Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

I see! Nilikuwa sijawahi ckia hizo habari za shost ake na Hawa... ngoja nami niingie online library nimbukue kidogo!!

Sema dah, mara malkia wa giza, mara malkia wa jehanamu, mara Lilith hivi; mara Lilith vile... yaani makombora yote hayo anayopigwa kisa tu kv kamtema Adam!

Hivi huyu Adam nae si ni miongoni mwa wateule wa Mungu; au?! Kama ndivyo, huku Uswahilini si huwa tunaambiana eti mke mwema hutoka kwa Mungu; au?

Kama ndivyo, how come tena mteule wa Mungu akapata mke asiye na sifa za kutoka kwa Mungu?!

Kama mke mwema hutoka kwa Mungu; mke muovu si itakuwa hutoka kwa shetani; au?

Kama ndivyo, ina maana mteule wa Mungu aliletewa mzigo na shetani?!

Oh! Nasikia Mungu aliumba dunia kwa cku 6 na cku ya 7 akaamua kula good time! Nimepatia?!

Kama ndivyo, au inawezekana Shetani alimlia timing Mungu, na ilipofika cku nyingine Jamaa akawa anakula good time; shetani akaupenyeza mzigo kwa Mwana Mteule!!

Au hii good time alikula mara moja tu?!

Hebu ngoja, kabla sijaendelea!! Hivi ukifukunyua fukunyua mara oh, mbona kama hivi ipo vile, mara oh, kama ndivyo mbona iko hivi... hapa vipi; naweza kupata dhambi?!

Nakumbuka enzi hizo tuko Madras Hidayat Kurasini; Ustaadhi alikuwa anatuambia ukitaka kufahamu balaa la moto wa jahanamu; ziba masikio yote mawili kwa viganja vya mikono usikie moto wa jahanamu unavyounguruma!!

Basi ukitoka hapo, hata ukikutana na braza wa Std VII lazima umpe shikamoo ili usije ukakumbana na lijimoto la jahanamu ambalo umelisikia "Live!"

Mungu anakuona Ustaadhi wangu, yaani bila huruma unavilisha matango pori vitoto vidogo!
Hahahahaha!! Wanawaseti wafuasi wa baadae.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu naomba kuongezea kidogo hapo.Maelezo yangu yatatoka kwenye source inayoitwa LEGEND OF THE JEWS ni nitayapaste kama yalivyo ili nisije poteza maana iliyokusudiwa.


LEGEND OF THE JEWS

...........The Divine resolution to bestow a companion on Adam met the wishes of man, who had been overcome by a feeling of isolation when the animals came to him in pairs to be named. To banish his loneliness, Lilith was first given to Adam as wife. Like him she had been created out of the dust of the ground. But she remained with him only a short time, because she insisted upon enjoying full equality with her husband. She derived her rights from their identical origin. With the help of the Ineffable Name, which she pronounced, Lilith flew away from Adam, and vanished in the air. Adam complained before God that the wife He had given him had deserted him, and God sent forth three angels to capture her. They found her in the Red Sea, and they sought to make her go back with the threat that, unless she went, she would lose a hundred of her demon children daily by death. But Lilith preferred this punishment to living with Adam. She takes her revenge by injuring babes--baby boys during the first night of their life, while baby girls are exposed to her wicked designs until they are twenty. days old The only way to ward off the evil is to attach an amulet bearing the names of her three angel captors to the children, for such had been the agreement between them.
The woman destined to become the true companion of man was taken from Adam's body, for "only when like is joined unto like the union is indissoluble." The creation of woman from man was possible because Adam originally had two faces, which were separated at the birth of Eve.
When God was on the point of making Eve, He said: "I will not make her from the head of man, lest she carry her head high in arrogant pride; not from the eye, lest she be wanton-eyed; not from the ear, lest she be an eavesdropper; not from the neck, lest she be insolent; not from the mouth, lest she be a tattler; not from the heart, lest she be inclined to envy; not from the hand, lest she be a meddler; not from the foot, lest she be a gadabout. I will form her from a chaste portion of the body," and to every limb and organ as He formed it, God said, "Be chaste! Be chaste!.........................

Nadhani hakuna tofauti sana na maelezo uliyoyatoa au na Yale ya #Mshana Jr# ila nadhani pia kuna kitu kipya kidogo hasa kwa nini aliumbwa kutoka ubavuni.

