Mkuu "state sponsored terrorism"sio jambo geni.Marekani ndio vinara wa kazi hii.May be you won't beleive it,but the 9/11 was state sponsored.Kwa Tanzania frankly sina hakika,ila in Nigeria,Colombia,na nchi za Ulaya wanafanya hivyo,of course kwa malengo yale yale kama ya Marekani.Nia ni ile ile kuua na kuleta hofu.Lakini agenda pana zikiwa ni kuua of course kama nilivyo kwisha kusema, lakini pia kuiba na kuharibu.Labda utauliza kwa nini watake kuua na kuharibu,ni somo pana sana.Na pia kwa nini hofu?Mtu mwenye hofu ana loose personal confidence, kwa hiyo ni rahisi ku-manipulate na kumtawala.Zipo sababu za ndani zaidi kama production of "terror related hormones," ambazo ni chakula cha mapepo!Unbelievable, isn't it,but that is true.These world wide wars and terror activities are somehow related to that.Unajua,watu hawa wanamtumikia Shetani,kwa hiyo they do that for the benefit of their master,the Devil.The Devil doesn't like you and me,if you think he does,you are cheating yourself.