuwaokoa wana wa cronus kutoka makucha ya Baba yao
Tanua fikra mkuu usibishe kila kitu ilihali biblia inatambua greek mythology
Umeelewa swali langu mkuu?? Nmesema kma walikula wakanywa maji na bado walitaka kuingiliwa je hauoni kwa mfumo huo huo wa kuvaa mwili basi na wenyewe wana uwezo wa kumuingilia mtu kma wakitaka
Nmeuliza pia kma maria aliweza kupata mimba kwa uweza wa roho mtakatifu kwanni usiamini pia malaika kma viumbe wa mbinguni wana uwezo wa kutungisha mimba hata bila ya kumuingilia mwanamke???
Tueleweshane taratibu ili tuwe ukurasa mmoja.... Ahsante
Kwanza hakuna upotoshaji maana lilith kajadiliwa na maprofessor wengi tu na kwa ushahidi wa ancient sumerian texts ndio maana hata kwenye biblia ametajwa...... Kwahiyo anajadili kitu ambacho kipo sio stori za mdomoni kma popobawa!!!Intelligence ndio imegeuka upotoshaji? Hivi ulitarajia kwingine wajadili huu upuuzi unaouita intelligence.
Hivi Mungu anamuogopa huyu Lilith kiasi gani mpaka afiche ukweli kuhusu yeye kama kweli ali muumba? Au unataka kuniambia wanadamu wanaweza kuficha jambo ambalo Mungu alitaka lijulikane? Oooh mara Biblia imeficha mambo mengine. Manabii wa uongo mkono na bahati nzuri kwetu na mbaya kwenu Mungu alitufundisha jinsi ya kuwa tambua, kwa matendo yenu. Mungu alivyo na neema kuu bado anawapa pumzi na uzima ili muendeleze haya unayo ya ita intelligence.
Kwahiyo aliyepigana na Yakobo hakuwa malaika???Malaika hawana uwezo kama wa Mungu bali wanapewa uwezo na Mungu akitaka kuwatumia kwa utukufu wake na anafanya mambo yake kwa ukuu na utukufu wake si kwa huu upuuzi unao ongelea hapa. Wala usishangae Mungu kula jaribu kutafiti ni vitu gani Mungu alivyo wahi kutolewa kama sadaka. Mwisho wa siku Mungu ni muweza wa yote.
Kwa staili hii hautawahi ongeza maarifa.... unaposema ni uongo mbona Yesu anaitambua embu soma hapaKwa imani yangu mimi Yesu ni Mungu na yeye ndiye mwanzo wa yote na alikuwepo kabla ya haya yote uliyo yataja hapa. Kwangu mimi hakuna cha ajabu hapa. Zaidi ya kusema ni uongo wa yule baba wa uongo akitaka kujinasibisha na Mungu ili akupate wewe na wa aina yako.
Kwa lugha yako hii ni ngumu kujadiliana.. Na huna kifua cha mijadala mizito kama huuIntelligence ndio imegeuka upotoshaji? Hivi ulitarajia kwingine wajadili huu upuuzi unaouita intelligence.
Hivi Mungu anamuogopa huyu Lilith kiasi gani mpaka afiche ukweli kuhusu yeye kama kweli ali muumba? Au unataka kuniambia wanadamu wanaweza kuficha jambo ambalo Mungu alitaka lijulikane? Oooh mara Biblia imeficha mambo mengine. Manabii wa uongo mpo na bahati nzuri kwetu na mbaya kwenu Mungu alitufundisha jinsi ya kuwa tambua, kwa matendo yenu. Mungu alivyo na neema kuu bado anawapa pumzi na uzima ili muendeleze haya unayo ya ita intelligence.
wewe kama huamini uwepo wa MUNGU achana wanaoamini wajifunze.unaita habari za kweli.kuwa ni story za kutungwa shame on uHizo story mlizipata wapi jamaa nani alikuepo huko kama sio habari za kutungwa tuu... Et mtu anasimulia mambo ya mbinguni..[emoji23] anasimulia mambo ambayo kabla ya dunia kuumbwaa..
Tuache kutunga
Mkuu kwa habari kama hii inabidi uwe na strong evidence. Otherwise ni upotoshaji.Ni hili tu au una lingine