Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Kwani mahindi yano protein au cabohydrate mbona unatudanganya ,ulisoma wapi wewe kwanza maana unaandika tu na ujui usemalo?
 
Dona haina tatizo ww ndo unatatizo, panya hawal mahindi yaliyokobolewa iweje sisi tulioambiwa kuwatawala tule yaliyokobolewa? Sasa nakwambia fanya mpango uaze kula dona kwan wanaokula sembe wanajiua wenyewe taratibu lkn kwa uhakika!
ninavyojua mimi panya hula kiini cha mhindi sasa sijui kiini cha mhindi ndio dona hapo utanisaidia,kuhusu kula dona sina mpango kabisa ninazaidi ya miaka 30 siijui dona pia baba yangu anazaidi ya miaka 60 hiyo dona haijui sasa hizo nadharia zako sijui umezitoa wapi, asante kwa ushauri wako lakini sintaufanyia kazi
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
sasa ukikoboa utaweza kukitoa kiini ,ukikoboa utatoa maganda kiini huwezi kukitoa,halafuu hiyo sumu huwa juujuu ina rangi ya kijani,ukiyaosha vizuru sumu unaitoa.ni vizuri kuuosha maindi kabla ya kusaga
 
ninavyojua mimi panya hula kiini cha mhindi sasa sijui kiini cha mhindi ndio dona hapo utanisaidia,kuhusu kula dona sina mpango kabisa ninazaidi ya miaka 30 siijui dona pia baba yangu anazaidi ya miaka 60 hiyo dona haijui sasa hizo nadharia zako sijui umezitoa wapi, asante kwa ushauri wako lakini sintaufanyia kazi
Nazalia yang n kwamba unakula pumba mana hakna virutubisho chochote unachopata protein na fibre unaziacha mashinen, unakataa dona unaknywa maji ya special ??
 
Ninyi wakuu mnaoponda dona nambie nakunywa maji ya special? Mnapiga mswaki kwa kutumia dawa?
 
Nazalia yang n kwamba unakula pumba mana hakna virutubisho chochote unachopata protein na fibre unaziacha mashinen, unakataa dona unaknywa maji ya special ??
kwa nadharia hiyo basi hata kukoboa mpunga ni kosa kwani hizo fibre zinatolewa tunaziacha mashineni, halafu sijakuelewa unamaanisha nini unaposema ninakataa dona ninakunywa maji special hapo uhusiano upo wapi
 
Uhusiano n huu dona kwa kumunukuu mtalam inasababisha kansa, nami nalinganisha na maji ya special pmj na dawa ya meno hivi vyote ukisoma maelezo yalpo kwenye na maji composition utaona chlorine na fluoride hivi pia husababisha kansa kulingana kinga ya mwil ya mtumiaji, sasa unakwepa dona unaangukia mlemle
 
Mahindi salama ni mahindi machanga tu. yakishakauka Yawe dona, yawe sembe nihatari kwa afya yako. Cancer ya Ubongo na mengine meeeengii. Msiniulize how....chukueni homework mkatafute zaidi. Kuleni mahindi kabla hayajakauka na sio vinginevyo.
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
https://www.google.com/url?sa=t&rct...HAJUB5ig-eQmsztLw&sig2=_FujmAaJchZFcCFKL8CQig
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Kwahiyo tuache kula dona?,kama kufa tutakufa tu,maisha ni mafupi hapa duniani usisumbuke sana,
 
Aflatoxin ni sumu itokanayo na fungus waliopo kwenye nafaka nyingi tu hata karanga inao, effect yake ni ndogo sana kwa watu wazima, inasemekana kua na madhara kwa ubongo wa mtoto tu...!! madhara ya aflatoxins kwa mtu mzima ni madogo sana ukilinganisha na faida za dona
 
acha upotoshaji kwanza hueleweki, au umekop na kupest mzee babu zangu walikula dona kwa muda wa miaka 98 bila tatizo lolote, labda ushauri watu wasihifadhi mahindi kwa madawa makali unaeza eleweka kidogo
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Acha uzushi mchana kweupe sisi hatutaki sembe wala mchele wa Thailand tutakomaa na dona tuu!
 
Acha uzushi mchana kweupe sisi hatutaki sembe wala mchele wa Thailand tutakomaa na dona tuu!

Kibaravumba, endelea kuvumba kama hujasoma 'posts' za wachangiaji! Uamuzi jinsi ya kutunza afya ni ya mtu mwenyewe pamoja ushauri wa kisayansi uliopo. Endelea kula ugali wa dona.
 
Back
Top Bottom