............Adam was first made to fall into a deep sleep before the rib for Eve was taken from his side. For, had he watched her creation, she would not have awakened love in him. To this day it is true that men do not appreciate the charms of women whom they have known and observed from childhood up. Indeed, God had created a wife for Adam before Eve, but he would not have her, because she had been made in his presence. Knowing well all the details of her formation, he was repelled by her. But when he roused himself from his profound sleep, and saw Eve before him in all her surprising beauty and grace, he exclaimed, "This is she who caused my heart to throb many a night!" .............

KWA MTAZAMO WANGU,naafiki kwamba biblia kwa kiasi kikubwa IPO kimya kuhusu habari za lilth.Sababu hasa kuzijua inakuwa ngumu.
Kuna stories nyingi hazijaguswa kiundani kama Kifo cha Cain ,habari za Nimrodi kwa kina,Kipi kilimtokea MUSSA baada ya kumwua yule Mmisri akakimbilia huko Ethiopia,Jinsi Abraham alivyopambana na kutokomeza ibada za masanam enzi ya Nimrodi n.k.

TUSOME REFERENCE NYINGI ILI KUPATA MAARIFA ZAIDI.

Nawasilisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana kwa nyongeza hii... Kuna kitu cha ziada nimeongeza hapa kuhusu huu ufunuo usiosemwa kati ya Lilith na Adam... Kuna sababu za msingi sana pengine ni kwanini Bible haikumtaja huyu bibie... Tuendelee kuchambua tutaipata ukweli hatimaye

Jr[emoji769]
 
The Divine resolution to bestow a companion on Adam met the wishes of man, who had been overcome by a feeling of isolation when the animals came to him in pairs to be named. To banish his loneliness, Lilith was first given to Adam as wife. Like him she had been created out of the dust of the ground. [emoji144][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]

Jr[emoji769]
 
Ni ngumu sana kuielewa dunia kwa sababu siri zipo kwenye maandishi na maandishi yamefichwa
Ni kweli na hasa ukitafuta kwa mwelekeo wa kwenda nje yako. Muda hautoshi na vitu ni vingi sana. Lakini pia wewe Ndio ufunguo wa yote bila uwepo wako hakuna dunia, kila ulionalo ni kimvuli Cha uhalisia ndani yako wewe, badili mwelekeo la sivyo hadithi za vitabuni zitakuchanganya tuu.
 
Ni sawa na wewe jini mahaba akujie usiku umpakue usiku kucha,,utawaambia watu una mke?? Mungu kama ana mpango na wewe ataruhusu jini mchafu alale na wewe umpakue??

Kinachonikera ni wewe Kusema eti shetani mchafu analala na Adam?? Haiwezekani,,,Mungu anaonana na Adam kila jioni aruhusu uchafu mtupu uje kulala na Adam???

Kama kutakuwa na ukweli kwenye hii riwaya nitakuwa na mashaka makubwa na Mungu?? Na ni bora nisiwe na imani?

Wewe una mpango binti yako awe na maisha mazuri ya ndoa,,ukute kuna mtu wake special keshamposa,,,utaruhusu wahuni wamkaribie??

Unapomtaja lilith unaondoa uwezo,uangalizi,,maana na upendo wa Mungu.
Tafuta maarifa uelimike

Jr[emoji769]
 
Ni sawa na wewe jini mahaba akujie usiku umpakue usiku kucha,,utawaambia watu una mke?? Mungu kama ana mpango na wewe ataruhusu jini mchafu alale na wewe umpakue??

Kinachonikera ni wewe Kusema eti shetani mchafu analala na Adam?? Haiwezekani,,,Mungu anaonana na Adam kila jioni aruhusu uchafu mtupu uje kulala na Adam???

Kama kutakuwa na ukweli kwenye hii riwaya nitakuwa na mashaka makubwa na Mungu?? Na ni bora nisiwe na imani?

Wewe una mpango binti yako awe na maisha mazuri ya ndoa,,ukute kuna mtu wake special keshamposa,,,utaruhusu wahuni wamkaribie??

Unapomtaja lilith unaondoa uwezo,uangalizi,,maana na upendo wa Mungu.
Maneno ya Mungu yanasema kwakuwa wote tumetenda dhambi na kupungukiwa na utukufu wa Mungu.... Hapa wanajumuishwa Adam na hawa pia
 
Hizi tales za ajabu sana

Kuna page namsoma huyu lilith eti ni mother of all demons

Kwamba anaiba sperm from men na kujitungisha mimba then anazaa demons

Sasa kuna brother here at hamlet ana low sperms yawezekana lilith kafanya yake[emoji2] [emoji2] [emoji2] just jokes
Hata wa piga punyeto pia Lilith ana fanya yake,
 
Ngoja na mimi nichangie kidogo.
Kwanza hiyo Isaya 34:14 inasema
" Pakamwitu na fisi watakuwa humo, majini yataitana humo, kwao usiku utakuwa mwanga, na humo watapata mahali la kupumzika"

Hapa unaunga unga issue ya huyo lilith kivipi?
 
