Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

we bibi watu wauawe wafanyiwe ukatili jamii ikae kimya? ushauri huu umeutoa kufuatia mapenzi yako huko ccm lkn nina uhakika kama saa8 angekuwa nduguyo lzm ungefikiri tofauti. haki huinua taifa.
 
The syntax is fcuked up.

Try saying it loud and see if it makes sense [that is if you know...if you don't know it'll probably make sense but it doesn't].

Cut the BS. Am I saying anything here? I'm simply typing, shove your syntax in your behind dude.
 
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).

Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.

Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.

Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.

Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.

Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.

Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.

Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.

Au leta mawazo yako ni njia gani zitumike kutatuwa hili tatizo "linalotukabili".

Kwa muono wangu, kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.

Kwanini? Mie sijuwi.


Kumbe wewe wakati mwingine unakuwa na akili zilizoenda shule, big up. Ngoja nikuchum, mwaaaaaah!
 
Hapana, huo wa kuuawa wenyeviti wa CCM si mfano ni ukweli.

Unaonesha uko biased, akikamatwa mtu anaemtukana rais akatiwa adabu unakuona ni ugaidi lakini wakiuliwa watu chunga nzima kwa kuwa hawako chama unachokishabikia unaona ni mfano.

What a way of thinking.

chungu#chunga.

wewe bibi unaelewa sema ni mbishi tuu.

kama imethibitika mahakamani ni tusii sheria ifanye kazi hatupingi hiloo.
 
we bibi watu wauawe wafanyiwe ukatili jamii ikae kimya? ushauri huu umeutoa kufuatia mapenzi yako huko ccm lkn nina uhakika kama saa8 angekuwa nduguyo lzm ungefikiri tofauti. haki huinua taifa.

Sijaona mtu akipigia kelele ugaidi wa kweli unaofanyika Kusini, au wale si binadam wanaouwawa kule?
 
Well, Kama inabidi tupige kelele mbona tumekaa kimya wakati wenyeviti wa mitaa wa CCM wanauliwa kigaidi huku Mkuranga na Rufiji?

Kuna matukio yanayoashiria ugaidi zaidi ya hayo kwa sasa?
Tunakaa kimya kwasababu tunaweza tukawa tunahusika nayo kwa namna moja au nyingine
 
Tanzania hadi sasa kuna kikundi cha kigaidi kinachotambuliwa na serikali na msajili wa vyama ... UVCCM wengi wao ni magaidi, wauaji na watekaji .. Hata Bashite anayesumbua watu mjini kwa sasa naye ni zao la UVCCM..

UVCCM ni chaka la magaidi ..
 
Alafu kumbuka yulee Mr policeman aliulizwa swali kuhusu utekaji kwamba ni ugaidi tuseme au ujambazi au unausishwa nanini? Majibu yake namnukuu alisema kutekwa hakujaanza Leo ni matukio ya kawaida tuu kwahiyo ni sawa wanavyokaa kimya sababu hawajaona bado tishio la ugaidi
 
Sijaona mtu akipigia kelele ugaidi wa kweli unaofanyika Kusini, au wale si binadam wanaouwawa kule?
kutopigia kelele mauaji ya kusini, siyo kwamba unaunga mkono mauaji hayo lkn hata wewe unaweza kupigia kelele mauaji hayo lakini kutaka watu wanyamaze wakati watz wanateswa au kuawa siyo kitendo cha busara.
 
Kiongozi wa ugaidi nchini ni faiza foxy sijui leo kaokoka kawa mfuasi wa gwajima
 
Cut the BS. Am I saying anything here? I'm simply typing, shove your syntax in your behind dude.
When you can't debate the points you resort to insults[emoji23].

And just so you know...'saying' something doesn't necessarily have to be verbal/ spoken.

You can 'say' something through writing/ typing.

Only a dumbbell with a severely parochial linguistic knowledge would think 'saying' something has to only be verbal!

FOH!
 
