DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Ugali na wali ni vyakula vya watu wa chiniUnapenda chips kiepe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ugali na wali ni vyakula vya watu wa chiniUnapenda chips kiepe?
Ndizi mkuuWatu wa juu mnakula nini?
Sijamaanisha hivyo mkuu, mbadala was ugari unajulukana kuwa ni ubwabwa so nitakula ubwabwa tu endapo nakula basic food.Unapenda chips kiepe?
😂😂😂Ulivyoanza, “Ugali ni chakula tunachokula kila siku, ...” mada ikaishia hapo.
Wali waliwa dada kitu cha ndege.Unapenda chips kiepe?
Kuna wengine tunakula vya shereheni kila siku tunataka ugali hukoJaman ugali unatosha nyumbani [emoji23]
Dagaa mchele wa zenj sijui wale wa darHakuna kitu kitu kama ugali na dagaa wa Mwanza.
Ili kutuomba michango ya sherehe sio kazi sana na kutoa michango sio kazi sanaUnaanzaje kusonga ugali wa watu kuanzia 100. Ni kazi sana jamani
WameuzoeaUgali ni chakula tunachokula kila siku, iwe ugali wa mahindi, wa mihogo, mtama au uwezo. Hiki ni chakula tunachokimudu watu wengi, hata ukikosa mboga nyanya, kitunguu, ndimu, pilipili na chumvi kidogo vitakusaidia kumaliza portion ya ugali.
Chakula kinacholiwa na wengi kuadimika katika sherehe, sifahamu inawezekana vipi. Sherehe nyingi unakuta pilau, biriani, ndizi, viazi, pasta nk, lakini si ugali.
Kama ni mechanism ya ulaji wa ugali, tunaweza kuweka huduma ya watu kunawa mikono katika sherehe ili waweze kukata matonge kwa mikono. Kuna wanaoweza kula ugali na kisu na umma.
View attachment 2037155
Inachosha kuanza kuwrap hizo portions si kama wali chaap mnapasha hapoUnaiweka kwenye cling film na kuuhifadhi kwenye hot pot.
Kukiwa na ugali tutapika bamia na nyanya chungu, msusa, kisamvu na nkhoko.Ugali umezoeleka ni chakula cha mchana
Sherehe nyingi ni usiku
Ugali pia unachagua mboga...
Usiku ushakuta samaki wa nazi kwenye sherehe?!
Ama unataka ule ugali njegere😀?.
Kwani shule za bweni tulikuwa tunasongewaje!!!...ugali hata wa watu buku unasongwa tu...suala ni watu wako tayari kula ugali??? Jela ugali unasongwa hata wa watu 2000Unaanzaje kusonga ugali wa watu kuanzia 100. Ni kazi sana jamani
Huko jela na shule unasongwa mradi ugali tu, sio ule ugali uliosongwa ukasongeka ugali mzuri usio na mabuja mabuja. Ugali unaupishi wake mkuu .Kwani shule za bweni tulikuwa tunasongewaje!!!...ugali hata wa watu buku unasongwa tu...suala ni watu wako tayari kula ugali??? Jela ugali unasongwa hata wa watu 2000
Ugali mlenda wa karanga, upate na visamaki na kulumangia na kchumbali hatarii.Ugali umezoeleka ni chakula cha mchana
Sherehe nyingi ni usiku
Ugali pia unachagua mboga...
Usiku ushakuta samaki wa nazi kwenye sherehe?!
Ama unataka ule ugali njegere😀?.