Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Ugali ni chakula tunachokula kila siku, iwe ugali wa mahindi, wa mihogo, mtama au uwezo. Hiki ni chakula tunachokimudu watu wengi, hata ukikosa mboga nyanya, kitunguu, ndimu, pilipili na chumvi kidogo vitakusaidia kumaliza portion ya ugali.
Chakula kinacholiwa na wengi kuadimika katika sherehe, sifahamu inawezekana vipi. Sherehe nyingi unakuta pilau, biriani, ndizi, viazi, pasta nk, lakini si ugali.
Kama ni mechanism ya ulaji wa ugali, tunaweza kuweka huduma ya watu kunawa mikono katika sherehe ili waweze kukata matonge kwa mikono. Kuna wanaoweza kula ugali na kisu na umma.
Chakula kinacholiwa na wengi kuadimika katika sherehe, sifahamu inawezekana vipi. Sherehe nyingi unakuta pilau, biriani, ndizi, viazi, pasta nk, lakini si ugali.
Kama ni mechanism ya ulaji wa ugali, tunaweza kuweka huduma ya watu kunawa mikono katika sherehe ili waweze kukata matonge kwa mikono. Kuna wanaoweza kula ugali na kisu na umma.