Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Wewe ndo hujui, huo si ugaidi. Ugaidi una lengo la kushinikiza serikali/taasisi flani kufanya au kuwapa wanachohitaji. Sasa hawa wa tz wanahitaji nini maana hawajajitokeza.
Anyway, ngoja nikushirikishe mawazo ya magaidi wa kwenye movie kadhaa nilizocheki. Jamaa huwa hawamfuati raia kumueleza matakwa yao. Wao hutuma video kupitia network ya siri kwenda kwa rais na kumueleza matakwa yao. Rais anaweza kukubali au kukataa, akikataa ndio mtiti unachochewa zaidi. Akikubali fresh.

Sasa turudi bongo, ingekuwa wewe ndio rais na hitaji la majamaa ni mkoa wa pwani uwe nchi inayojitegemea yaani JAMHURI YA WATU WA PWANI, ungekubali? Hayo ndio mahitaji ukicheki movie jamaa huwa yanatolewa
 
FaizaFoxy, ni kweli msiba wowote ule ni mzito na hofu kubwa inatujaa matukio kama haya yanapotokea. Lakini kila nikikukumbuka kupotea kwa kijana Ben Saanane, napatwa na huzuni kubwa zaidi. Sina hakika juhudi kubwa kiasi gani zinafanyika kumtafuta lakini kama sote tutaamua kunyamaza, tutegemee nini siku za usoni?
Naamini kuna wahalifu na wahalifu...wapo tunaowashuhudia wakifanya uhalifu lakini tunaamua kutazama kando. Sote tulishuhudia Clouds FM ikivamiwa (shukhrani kwa maendeleo ya teknolojia yaliyotuwezesha hata kuwatambua baadhi ya hao wahalifu), tulishuhudia kiongozi akitolewa bastola hadharani na wahalifu na tunao watu waliofanyiwa unyama na wahalifu lakini bahati yao wakaachiwa....@FaizaFoxy, je kuna sababu yako wewe kukaaa kimya hayo yote yakitendeka? Hata hivyo nakubaliana na wewe, hakuna lenye mwanzo lisilo na mwisho!

Clouds na Ben ni siasa majitaka.

Ya Kusini ni vitisho na mauaji kila siku. Tusichanganye siasa na huu ugaidi.

Polisi wa usalama barabarani anauliwa kwa lipi zaidi? Sote huwa tunakasirishwa na handling ya polisi wetu kwa namna moja au nyingine lakini si kufikia kuwaua. Hiyo ni way beyond human thinking.

Kuhusu Ben, nasikitika kwa kuwa ni binadam mwenzetu na tumeshalumbana sana JF kwa mitazamo yetu tofauti lakini umesahau visa vya Ben vilivyoandikwa humu humu JF zamani? Vya kufikia hadi kuwa ni mbeba sumu?

Iwe kweli ni mbeba sumu au la, kuandikwa tu namna hiyo kutakujulisha kuwa he was/is living a dangerous life. He has chosen that path nadhani ndiyo maana hata boss wake haongelei suala hilo. If you are in the frontline expect the worst.

Kuhusu kuvamiwa clouds, aah ingekuwa haijatokea baada ya mkuu wa mkoa kutangaza vita ya madawa ya kulevya ningeshutumu sana. Lakini at such a timing, I am with the starring.

Mada ni ugaidi Tanzania.
 
Wewe ndo hujui, huo si ugaidi. Ugaidi una lengo la kushinikiza serikali/taasisi flani kufanya au kuwapa wanachohitaji. Sasa hawa wa tz wanahitaji nini maana hawajajitokeza.

Kundi la watu, kama tulivyoaminishwa na tangazo la juzi juzi, haliwezi kuuwa tu bila kuwa na matakwa, ambayo pengine mimi na wewe hatuyajuwi lakini sidhani kama serikali haijuwi na kama wanajuwa basi wanafanya vyema kutotangaza kwa kuwa hicho ndicho wanachohitaji hao wauwaji.

Mimi nasema tuwe silence kabisa kwenye hilo na washughulikiwe kimya kimya mpaka wamalizwe, tusielezwe kabisa sababu zao hata kama zinajulikana ili tusitimize matakwa ya hao wanyama.
 
Sa ndugu yako mfano akitekwa inaama ukae kimiya usitangaze sababu utakuwa una promote ugaidi sister???,,au,,,,,,ivi inawezekana Dola ikafanya ugaidi au matukio ya kigaidi,,,au ili neno gaidi ni kwasisi waislam tu duniani

Duniani neno gaidi limefanywa kwa makusudi kabisa kuwa ni Waislam, lakini leo hii dunia nzima inaelewa kuwa ugaidi unafanywa, unaratibiwa na unaenziwa na wasio Waislam labda kwa kuwatumia Waislam.

Tofautisha Waislam na Uislam.

Researches zote za kisomi duniani zinaonesha kuwa 90% ya ugaidi duniani haufanywi na Waislam. Sasa jiulize nani yupo nyuma ya ugaidi? Wala huna haja ya kuwa "genius" kuupata ukweli ikiwa unautaka.
 
