Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hukifafanui hicho kitu "moles" hamna haja ya kukiandika.
Huo ni mpango wa kushindwa malengo fulani .wahusika wanafanya hayo kutisha wengine badae wanaotishwa watajibu hapo utamu utakuja.naamini kilichotokea msaanii kutekwa na Rc kuahidi kupatikana basi hakuna shaka gov.inajua .bashite ni mjuaji ktk hili na yuko kwa nguvu ya baba J. Iko siku watajutia na damu na maumivu ya hao wote yatakua juu yao na familia zao.kwani mchuma janga hula na wa kwao.
as it is alleged, the state organs hijacking innocent citizens and subjecting them to torturesUpi huo? Tafadhali tutajie.
as it is alleged, the state organs hijacking innocent citizens and subjecting them to tortures
Si kweli. Kwa kuwa kuna wana CCM wamelalamika kutekwa.
Why discussing simple evacuations and call them hijacking?
The syntax is fcuked up.Present participle = discussing
Sijawahi kuona hilo.
Hujasikia kuwa wenyeviti wa CCM wameuliwa kinyama huko Mkuranga na Rufiji?
Ukiniteka wewe ntakaa kimya,siongeiHumanitarian.
Swali zuri sana mkuuWatu wanadhuriwa halafu mnataka sisi tukae Kimya. Osama alipatikana kwa kuwa Wamarekani hawakukaa kimya. Kama mumeo ndiye angekuwa Ben Saanane ungekaa kimya?
Watu wanadhuriwa halafu mnataka sisi tukae Kimya. Osama alipatikana kwa kuwa Wamarekani hawakukaa kimya. Kama mumeo ndiye angekuwa Ben Saanane ungekaa kimya?
Swali zuri sana mkuu
Swali zuri sana mkuu
kama kuona hujawai kusikia je?
unaanza kutoa mifano ya kwenye msafara wa mamba kenge nao wapo. hiyoo ni dalili moja wapo yakushindwa kujitetea.