Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
Wataachia tu acha watuteke, watutese hawawezi kutuua wote.Mbele ya safari itakuwa ni kuwalazimisha kuwaachia ngazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataachia tu acha watuteke, watutese hawawezi kutuua wote.Mbele ya safari itakuwa ni kuwalazimisha kuwaachia ngazi
R I P David MwangosiR. I. P. Alphonce Mawazo
Aluta continua victor ascertaAmina kamanda
Joto la uchaguzi nchini Uganda limezidi kupanda baada ya vyama vya upinzani nchini humo kujiunga ili kutengeneza nguvu ya pamoja.
Bob Wine ameibukia kuwa tishio kwa rais M7 bila uoga na vitisho vya jeshi la polisi kutoka kwa rais M7.
Leo hii inatarajiwa mpinzani mkuu wa M7 Chiza Besigye kutangaza kujiunga na wanamziki Bob Wine na Chameleon ili kukamilisha kikosi kazi cha kumg'oa kotapini M7.
======
Singer Jose Chameleone and now mayoral hopeful has today announced joining a new political party NUP a year after initiation into the Democratic Party. Chameleone who has long preached joining the people’s side has made it official today at NUP headquarters in Kamwokya.
In his statement through his spokesperson he made it clear that while it was also his desire to join NUP, it was also the party’s intention to subscribe to NUP and as a member he could only oblige.
“Joseph Mayanja alias Jose Chameleone as a member of DP block does not defy his party policies and decisions. When DP block decided to join NUP he was obliged.” Stuart Kagoro speaking for Chameleone posted.
Jose Chameleone still eyes the mayoral seat even more vigorously than ever and as the elections get nearer he intends to intensify his awareness campaigns, he said.