Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh yaan watu watekwe wauwawe tukae kimya kweli hapana ata shetani atashangaa
Link Kwanini tukatae kuwa mauaji ya polisi huko Mkuranga sio ugaidi?FaizaFoxy-Huyu naye aliyeua Askari wetu saba kwa mkupuo naye ni gaidi?Ni kwa sababu ni Tanzania tu.Nilikuwa naangalia magazeti ya leo.Karibu yote ni siasa tu.Gazeti moja au mawili ysmeandika tena si kwa uzito.Shooting ya polisi Saba at a time ni habari kubwa kwa wanaotambua umuhimu wa Askari.Kuna vurugu mkoani pwani vyombo vya habari viko bize na siasa na habari za Simba na Yanga..
Hasa Daudi bashiteUgaidi unaletwa na CCM.
Naibu spika ni rafiki ya watekaji pia majambazi hataki wabunge wajadili uovu wao.Mimi kinachonishangaza ni pale wabunge wetu wanapojadili majanga ya watu kutekwa, kuuawa na wengine kuteswa huko bungeni; serikali wa kupitia kwa Naibu spika inatoa kauli kuwa bungeni sio mahala pa kupeleka malalamiko , wabunge wenye malalamiko juu ya uhalifu huo wapeleke malalamiko yao polisi!!!!! Hapo ndipo ninapojiuliza huu uongozi ni wa kuwalinda watu na usalama wao au ni wa kuwalinda watawala peke yao? Inaelekea huyu naibu spika haguswi kabisa na matatizo haya na pengine anajua kinachoendelea na ndio maana anapuuza!
Blog za mapishi,nenda ukalale kibibi! Can't differentiate BTW Islam and terrorism... J,BushHayo unasema wewe na ndivyo ulivyojazwa ujinga lakini wale wasomi ambao hawajajazwa ujinga, tafiti zao zinasema hivi:
All Terrorists are Muslims…Except the 94% that Aren’t
Non-Muslims Carried Out More than 90% of All Terrorist Attacks on U.S. Soil
Kama lugha inapanda uje utufahamishe ni nani terrorist wa kweli?
Blog za mapishi,nenda ukalale kibibi! Can't differentiate BTW Islam and terrorism... J,Bush
Sijuwi=sijuiKinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).
Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.
Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.
Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.
Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.
Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.
Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.
Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.
Au leta mawazo yako ni njia gani zitumike kutatuwa hili tatizo "linalotukabili".
Kwa muono wangu, kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.
Kwanini? Mie sijuwi.
Huwezi kutatua tatizo kwa kupretend hamna tatizo.kunakitu kinaitwa "solving problem technique"unakifahamu?Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).
Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.
Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.
Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.
Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.
Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.
Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.
Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.
Au leta mawazo yako ni njia gani zitumike kutatuwa hili tatizo "linalotukabili".
Kwa muono wangu, kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.
Kwanini? Mie sijuwi.
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).
Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.
Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.
Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.
Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.
Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.
Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.
Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.
Au leta mawazo yako ni njia gani zitumike kutatuwa hili tatizo "linalotukabili".
Kwa muono wangu, kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.
Kwanini? Mie sijuwi.
"Kutekwa" huwa ni vitani, hao waliotekwa walikuwa vitani?
Au unatekwa kwa watu kutaka "ransom", hao unaosema waliotekwa kuna "ransom" iliyokuwa "demanded"?
Hao unaosema walitekwa hao wala hawaingii katika kigezo cha ugaidi. Ugaidi ni kama matukio ya Kusini, ugaidi ni kama kutumia hao waliotekwa kusambaza habari za kutisha watu.
Tukio la Roma, hili baada ya kumsikiliza Ally leo nimeona kumbe ni mtu anaemtukana Rais, unamtukana Rais unategemea vijana wanaompenda wakuachie tu? Wacha Rais hebu mtu akutukane wewe tu mbele ya marafiki zako tuone kama utamuachia au marafiki zako watamuachia bila ya kumuadabisha.
Huo siyo ugaidi.
Mwalimu unakuja na subtopic, theni unataka wanafunzi waje na full topic well done ss, ilitakiwa uelezee kiunagaubaga ili ueleweke sasa hapa unakiri udhaifu wako. Si ungekuja na mada complete kuhusu huo ugaidi wa kugeuza mtizamo.Ni mjadala ambao inabidi kwanza tujue sababu.
Kuna ugaidi wa kugeuza mtazamo, pia hatujauzungumzia.