NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,284
- 24,047
Alshabab ni kizazi cha shetaniWalisema mwaka uliopita kwamba wataendelea kuwachinja chinja wasomali wenzao wasiokuwa na hatia. Eti kwasababu Marekani walihamisha ubalozi wao nchini Israel, kutoka Tel Aviv hadi Jerusalem. 😕
Ona kisingizio ambacho walitoa baada ya shambulizi lao la Dusit2. Ambapo kati ya watu 14 waliouawa 8 walikuwa waislamu, wawili kati yao ambao walikuwa wanafanya kazi ya kutafuta msaada wa madawa na vyakula vya kugawa nchini Somalia. Eti shambulizi hilo lilikuwa la kulipiza kisasi kwasababu rais Trump aliamua kuitambua Jerusalem kama jiji kuu la Israel.Alshabab ni kizazi cha shetani
Sent using Jamii Forums mobile app
MBONA SWALI LA KITOTO SANA?Wanaoua hawaijui Quran?
Kama vile sijaielewa hii comment yako.Mpaka mwondoke kwao.
Hata kusema nafsi inakusuta.Kama vile sijaielewa hii comment yako.
Au ndo ule uthibitisho kuwa waumuni wa hii dini wote ni magaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyie endeleeni kupambana na hao mujahdeen muhamad al nasoor,acheni kulialia
Kama ulikuwa hujui hao ndo ndugu wa bwana ntume waache wapambane wenyewe ukiingilia ugomvi wao,umeingia kwenye mtego,watakufurahisha...
Huyo ni mjinga tu kama nyinyi nchi zooooote duniani hakuziona hadi aende Somalia..Ni vyema kushirikisha ubongo wakati mwingine. Huyu dadako toka Tz naye kosa lake lilikuwa lipi?
Unadhani vita hivi dhidi ya hawa mazombie hazigusi kila mmoja wetu?
Huyo ni mjinga tu kama nyinyi nchi zooooote duniani hakuziona hadi aende Somalia..
Hivi kwa akili zako zote uende Somalia kufanya nini!
Mama yangu na dada yangu si wajinga kama ulivyo wewe,somalia is a dead zone mtu mwenye akili timamu hawezi endaLingemtokea dada au mamako sidhani ungeandika hivi ila Mungu akusamehe Mkuu.
Happy New Year.
Tupe khabari za Lamu jamaa wamefungua mwaka kwenye kambi ya wanamgambo wa KDFNingependa kusikia maoni ya baadhi ya majirani watz,
Wapo jehanam na bado wanangoja hadi sasa hivi kutimiziwa ahadi yao ya bikira 72 kutoka kwa bosi wao sheitwan. Wenzao watano nao wanakula maharage ya bure wakingoja kunyofolewa m*p#mb#.Tupe khabari za Lamu jamaa wamefungua mwaka kwenye kambi ya wanamgambo wa KDF
Ni vipi hawa watu ambao wanasakwa hivi afu wanakuwa live na kuhojiwa na media afu hawawezi au inakuwa ishu kuwapata?Alafu cha kutamausha zaidi ni kwamba anayewaongoza na kuwafunza hawa mazombie kutengeneza vilipuzi hivi hatari ni huyu nguruwe. Mzungu kutoka marekani, ambaye amejitwika jina la Jehad Mostafa.Jamaa yupo Somalia na huwa anahojiwa live mara kadhaa kwenye Aljazeera Arabic, ambayo ndio media maalum ya kueneza propaganda za hawa mazombie. Yaani kwa kifupi, wanamshobokea mzungu ambaye hadi sasa hivi amewaua zaidi ya wasomalia 1,200, waislamu. Tena wanamlinda ili asije akanaswa na FBI.
Alafu cha kutamausha zaidi ni kwamba anayewaongoza na kuwafunza hawa mazombie kutengeneza vilipuzi hivi hatari ni huyu nguruwe. Mzungu kutoka marekani, ambaye amejitwika jina la Jehad Mostafa.Jamaa yupo Somalia na huwa anahojiwa live mara kadhaa kwenye Aljazeera Arabic, ambayo ndio media maalum ya kueneza propaganda za hawa mazombie. Yaani kwa kifupi, wanamshobokea mzungu ambaye hadi sasa hivi amewaua zaidi ya wasomalia 1,200, waislamu. Tena wanamlinda ili asije akanaswa na FBI.