Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Kuna kila uwezekano kuna mbinu zinatumika ili ionekane hivyo.
Acha blabla hakuna cha ugaid hapa nchini. Haya yanayoendelea ni sarakasi za kisiasa tu, na msizushe kutuharibia nchi yetu.

Magaid yanajulikana duniani kote, ata wewe unawajua sababu ni kundi moja. Kama wamekutuma uje kupotosha huku waambie haiewezekani
 
Lengo ni kupigana na ugaidi kwa kuudhoofisha matakwa yao.
Dada FaizaFoxy, kama magaidi wanahitaji kukaa midomoni kwa watu halafu tukanyamaza wakafanya tukio kubwa zaidi ili wapate attention itakuwaje? Nadhani pia vigumu sana kuwa na mwiba mguuni halafu usichechemee. Tuchechemee tutapata tu njia ya kuwadhibiti hao magaidi.
 
Acha blabla hakuna cha ugaid hapa nchini. Haya yanayoendelea ni sarakasi za kisiasa tu, na msizushe kutuharibia nchi yetu.

Magaid yanajulikana duniani kote, ata wewe unawajua sababu ni kundi moja. Kama wamekutuma uje kupotosha huku waambie haiewezekani

Nnauhakika ndiyo mwisho wako wa kufikiri ulipoishia.
 
Dada FaizaFoxy, kama magaidi wanahitaji kukaa midomoni kwa watu halafu tukanyamaza wakafanya tukio kubwa zaidi ili wapate attention itakuwaje? Nadhani pia vigumu sana kuwa na mwiba mguuni halafu usichechemee. Tuchechemee tutapata tu njia ya kuwadhibiti hao magaidi.

Ni mjadala ambao inabidi kwanza tujue sababu.

Kuna ugaidi wa kugeuza mtazamo, pia hatujauzungumzia.
 
habari za ugaidi ndio zinapendwa sana na CHADEMA na ndio wamejaa huku kwenye mitandao wanazisambaza kwa kasi sana....leo Magufuli anaweka jiwe la msingi ujenzi wa reli hakuna anaejali....CHADEMA wako busy na habari za watu kutekwa! CHADEMA ni janga la Taifa
Jiwe la msingi linatusaidia nn kama Ben saa 8 hajulikani alipo.... ungekuwa ni wewe umepotea ndugu zako wangepost issue za Jiwe la msingi? Kwani wakoloni hawakunjenga reli, hawakununua ndege? Mbona tupipigania uhuru....Acha hizo mkuu.....
 
Watuhumiwa wa huu utekaji,utoweshwaji na utesaji wametajwa kuwa ni Usalama wa Taifa(haijakanushwa).Faiza Foxy unataka kutuaminisha kuwa Usalama wa Taifa umegeuka kuwa kikundi cha kigaidi? Basi hili litakuwa ni jambo jipya duniani!!!
###Tuleteeni Ben Saanane,Akiwa hai au amekufa!!!
###Tanzania hakuna ugaidi ila siasa za kishamba na uoga usio na maana.
 
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).

Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.

Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.

Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.

Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.

Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.

Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.

Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.

Kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.

Kwanini? Mie sijuwi.
ugaidi uliopo ni kulinda CCM kwa bei yoyote wameshaona mwisho wao unakaribiya kwa hivyo watatumiya njia zote ili wabaki
 
Nashindwa kuelewa kwa nini serikali tukufu ya CCM iko kimya_ hata wabunge wake wanapokuwa wanakabiliwa na matishio ya kutekwa?

Watanzania hatuwezi tukakaa kimya eti tuwakomeshe magaidi kwa kimya chetu!!!.
FaizaFoxy Ndugu yangu nitaumia kiasi gani nikisikia umetekwa na kuteswa?
Je moyo Wangu utahimili kukaa kimya kweli?
Nitafanya niwezalo . Nikishindwa kulipa kisasi basi nitaandika.
Kamwe sitokaa kimya.
Kuna watekaji walitajwa kwa majina na miongoni mwao ni Ramadhan Igwondu, je alichukuliwa hatua gani?
Serikali yetu ya Leo imekuwa Crime Organiser ndio maana iko kimya na hata kwa maswali mazito inakuja na majibu mepesi.
A strong tiss will ensure there is no terrorism except when and where they are the terrorists themselves. Hivi kama utawala unadulterated katiba (pamoja na mapungufu ya hiyo katiba) kuna umuhimu na u lazima wa ku terrorise walipakodi? Kweli?
 
Kinachoendelea sasa hivi Tanzania ni ugaidi (terrorism).

Lengo la ugaidi ni kuwatia watu hofu na kufikisha ujumbe kwa wengi kwa njia ya hofu.

Matukio yanayoongelewa sana kwenye vyombo vya habari na mitandao yote ya kijamii mpaka nchi za nje kwa sasa ni hayo, kuanzia watu kutekwa, kutolewa bastola hadharani, mauaji ya Kusini huko, watu kukutwa kwenye viroba, kupotea kwa watu na mengi mengineyo, yote yanaashiria ugaidi.

