Hatari Sana mkuu hakuna chakula kilicho salama Kama kinapitia kiwandani mkuu , mchele wenyewe unapitia huko huko kwenye mashine, ukichunguza Sana utakua unakula mihogo tuu, lakoni hata hiyo mihogo umeshawahi jiuliza kwa nn kisu kinachomenyea and kinaisha makali ule ubutu unasabishwa na nn, ni kumuomba tu mungu mkuu atuepushe na athali ya hivyo vitu
Mkuu hua unakwangua masufuria na kula ukoko? Duuh acha bana sio poaMbona unapokwangua sufuria kwa lengo la kula ukoko kwenye sufuria la Alumimium nyumbani kwako kwa kutumia kijiko huoni hatari ya kula hivyo vi particles wakati kuna msagano mkubwa sana pale..!!!
Unapata madini ya chumamle kwenye MASHINE kuna sumaku inayonasa tu-vyuma
isitoshe hata ukila hivyo tuvyuma ndivyo unaendelea kuwa imara kama chuma.!!
Hahahahahaaa, hatari sana. Umenichekeshamle kwenye MASHINE kuna sumaku inayonasa tu-vyuma
isitoshe hata ukila hivyo tuvyuma ndivyo unaendelea kuwa imara kama chuma.!!
Kula matunda bila kumenya uishi miaka 130. Ila jiandae kutishwa na jogoo awikapoUnapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
[emoji16][emoji16][emoji16]Unapata madini ya chuma
Wewe umeanzia mashine ya kusaga, Mimi naanzia jiwe la kusaga kijijini mwetu, bado hapo mpaka sasa; jiwe hili limelika katikati na sasa linafanana na sahani ya mizani ya kupimia watoto wachanga hospitali! Kilichosagika kimekwenda wapi? Jibu, tumboni. Mwisho mkataze mkeo kutumia steelwire kusafishia sufuria huwa zinabakisha chembechembe kwenye sufuria.Unapopeleka mahindi yasagwe kwa ajili ya matumizi yako ya nyumbani ukakuta mashine imeharibika mhusika anakwambia ngoja mashine itengenezwe ktk kufungua mashine unashuhudia kuna machujio ya chuma yamelika yametoboka na mengine yaliungwa siku za nyuma yamelika.
Swali particles (chembechembe ) za hivi vyuma vilivyolika na kutoboka zinaenda wapi?
Unga wa muhogo vipi?Hatari Sana mkuu hakuna chakula kilicho salama Kama kinapitia kiwandani mkuu , mchele wenyewe unapitia huko huko kwenye mashine, ukichunguza Sana utakua unakula mihogo tuu, lakoni hata hiyo mihogo umeshawahi jiuliza kwa nn kisu kinachomenyea and kinaisha makali ule ubutu unasabishwa na nn, ni kumuomba tu mungu mkuu atuepushe na athali ya hivyo vitu
Wazee wetu wamesaga sana,wamekula sana na wameishi miaka 100+
Nyie wanaume wa kinondoni na viepe vyenu hata 60 hamfiki
mle kwenye MASHINE kuna sumaku inayonasa tu-vyuma
isitoshe hata ukila hivyo tuvyuma ndivyo unaendelea kuwa imara kama chuma.!!