Lilith anayesemekana ni mke wa kwanza wa Adam... Hatajwi popote kwenye Biblia takatifu zaidi ya kwenye kitabu cha Isaya 34 : 14, na ambapo hata hivyo kutajwa kwake hakuna mahusiano kabisa na Adam

Achilia mbali hiyo Isaya 34:14 ambayo nimeomba unielekeze namna lilith alivyotajwa hapo.
Nini kinakufanya uendelee kuquote mistari ya kwenye biblia wakati unajenga hoja zako za lilith wakati umeishasema hapa kwamba hakuna sehemu ingine kwenye biblia ametajwa zaidi ya kwenye hiyo Isaya 34:14.?
 
Kuna simulizi nyingi nje ya Biblia zinazokinzana na nyingine kushabihiana kumhusu mwanamama huyu Lakini zote zinakubaliana katika jambo moja kuwa Lilith alimwacha Adam kwakuwa hakutaka kuwa chini ya amri za mwanaume... Hakutaka kuongozwa wala kutawaliwa na mwanaume kwa utetezi kwamba, wote waliumbwa siku moja na kwa malighafi zinazofanana.. Hivyo hakuna mkubwa kuliko mwingine....
Na hapa, wewe mwenyewe unasema huyu lilith habari zake ziko nje ya biblia, sasa narudia swali? ni kwa nini umequote mistari ya kwenye biblia katika ujengaji wa hoja zako?
 
Nje ya biblia gani.ya kikatoliki au ya kiprotestant? Maana hizo biblia walianza wakatoliki wakachambua vitabu na kuchukua vichache kati ya vingi...hivyo kuna maandiko mengi tu ya kidini nje ya biblia yamehifafhiwa tu, wakaja waprotestant nao wakachukua bilia ya kikatoriki wakaichambua na kuchukua vitabu vichache na kuacha vingine kama 8 hivi, maana biblia ya kikatoliki ina vitabu 72 na ya kiprotestant ina vitabu 64
Muanzisha mada amesema nje ya Biblia kwa ujumla, lakini baadae kaanza kuzungumzia biblia za kiebrania, lakini pia amekuwa akitaja juu ya masimulizi ya kiyahudi huku akiquote mistari fulani ambayo kwa sasa ntaiita ya biblia, kama mwanzo 1:27 na mwanzo 2:22

sasa sielewi maana yake ni nini
 
Bwana Mshana Jr naomba nikujirishe kwamba wewe ni mmoja ya watu ambao nawatambua kuwa na huelewa mdogo sana juu ya maandiko ya kwenye Biblia, kuanzia namna biblia imeandikwa mpaka maana ya maandiko yenyewe.

Kwa kuanzia, naomba nikuonyeshe mapungu ya uelewa wako yalivyosababisha kutumia mistari ya mwanzo 1:27 na mwanzo 2:22 kwa namna ulivyoitumia kwenye maelezo yako.

Kwanza, Biblia inajieleza namna ilivyoandikwa, namaanisha, Mungu ameeleza alivyoiandika Biblia. hajaiandika kama vitabu vyetu hivi ambavyo vinalielezea jambo moja kuanzia mwanzo mpaka mwisho, yaani ukichukua chapter ya logarith unaisoma logarith na kupata maelezo yake yote, ukienda chapter ingine unaanza probability. NO.

mambo yote kwenye biblia yameelezewa kwa mafungu mafungu, unakuta kuna kilichoandikwa kwenye kitabu cha mwanzo juu ya jambo fulani ni mwisho wa maelezo wa jimbo hilo, mwanzo wa maelezo uko kitabu cha warumi, na kiunganishi kiko kitabu cha mambo ya walawi.

Ama kwenye sura hiyo hiyo moja, mstari wa 2 unamaelezo ya mwisho, ya mwanzo yako mstari wa 17, n.k hivyo basi, biblia inapozungumzia jambo moja mara nyingi haimaanishi kwamba mambo hayo yanatofauti, kama ulivyoforce wewe kwamba uumbaji wa kwenye mwanzo 1:27 ni tofauti na ule wa kwenye mwanzo 2:22.

maelezo hayo hapo juu, ni tafsiri kutoka hapa ISAYA 28: 9-10
"Atamfundisha nani maarifa? Atamfahamisha nani habari hii? Je! Ni wale walioachishwa maziwa, walioondolewa matitini? Kwa maana ni amri juu ya amri, amri juu ya amri; kanuni juu ya kanuni, kanuni juu ya kanuni; huku kidogo na huku kidogo. "

Katika muktadha huu,
Mwanzo 2: 7 "Mungu anamuumba Mwaadamu
"Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai."

