Return2roots
JF-Expert Member
- Jun 12, 2015
- 874
- 438
Hali imezidi kuwa tata....ugaidi tupo nao, ingawa ni kwa kiwango cha chini...lkn kuna tatizo jingine.Nilidhani uzi huu watakuja critical thinkers na kuanza kuchambua matukio ya hivi karibuni ili tuone lipi linafaa kuwekwa kwenye ugaidi na lipi halifai.
Mpaka sasa sijaona isipokuwa post mbili tatu zimeanza lakini hazikumalizia.
Hivi matukio yepi ya hivi karibuni tunaweza kuyahusisha na ugaidi?
Wanasiasa kuanza kutumia matukio kama "nyenzo" za kisiasa zaidi, na wakti mwingine ktk tafsiri tofauti, na hivyo kuinajis dhana nzima, na harakati za umma kukabili ugaidi... wanasiasa wanatugawa ktk umoja wetu stahiki kuzungumzia tishio..