Je unayo habari ugaidi unaweza kuongozwa na watu, taasisi, serikali au hata taifa?
Siyo ninayo habari, nnaweza kukupa ushahidi kabisa kutoka humu humu kwenye mtandao kuwa Serikali ya USA inaongoza ugaidi duniani.

Hilo wala siyo issue, lipo wazi.
 
Siyo ninayo habari, nnaweza kukupa ushahidi kabisa kutoka humu humu kwenye mtandao kuwa Serikali ya USA inaongoza ugaidi duniani.

Hilo wala siyo issue, lipo wazi.
Je huu ugaidi Tanzania unaofanikiwa unaongozwa na nani?
 
Sema hata wewe unajisifia kusoma hapo.

Hapana, mimi sijasoma Stanford au chuo chochote US kabisa.

US nimewahi kuhudhuria viji seminars na viji course vya muda mfupi kwa fani fulani fulani tu na haikuwa Stanford wala chuo kikuu chochote. I wish ingekuwa hivyo, ningekuwa very proud.

Mimi I am so proud kupata elimu yangu ya juu BNR-I Bellevue, Canada as a non Tanzanian Tanzanian.
 
Ni mwendo wa kutekana kuviziana na kuuana [emoji27]
Wa uarabuni wanatangaza wanataka nn, kwetu ni kimya kimya [emoji37]
 
Ni ugaidi.

Wanatakiwa wasakwe wawe eliminated kimya kimya.

Ninachosema post namba moja, ugaidi ni kuwajaza watu hofu, ndiyo maana halisi ya neno "terror". "terrorist" ni mjaza hofu kwa kufanya matukio ya kutisha.

Na ili awajaze hofu ni hapo hayo matukio yanapotangazwa na kupewa publicity. Nasema matukio yao yasiandikwe. Watu wapige kimya na wawashughulikie kimya kimya.
You have a point...lakin vifo vya askari kwenda kimya kimya sidhani kama itakuwa sawa.
 
Hii ni kweli it is balanced!! Wale waliomteka Ben Saanane ni magaidi!!
Yule aliyemtolea Nape bastola ni gaidi
Watekaji wa wasanii ni magaidi!!
At least tunafahamu magaidi ni akina nani!! Lengo la kuogopesha ni lengo kuu!! Siro sasa unafahamu magaidi ni kina nani
Utaisaidia polisi..
 
Clouds na Ben ni siasa majitaka.

Ya Kusini ni vitisho na mauaji kila siku. Tusichanganye siasa na huu ugaidi.

Polisi wa usalama barabarani anauliwa kwa lipi zaidi? Sote huwa tunakasirishwa na handling ya polisi wetu kwa namna moja au nyingine lakini si kufikia kuwaua. Hiyo ni way beyond human thinking.

Kuhusu Ben, nasikitika kwa kuwa ni binadam mwenzetu na tumeshalumbana sana JF kwa mitazamo yetu tofauti lakini umesahau visa vya Ben vilivyoandikwa humu humu JF zamani? Vya kufikia hadi kuwa ni mbeba sumu?

Iwe kweli ni mbeba sumu au la, kuandikwa tu namna hiyo kutakujulisha kuwa he was/is living a dangerous life. He has chosen that path nadhani ndiyo maana hata boss wake haongelei suala hilo. If you are in the frontline expect the worst.

Kuhusu kuvamiwa clouds, aah ingekuwa haijatokea baada ya mkuu wa mkoa kutangaza vita ya madawa ya kulevya ningeshutumu sana. Lakini at such a timing, I am with the starring.

Mada ni ugaidi Tanzania.
Faiza kumbuka upo kwenye mfungo na kuweka dhana kwenye mambo ambayo huna uhakika nayo ni kosa, unahusishaje suala la kuvamiwa clouds na vita ya madawa ilhali mkuu wa mkoa huwa anawataja wahusika wa madawa live? pili ruge amekiri kupigiwa simu na makonda kuulizwa kwanini kipindi hakirushwi hewani mbona mkuu hakukanusha maneno ya ruge? mwisho kabisa mkuu wakati anahojiwa mwanza alisikika akisema ruge nimemkomesha, je kwenda media nyingine ndio kumkomesha muuza madawa?
 
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).

Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.

Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.

Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.

Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.

Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.

Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.

Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.

Au leta mawazo yako ni njia gani zitumike kutatuwa hili tatizo "linalotukabili".

Kwa muono wangu, kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.

Kwanini? Mie sijuwi.
Sijuwi=Sijui?

Shule zimejengwa kusambaza ujinga?
 
Kwanza nianze kwa kusema umeandika upumbavu mtupu.

Pili kinachotokea Tanzania si "ugaidi" bali kuna kila dalili serikali ndiyo inayofanya mambo hayo kupitia usalama wa taifa halafu unataka watu wakae kimya huku maisha yao yako hatarini.
Mkuu umeponda andiko kwa kuliita la kipumbavu halafu ukaja kuandika upumbavu zaidi ya ule uliouona!!
 
Serikali itupe ruhusa sie wenye bunduki kuua watu (magaidi).....Gaidi anashikishwa adabu ili ajifunze na hachekewi.
 
Back
Top Bottom