Uganda: Chameleone aungana na Bobi Wine kumng’oa Museveni

Uganda: Chameleone aungana na Bobi Wine kumng’oa Museveni

Kweli kabisa na M7 analijua hilo, na alifanya kosa sana kumuumiza Bob wine hadi akapata nafasi ya kwenda USA kwenye matibabu.

Baada ya kurudi Uganda amezidi kujiamini sana huku M7 akizidi kumuogopa sana Bob wine.
Jaja anaondoka nadhani, ila hii movement ya bob wine Museveni na polisi wameua watu wengi sana kuisupress hata wasanii wadogo na dereva wake bob wine wakidhani gari limembeba boby.
 
Bob Wine ni strategist mzuri sana. Kashakwepa mishale ya kutosha ya uzandiki kutoka kwa M7. Hata chama anachotembelea saiv alikinunua akakiweka mfukoni! Walivyozuia chama cha awali ndio akatoka na cha mfukoni! Ikawa chenga ya mwili kwa M7.. ila kama anaungana na Mayanje(Kinyonga) bhas ajue ndio kinyonga kweli kweli. Lazima atachomoa betri in the end na mzee M7 atashinda kiulaini. Those two (Chameleon&Bob Wine) can`t archive anything better together. Watazinguana tu na ndio mpango uko hapo.
 
Jaja anaondoka nadhani, ila hii movement ya bob wine Museveni na polisi wameua watu wengi sana kuisupress hata wasanii wadogo na dereva wake bob wine wakidhani gari limembeba boby
M7 ni sawa na madikteta wengine tu
 
Mimi naionea huruma sana Familia yake na mseveni ikiwa tu siku ataamka na kukuta sio Rais tena au Mungu akimpenda zaidi, Wataishi kwa tabu sana kuanzia mke wake ambae ni Waziri sasa mpaka yule mwanae ambae ni top Millitary officers
 
Bob Wine ni strategist mzuri sana. Kashakwepa mishale ya kutosha ya uzandiki kutoka kwa M7. Hata chama anachotembelea saiv alikinunua akakiweka mfukoni! Walivyozuia chama cha awali ndio akatoka na cha mfukoni! Ikawa chenga ya mwili kwa M7.. ila kama anaungana na Mayanje(Kinyonga) bhas ajue ndio kinyonga kweli kweli. Lazima atachomoa betri in the end na mzee M7 atashinda kiulaini. Those two (Chameleon&Bob Wine) can`t archive anything better together. Watazinguana tu na ndio mpango uko hapo.
Hayo ni mawazo yako mkuu na tunayaheshimu. Ila cha msingi tunategemea kushuhudia anguko kuu la M 7
 
Mimi naionea huruma sana Familia yake na mseveni ikiwa tu siku ataamka na kukuta sio Rais tena au Mungu akimpenda zaidi, Wataishi kwa tabu sana kuanzia mke wake ambae ni Waziri sasa mpaka yule mwanae ambae ni top Millitary officers
Watavuna walicho kipanda na hizo ndiyo siasa za Afrika
 
Kweli kabisa na M7 analijua hilo, na alifanya kosa sana kumuumiza Bob wine hadi akapata nafasi ya kwenda USA kwenye matibabu.

Baada ya kurudi Uganda amezidi kujiamini sana huku M7 akizidi kumuogopa sana Bob wine.
Scenario ya Boby Wine iko relatively similar na ile ya Lissu, wote baada ya kurejea wamekuwa ni mwiba hatari kwa watawala.
 
Scenario ya Boby Wine iko relatively similar na ile ya Lissu, wote baada ya kurejea wamekuwa ni mwiba hatari kwa watawala.
Na watawala wanajua kuwa hao jamaa huko walikotoka ndiyo kwa wenye mikono mirefu, macho makali, akili kubwa, maamuzi magumu!
 
Na akirogwa kutumia majeshi na police ndiyo hapo watu wa nasubiria ili wafanye ya kwao
Kama ana akili timamu aachane tu na siasa (ingawa anahofia kushitakiwa kwa human rights abuse). Ushauri wangu ni kwamba, arekebishe sheria kama alivyofanya Nkurunziza, azuie kushtakiwa akiondoka madarakani, ndipo aondoke kwa amani!
 
Kama ana akili timamu aachane tu na siasa (ingawa anahofia kushitakiwa kwa human rights abuse). Ushauri wangu ni kwamba, arekebishe sheria kama alivyofanya Nkurunziza, azuie kushtakiwa akiondoka madarakani, ndipo aondoke kwa amani!
Nadhani hata yeye moyoni hilo ashalifikiria,
 
Kwa hiyo kwa sasa boby wine anatwangamaji kwenye kinu,M7 kutoka madarakani na chama chake ni mpaka afe?
Kuhusu CCM hata wakati Edlow ni mgombea mlisema maneno kama haya,lakini mwisho wa siku mkakimbilia mitandaoni kuanza kashafa kwa serikali ya JPM.
Mwaka huu mlishindwa mipango yenu hovu ya kuwapandikiza watu wenu ndani ya cdm.

Anzeni kabisa kujiandaa kisaikolojia maana lissu ndiye rais wa awamu ya 6
 
Wamo wengi tu mpaka kwenye secretariat ya chama.kwanza wagombea wenu wa ubunge 80%wanafikika bei.
Cha msingi na ambacho wananchi woote wa Tanzania wanaombea na tuna uhakika wa kukifanya ni kuiondoa ccm madarakani
 
Watanzania wamesha ichoka sana
Hata wanaccm wenyewe wameshachokana humo ndani.

Kilichochelewesha ccm kusambaratika vipande vipande ni Magufuli kuzuia siasa miaka hii mitano tu.

Watu wamelazimika kuwa ccm hata kama hawataki kuwa huko.

Yale mafuriko ya watia nia kama kungekuwa na siasa huru yangacha athari kubwa sana kwa ccm
 
Hata wanaccm wenyewe wameshachokana humo ndani.

Kilichochelewesha ccm kusambaratika vipande vipande ni Magufuli kuzuia siasa miaka hii mitano tu.

Watu wamelazimika kuwa ccm hata kama hawataki kuwa huko.

Yale mafuriko ya watia nia kama kungekuwa na siasa huru yangacha athari kubwa sana kwa ccm
Mbele ya safari itakuwa ni kuwalazimisha kuwaachia ngazi
 
Back
Top Bottom