Magaidi hujitokeza na kusema sisi ndiyo tuliyoyafanya hayo ili waogopwe au matakwa yao yatimizwe au hukaa kimya na kuwachochea kivingine kwa lengo hilo hilo.

Matukio ya ugaidi yanapotokea pia hujitokeza wengine ambao hutumia fursa hiyo kufikisha ujumbe wao kwa njia tofauti.

Kwa yanayotokea Tanzania, ukweli ni kuwa, kuna wanaofanya huo ugaidi wa kutisha na kuna wanaotumia huo gaidi kama ni fursa kwao kufikisha ujumbe wao ama kwa kuongezea ugaidi mwingine au kwa kuendeleza hofu kwenye jamii na vyombo husika.

Watanzania tunachotakiwa kufanya ni kukaa kimya na kufunga hii mijadala yote na kuwacha kuripoti matukio yote ya kigaidi ili kushindana na ugaidi.

Gaidi kama matukio yake hayaongelewi kazi yake inakuwa haijafanikiwa.

Kila tunapoyaongea na kuyasambaza ndiyo furaha ya magaidi na ndiyo lengo lao, wengi wajawe na hofu.

Kwanini? Mie sijuwi.
Hakika tukikaa kimya kwa haya yanayoendelea,basi mawe yatapaza sauti.
 
This is state sponsored terrorism.

Wenyewe wanasema serikali ina mkono mrefu, sijui wameajiri majini huko?.
Hatukai kimya kwa sababu hawa ni watu wanao tumwa na Viongozi wa serikali ya CCM ambao hoja za mezani zimewazidi akili.
Medulla oblongata [PRIMITIVE BRAIN] ya kila binadamu ina aina zote za primitive stimulus za wanyama wa porini kaa fisi simba na mamba ambazo ziki respond kuna kila aina ya tabia chafu na primitive ikiwemo ya kuua ili ubakie wewe tu kufaidi.
Kwa kawaida hizi response huwa zimezikwa deep na kuwekwa kifuniko na si rahisi ku zi recall.

Lakini kuna watu ambao wamezaliwa na ulemavu wa ubongo stimulus za primitive brain ziko active hivyo primitive response hizi ziko active 24/7 kwa kawaida watu hawa ni schizophrenic hawana uwezo wa kupata simanzi hata siku moja.
Anampiga mtu risasi ya kichwa kabla hata hajafa vizuri anavuta sahani ya chipsi nakuanza kula kama vile hakuna kilichotokea, Mijitu kaa Daudi Bashite ni Schizophrenic mishipa ya kufanya reasoning haikuwa full developed na kufanya network normal., in short mijitu hii inafunction kwa primitive brain,

Mijitu hii ikipenya kwenye system na kupewa rungu siku zote inataka utii na kuheshimiwa kimungumungu kwa nguvu ukikaa kimya inaongeza mbwembwe. Likitamani mkeo au hata wewe mwenyewe linakupikia simu ulipelekee la sivyo unaingia kwenye list ya wala sembe,

Kama unakaa kimya ukae mwenyewe sisi tunaongea kila tukipata fursa ya kufanya hivyo kwa sababu tunajua wagonjwa wa akili wamekalia viti.
 
Huo ugaidi wa kuteka watu maarufu tu tena wenye muelekeo fulani fulani ndiyo ugaidi gani? Labda watu wa siasa na hizo siasa zao ndiyo wanataka kuwaletea watu hofu ila sie wengine huku mitaani hakuna hofu hizo kabisa. Tumepigiwa kelele za njaa na sasa mnakuja na ugaidi.
 
Ni mjadala ambao inabidi kwanza tujue sababu.

Kuna ugaidi wa kugeuza mtazamo, pia hatujauzungumzia.
Kinachonipa shida ni jinsi gani ya kukaa kimya. Kwasababu hata mjadala ni sehemu ya kupiga kelele. Madamu hatupo meza moja tutajadili kwa sauti tu. Maandishi haya ni sauti ya juu. Nafikiri wenye dhamana ya usalama wetu wazisikie kelele zetu za sauti halafu wao watende kimyakimya. Litakuwa jambo jema sisi kuona matokeo chanya ya kelele zetu.
 
Kuna uwezekano pia ma don wa unga wanamgeuzia kibao?

Tutazame pande zote.
Wauza unga wamteke Hussein Bashe ili iweje?
Walimtolea Nape Nnauye bunduki hadharani ni wauza unga? Je serikali ya CCM iliongea nini?
Ramadhan Igwondu baada ya kumteka na kumtesa Dr. Uli alichukuliwa hatua gani?
Je Naye ni Muuza unga?
Tusiukumbatie uovu Bali tuukemee.
Tanzania sio invisible island, yanayotokea nchini dunia nzima inayaona na yanaharibu taswira ya nchi yetu
 
Back
Top Bottom