Ni njia mojawapo ya kupigana na ugaidi, Watanzania wote ni ndugu na yanayowafika hata mimi yananihusu na ndiyo maana nimeleta mjadala huu.
Hapana, kwanza sidhani kama umefikia kiwango hicho cha kumchukulia kila mtanzania ni ndugu. Wataalam watanisahihisha lakini nadhani kuna UNDUGU na UDUGU. Undugu is more touching. When you miss, you real miss him or her. Ni vigumu kukaa kimya.

King Cobra
 
Hapana, kwanza sidhani kama umefikia kiwango hicho cha kumchukulia kila mtanzania ni ndugu. Wataalam watanisahihisha lakini nadhani kuna UNDUGU na UDUGU. Undugu is more touching. When you miss, you real miss him or her. Ni vigumu kukaa kimya.

King Cobra

Sidhani kama una uelewa wa neno ndugu na undugu.

Whatever.

Kama unao au hauna ni namna ya fikra zako tu, kuna ndugu wa tumbo moja na hawaelewani.

Undugu wetu ni wa Utanzania.
 
Nilidhani uzi huu watakuja critical thinkers na kuanza kuchambua matukio ya hivi karibuni ili tuone lipi linafaa kuwekwa kwenye ugaidi na lipi halifai.

Mpaka sasa sijaona isipokuwa post mbili tatu zimeanza lakini hazikumalizia.

Hivi matukio yepi ya hivi karibuni tunaweza kuyahusisha na ugaidi?
 
Hao wa nje uliowataja kuwa ni magaidi, kama ni magaidi kweli, huwa wanajitangaza ili walichokifanya kiwafikie wengi.

Huu wa kwetu mpaka leo sijaona aliyejitangaza, si kwa matukio ya Kusini ya kuuliwa wenyeviti wa CCM wala tukio la Roma au la Ben Saanane. Kwanini?

Nafikia kusema kuwa hawa magaidi wa kwetu wanataka wanatutumia sisi tuliojawa hofu tutangaze na hofu isambae zaidi na zaidi. Dawa yake nini?

Nionavyo, tukitangaza ndiyo furaha yao kwani malengo yao yametimia.

Tukikaa kimya lengo lao moja la kutangazwa litakuwa halijatimia. Hii itakuwa pigo kubwa kwao na itabidi tu wajitangaze, na hapo ndiyo tutawabaini kiulaini.

Hivi we madam.
Kwenye tukio LA nape kuonyeshewa bastola na kuzuiwa asiongee na waandishi.
Na kwenye tukio na bashite kuvamia clouds TV.
Na ishu ya bashite kufoji vyeti.
Vitu au ishu nilizotaja hapo juu zimetawala vyombo vya habari Hivi sasa.
Kwenye hii thread yako Gaidi atakuwa nani?
Mwisho ni hivi Kwa hii thread uliyoianzisha imekushusha thamani sana hapa JF.
Mimi binafsi nilikuwa nakuchukulia kama great thinker wa hadhi ya u brigedia general Kwa hii thread yako you are now a mere koplo.
 
Watekaji wanakuja na bastola serikali haitumii bastola (kwa sauti ya mwakyembe ) kukaa kimya haiwezekani
 
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).

Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.

Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.

Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.

Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.

Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.

Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.

Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.

Au leta mawazo yako ni njia gani zitumike kutatuwa hili tatizo "linalotukabili".

Kwa muono wangu, kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.

Kwanini? Mie sijuwi.
Hata uvamizi wa Mawingu Media ni tukio la ugaidi,na kwa kuwa Kiongozi wa uvamizi alionekana dhahiri then Gaidi Mkuu anajulikana
Wacha kupinda pinda
 
Nilidhani uzi huu watakuja critical thinkers na kuanza kuchambua matukio ya hivi karibuni ili tuone lipi linafaa kuwekwa kwenye ugaidi na lipi halifai.

Mpaka sasa sijaona isipokuwa post mbili tatu zimeanza lakini hazikumalizia.

Hivi matukio yepi ya hivi karibuni tunaweza kuyahusisha na ugaidi?
Tukio la Mawingu media kwa kuwa Kiongozi wa uvamizi alionekana
 
Back
Top Bottom