Mwanzo 2: 18 " Mungu anamaanisha katika Mwanzo 2:27 alikuwa amemuumba Adamu tu
"Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.

Mwanzo 2:21-22 (Inaelezea namna alivyomuumba Hawa)"
Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake, na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu."

Mwanzo 2:23 Adamu anatambua ujio wa Bi Hawa
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.

Mwanzo 1;27 " Inasummarize uumbaji wa Mwanaadamu, adamu ha Hawa.

"Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba."


Natambua kwamba kilichokuchanganya hitimisho la yaliyofanywa kwenye kitabu cha mwanzo 2, kuwekwa kwenye kitabu cha mwanzo 1

Ama sivyo.
Hakuna sehemu Adamu wala Mungu kuwa recorded kuwa uncorfortable na mwanamke yeyote hata kupelekea uumbaji wa Hawa
 
Na hapa, wewe mwenyewe unasema huyu lilith habari zake ziko nje ya biblia, sasa narudia swali? ni kwa nini umequote mistari ya kwenye biblia katika ujengaji wa hoja zako?
Naona una tatizo la kuelewa lugha.. Nimesema kuna SIMULIZI NYINGI sijasema kuna SIMULIZI ZOTE NJE YA BIBLE
 
Muanzisha mada amesema nje ya Biblia kwa ujumla, lakini baadae kaanza kuzungumzia biblia za kiebrania, lakini pia amekuwa akitaja juu ya masimulizi ya kiyahudi huku akiquote mistari fulani ambayo kwa sasa ntaiita ya biblia, kama mwanzo 1:27 na mwanzo 2:22

sasa sielewi maana yake ni nini
Nashindwa kukuelewa maana yako fuatilia post yote na replies zangu nimejibu hoja zote to the best of my knowledge
 
Bwana Mshana Jr naomba nikujirishe kwamba wewe ni mmoja ya watu ambao nawatambua kuwa na huelewa mdogo sana juu ya maandiko ya kwenye Biblia, kuanzia namna biblia imeandikwa mpaka maana ya maandiko yenyewe.

Bwana Volatility naomba kwanza rekebisha lugha yako hapo juu
- nikujirishe... Nikujulishe
-huelewa... Uelewa
Huo mtazamo wako mwingine kunihusu mimi na Bible sina tatizo nao kwakuwa ni mtazamo binafsi.. Japo haumaanishi kuwa ndio uhalisia
Kingine ni kwamba ukitaka upanue bongo yako na kupata maarifa mengi zaidi usiishie kusoma Bible tu hasa hizi version tunazoletewa.... Kuna Bible nyingi kwa taarifa yako na zina mambo mengi ambayo hayakuandikwa kwenye Bible hii tunayoitumia sisi
 
Bwana Mshana Jr naomba nikujirishe kwamba wewe ni mmoja ya watu ambao nawatambua kuwa na huelewa mdogo sana juu ya maandiko ya kwenye Biblia, kuanzia namna biblia imeandikwa mpaka maana ya maandiko yenyewe.

Bwana Volatility naomba kwanza rekebisha lugha yako hapo juu
- nikujirishe... Nikujulishe
-huelewa... Uelewa
Huo mtazamo wako mwingine kunihusu mimi na Bible sina tatizo nao kwakuwa ni mtazamo binafsi.. Japo haumaanishi kuwa ndio uhalisia
Kingine ni kwamba ukitaka upanue bongo yako na kupata maarifa mengi zaidi usiishie kusoma Bible tu hasa hizi version tunazoletewa.... Kuna Bible nyingi kwa taarifa yako na zina mambo mengi ambayo hayakuandikwa kwenye Bible hii tunayoitumia sisi
Noted. Ila Biblia ni moja tu japo uchakachuaji ni mwingi lakini ni rahisi sana kuchambua pumba na mchele, kama nilivyochambua hapo juu.
 
Noted. Ila Biblia ni moja tu japo uchakachuaji ni mwingi lakini ni rahisi sana kuchambua pumba na mchele, kama nilivyochambua hapo juu.
Sasa nikwambie kitu hii ya sasa ndio imechakachuliwa hasa.. Ngoja kuna moja nitakutafutia edition yake ulingalishe uone
 
Back
Top Bottom