Ugali ni chakula adimu katika sherehe, sababu ni nini?

Ugali ni chakula adimu katika sherehe, sababu ni nini?

Ugali ni chakula tunachokula kila siku, iwe ugali wa mahindi, wa mihogo, mtama au uwezo. Hiki ni chakula tunachokimudu watu wengi, hata ukikosa mboga nyanya, kitunguu, ndimu, pilipili na chumvi kidogo vitakusaidia kumaliza portion ya ugali.

Chakula kinacholiwa na wengi kuadimika katika sherehe, sifahamu inawezekana vipi. Sherehe nyingi unakuta pilau, biriani, ndizi, viazi, pasta nk, lakini si ugali.

Kama ni mechanism ya ulaji wa ugali, tunaweza kuweka huduma ya watu kunawa mikono katika sherehe ili waweze kukata matonge kwa mikono. Kuna wanaoweza kula ugali na kisu na umma.


View attachment 2037155
Sky katika maisha yangu nimewahi kushuhudia maramoja tu sherehe iliyopikwa ugali Mlenda,maziwa mtindi na nyama na waalikwa waligoma kula wakataka kuondoka ,Ikabidi mama shughuli afunge geti la eneo hilo na kulazimisha waalikwa ama wale ugali huo au waubebe!
 
Sky katika maisha yangu nimewahi kushuhudia maramoja tu sherehe iliyopikwa ugali Mlenda,maziwa mtindi na nyama na waalikwa waligoma kula wakataka kuondoka ,Ikabidi mama shughuli afunge geti la eneo hilo na kulazimisha waalikwa ama wale ugali huo au waubebe!
Ninadhani inategemea na wageni unawaalika. Wanaouona ugali ni chakula cha masikini au wanakula ugali kwakua hawana chaguo lingine watategemea kula pilau na biriani.
 
Sky katika maisha yangu nimewahi kushuhudia maramoja tu sherehe iliyopikwa ugali Mlenda,maziwa mtindi na nyama na waalikwa waligoma kula wakataka kuondoka ,Ikabidi mama shughuli afunge geti la eneo hilo na kulazimisha waalikwa ama wale ugali huo au waubebe!
Wabongo wengi wasivyopenda ugali yani wanaula sababu ya umaskini tu ila ingekuwa option kila mmoja angekula biriani!

Wanaokula ugali ni wachache na kwa mapenzi yao tu sababu vyakula laini wamevichoka.
 
Labda kwa makabila mengine ila asilimia kubwa ya shughuli za Wakuria nilizowahi kuhudhuria ugali unakuwepo tena unakuta na kichuri kabsa
 
Wabongo wengi wasivyopenda ugali yani wanaula sababu ya umaskini tu ila ingekuwa option kila mmoja angekula biriani!

Wanaokula ugali ni wachache na kwa mapenzi yao tu sababu vyakula laini wamevichoka.
Mkuu binafsi Ni mpenzi wa ugali mseto ,ugaali ambao ukiula hutaacha kuuulizia Mara kwa Mara hata Kama huna mboga unaenda bila kukwama kooni
 
Ninadhani ni kwasababu hatujawahi kukosa kabisa chakula. Kuna watu hawali utumbo kwakua una harufu. Utumbo ukitengenezwa roast kama ile ya maini unapendeza sana.
Hayo yote ni mazao ya kukosa uchumi mzee dada,
hv unaanzaje kula utumbo wa kuku, miguu ya bata, ni vichwa vyao, kende za mbuzi, hata huo utumbo wa ng'ombe wa ng'ombe ni unhealthy.

Kuhusu ugali kutolika kwny sherehe..sababu ni kwamba ugali unachukuliwa kama chakula chenye hadhi ya chini, na hili lipo kwny fikra za watu wengi.

Licha ya kuwa chakula kikuu, ni chakula ambacho kila mtu anamudu.

Kule cafeteria vyuoni, Tulikuwa wachache mno wenye courage ya kula ugali hadharani..
 
Huko jela na shule unasongwa mradi ugali tu, sio ule ugali uliosongwa ukasongeka ugali mzuri usio na mabuja mabuja. Ugali unaupishi wake mkuu .
Labda jela, shule mbona nguna ilikuwa poa, au ww ndo wale wachochezi wa migomo???
 
Hapa ndio kamati ya vinywaji na chakula zinapofail hasa ukute sherehe ina maji mengi, Mimi personally napenda ugali hasa wenye mchanganyiko wa dona, ngano, mtama na muhogo hapo ni hatari sana kuna mboga mlenda, dagaa au nyama choma.
Hizo ulizotaja ndio mboga za kulia ugali kwa kweli
 
Ona sasa inavyochagua mboga
Na haziliki na vyakula vingine

Utakula pilau na msusa?!.
Si kuna varieties, msisahau na mihogo ya kuchemsha bima kwenda poa tu au mihogo ya kuchemsha nayo ni umasikini.
 
Si kuna varieties, msisahau na mihogo ya kuchemsha bima kwenda poa tu au mihogo ya kuchemsha nayo ni umasikini.
Mi nakula vyakula vingi,inategemea nna hamu na nini sina shida..
Mihogo kwa wengi lazima wataipiga vita
Iwe ya kuchemsha ama ya ftari
Wkt ni chakula kizuri sana tu


Mihogo ina afadhali kuliko ugali haichagui sana

Ugali ni vile unachagua sana mboga
 
Mi nakula vyakula vingi,inategemea nna hamu na nini sina shida..
Mihogo kwa wengi lazima wataipiga vita
Iwe ya kuchemsha ama ya ftari
Wkt ni chakula kizuri sana tu


Mihogo ina afadhali kuliko ugali haichagui sana

Ugali ni vile unachagua sana mboga
Wewe utakua wa mboga saba, wenzako wanakula ugali na ndimu ukipata pilipili unashukuru.
 
Back
Top Bottom