Ugali wa dona sasa washamiri kwa kasi Dar es Salaam

Ugali wa dona sasa washamiri kwa kasi Dar es Salaam

hukawii kuwa mchuna ngozi wewe

Nikutahadharishe tu kuwa sio mara zote dona ni nzuri, hasa nchi zetu za kitropiki. Uki-google kidogo tu utaona kuwa zaidi ya 80% ya mahindi yaliyopo sokoni yamekuwa contaminated na fungi ambao hutoa sumu zinazoitwa mycotoxins. Sumu hizi hususani zile za aflatoxins hazina rangi wala harufu, lakini zina madhara makubwa sana hasa kusababisha saratani ya ini. Ingawa madhara ya papo kwa hapo sio mengi (mfano walipokufa watu zaidi ya 150 Kenya mwaka 2004), madhara ya muda mrefu ndio ndio makubwa na hatari.
Zaidi ya kansa ya ini, sumu hizi husababisha kudumaa (kwa watoto), na upungufu wa kinga za mwili unakopelekea mhusika kupata maambukizo ya magonjwa kama malaria, kuharisha, typhoid, mafua na mengine mara kwa mara. Kwa wamama wajawazito kunakuwa na hatari ya kujifungua watoto wenye ulemavu au kuharibika kabisa kwa mimba.
Kwa bahati mbaya, fungi humea zaidi kwenye kiini na ganda la nje la mbegu ya mahindi, hivyo kuwaweka watu wanaokula chakula kinachotokana na mahindi ambayo hayajakobolewa katika hatari kubwa zaidi. Hapo ndipo linapokuwepo tatizo kwa kula dona, kwani imethibitishwa (huko Benin, Kenya na kwingine), kuwa kuosha na kukoboa mahindi kunaweza kupunguza hadi kiasi cha 60% ya mycotoxins zilizopo...

Pamoja na faida ya kuwa na protini na fibre kwenye dona, hasara ya kuwepo kwa mycotoxins inafanya wataalamu washauri watu wale sembe zaidi na kupata protini, vitamini na fibres kwenye vyakula vingine kama maharage, kunde na mboga za majani...

cc MziziMkavu Matola miss neddy Joseph

Mkuu asante kwa maelezo yako, duh hii dunia ukitaka ufaidi vizuri jilimie chakula chako mwenyewe
 
Tubadilike jamani kwanin panya atuzid akili sembe sio ishu unaweza kula pale tu dona inapokosekana kabisa mahali ulipo
 
Mwishoni mwa mwaka jana nilikuwa Dar, katika pitapita zangu kwa ndugu na jamaa kwingi nikakuta ugali dona, kwenye hotel pia ugali dona, nikamuuliza bodyguard wangu ninae mtumia nikiwa dar akasema kwake ni mwaka wa tatu sasa hawajui unga wa sembe, niliporudi nyumbani nikasema nikawaambia stock ya unga wa sembe ikiisha hakuna kuagiza tena, nikafanya taratibu niwe natumiwa unga wa dona, ila nimeambiwa hautakiwa kuwa na stock kubwa kwa kuwa unaharibika haraka kwa kuwa upo hai.
 
safi sana,............mkiyajua hayo heri ninyi mkiyatenda
Mwishoni mwa mwaka jana nilikuwa Dar, katika pitapita zangu kwa ndugu na jamaa kwingi nikakuta ugali dona, kwenye hotel pia ugali dona, nikamuuliza bodyguard wangu ninae mtumia nikiwa dar akasema kwake ni mwaka wa tatu sasa hawajui unga wa sembe, niliporudi nyumbani nikasema nikawaambia stock ya unga wa sembe ikiisha hakuna kuagiza tena, nikafanya taratibu niwe natumiwa unga wa dona, ila nimeambiwa hautakiwa kuwa na stock kubwa kwa kuwa unaharibika haraka kwa kuwa upo hai.
 
IMG-20121018-00135.jpg
 
Wataalamu wanashauri watu wale sembe ukifuatilia wao unaweza kuwakuta hawali sembe mfno mwingine wale wanaozalisha kuku na mayai ya kisasa watakwambia bidhaa zao ni bora sana ambapo wao wanatumia mayai ya kienyeji sasa maana yake nini so gonga dona ndo mpango mzima
 
Nikutahadharishe tu kuwa sio mara zote dona ni nzuri, hasa nchi zetu za kitropiki. Uki-google kidogo tu utaona kuwa zaidi ya 80% ya mahindi yaliyopo sokoni yamekuwa contaminated na fungi ambao hutoa sumu zinazoitwa mycotoxins. Sumu hizi hususani zile za aflatoxins hazina rangi wala harufu, lakini zina madhara makubwa sana hasa kusababisha saratani ya ini. Ingawa madhara ya papo kwa hapo sio mengi (mfano walipokufa watu zaidi ya 150 Kenya mwaka 2004), madhara ya muda mrefu ndio ndio makubwa na hatari.
Zaidi ya kansa ya ini, sumu hizi husababisha kudumaa (kwa watoto), na upungufu wa kinga za mwili unakopelekea mhusika kupata maambukizo ya magonjwa kama malaria, kuharisha, typhoid, mafua na mengine mara kwa mara. Kwa wamama wajawazito kunakuwa na hatari ya kujifungua watoto wenye ulemavu au kuharibika kabisa kwa mimba.
Kwa bahati mbaya, fungi humea zaidi kwenye kiini na ganda la nje la mbegu ya mahindi, hivyo kuwaweka watu wanaokula chakula kinachotokana na mahindi ambayo hayajakobolewa katika hatari kubwa zaidi. Hapo ndipo linapokuwepo tatizo kwa kula dona, kwani imethibitishwa (huko Benin, Kenya na kwingine), kuwa kuosha na kukoboa mahindi kunaweza kupunguza hadi kiasi cha 60% ya mycotoxins zilizopo...

Pamoja na faida ya kuwa na protini na fibre kwenye dona, hasara ya kuwepo kwa mycotoxins inafanya wataalamu washauri watu wale sembe zaidi na kupata protini, vitamini na fibres kwenye vyakula vingine kama maharage, kunde na mboga za majani...

cc MziziMkavu Matola miss neddy Joseph

Jf in his highest level. umesomeka mkuu ngoja tuwasubilie wataalam zaidi wamwagike hapa, mimi napendelea zaidi ugali wa muogo au mixer na mtama tunaomba mdadavuwe pia.
 
Last edited by a moderator:
Wataalamu wanashauri watu wale sembe ukifuatilia wao unaweza kuwakuta hawali sembe mfno mwingine wale wanaozalisha kuku na mayai ya kisasa watakwambia bidhaa zao ni bora sana ambapo wao wanatumia mayai ya kienyeji sasa maana yake nini so gonga dona ndo mpango mzima

mikono na vidole vyangu vyote juu
 
Jf in his highest level. umesomeka mkuu ngoja tuwasubilie wataalam zaidi wamwagike hapa, mimi napendelea zaidi ugali wa muogo au mixer na mtama tunaomba mdadavuwe pia.

the means justify the end
 
Ukila sembe kwa wingi usiku,ukiamka asubuhi mdomo mchungu.Sembe siyo nzuri!!
 
kuna mtaalamu mmoja aliwahi kusema kwamba inapokuja suala la lishe, panya ana akili kuliko binadamu maana panya hula kiini cha mahindi (dona) na kutupa makapi (sembe) ilihali binadamu hutupa kiini na kula makapi

Upo sahihi kabisa mkuu !
 
Back
Top Bottom