Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madikteta wote watokeMuda wao umeshafika sasa lazima tuwatimue
Tanzania ma prof na PhD zimejaa serikali mpaka tusio na hizo elimu tunaogopa.Na hizo ndiyo principle za madikteta ulimwenguni kote
Yap. Anawaunga mkono vijanaNasikia Besyige kachomoa this time
Sana tu. Bobi Wine kwanza ana political base kubwa sana, ukichanganya na mashabiki wa Jose Chameleone na Besigye kama ataamua kuwaunga mkono basi Uganda patakua hapakaliki kabisa.Hiyo combination ya Bob Wine +Chameleon +Besigya itakuwa ni mkuki wa sumu kwa M7
NJE NTITI NDANI NTITI.Kwa jirani kuchele
Na akirogwa kutumia majeshi na police ndiyo hapo watu wa nasubiria ili wafanye ya kwao.Sana tu. Bobi Wine kwanza ana political base kubwa sana, ukichanganya na mashabiki wa Jose Chameleone na Besigye kama ataamua kuwaunga mkono basi Uganda patakua hapakaliki kabisa.
Museveni kama ana busara angeamua kukaa kando na kuwapisha, kwa sababu kwa nguvu waliyonayo, ataakua kuwazima kwakutumia polisi na jeshi
Africa ndiyo iko kwenye renaissance watawala wetu wajinga hawataki kuuona ukweli huu.Nimesema na nitasema tena kwa sasa Africa siasa ni harakati unatakiwa tu ujenge sera na hoja nzuri utapata wafuasi wala huitaji wanachama wa kwenye daftari.
Mseven muda wowote atakufa kwa uzee na chama chake kitamfuata kaburini.M7 kesha sema kaingia kwa nyundo na kutoka labda iwe kwa nyundo.
Aisee umetoa point kubwa sana na yawazi kwa wenye macho.Mseven muda wowote atakufa kwa uzee na chama chake kitamfuata kaburini.
Hata ccm vijana wa nyerere wakiisha na yenyewe itajifia kifo cha Mende.
Mpaka sasa ccm haina tena political agenda zaidi ya kupoint madaraja na barabara.
CCM haiunganishwi tena kwa itikadi bali maslahi ya mwanachama mmoja mmoja hivyo wanachama wako pamoja kwa kuzingatia maslahi yao kwa kiwango gani yako secured tu.
Haaa huyu na chameleone na bebe cool miaka miwili nyuma walikwua wanatukanwa sana na waganda kwamba wanamuunga mkono Museveni na Museveni ilikuwa inadaiwa kwamba anamtumia sana chameleon kweli mambo yamebadirika ila bob wine ana nguvu sana asipomng'oa Museveni basi Museveni atakuwa kaiba kura sanaJoto la uchaguzi nchini Uganda limezidi kupanda baada ya vyama vya upinzani nchini humo kujiunga ili kutengeneza nguvu ya pamoja.
Bob Wine ameibukia kuwa tishio kwa rais M7 bila uoga na vitisho vya jeshi la polisi kutoka kwa rais M7.
Leo hii inatarajiwa mpinzani mkuu wa M7 Chiza Besigye kutangaza kujiunga na wanamziki Bob Wine na Chameleon ili kukamilisha kikosi kazi cha kumg'oa kotapini M7.
======
Singer Jose Chameleone and now mayoral hopeful has today announced joining a new political party NUP a year after initiation into the Democratic Party. Chameleone who has long preached joining the people’s side has made it official today at NUP headquarters in Kamwokya.
In his statement through his spokesperson he made it clear that while it was also his desire to join NUP, it was also the party’s intention to subscribe to NUP and as a member he could only oblige.
“Joseph Mayanja alias Jose Chameleone as a member of DP block does not defy his party policies and decisions. When DP block decided to join NUP he was obliged.” Stuart Kagoro speaking for Chameleone posted.
Jose Chameleone still eyes the mayoral seat even more vigorously than ever and as the elections get nearer he intends to intensify his awareness campaigns, he said.
Tunahitaji kuwa kitu kimoja ili tutengeneze nguvu ya kuviondoa hivyo vyama madarakani.Africa ndiyo iko kwenye renaissance watawala wetu wajinga hawataki kuuona ukweli huu.
Mpaka sasa vyama vilivyodumu madarakani kwa miaka mingi vimebaki sita tu.
ANC, CCM SWAPO, FRELIMO, ZANU PF na NRM.
Kuna kila dalili ZANU PF, CCM na NRM maisha yake yako ukingoni sana sidhani kama vitavuka miaka mitano ijayo nikiwa salama.
Kweli kabisa na M7 analijua hilo, na alifanya kosa sana kumuumiza Bob wine hadi akapata nafasi ya kwenda USA kwenye matibabu.Haaa huyu na chameleone na bebe cool miaka miwili nyuma walikwua wanatukanwa sana na waganda kwamba wanamuunga mkono Museveni na Museveni ilikuwa inadaiwa kwamba anamtumia sana chameleon kweli mambo yamebadirika ila bob wine ana nguvu sana asipomng'oa Museveni basi Museveni atakuwa kaiba kura sana