Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Mnajadili mustakabali wa dunia wakati vichwani ni watupu kabisa, hamjui hata ni kwanini hao wakimbizi wa Afghanistan wameombewa hifadhi ya muda hapo Uganda.
Pathetic!
Sawa mama ila sio tumesomea Diplomasia wengi ni maainjinia
 
Kutoka Afghanistan na kwenda UK,Ufaransa,au Spain na kutoka Afghanistan na kwenda Uganda wapi karibu,hawa wazungu sio ndugu zetu kabisa,yaani kama wana Covid ndio wawabwage Africa kwanza then wakisha hakikisha kuwa wako salama ndio wawapeleka Marekani!kwanini wasiwapeleke kwenye nchi za wazungu wenzao ambao ni maswahiba wao pia...?
Au kwaweka isolation huko Marekani, hawa hoteli mbili kubwa zinawatosha mpaka wapatiwe maghorofa ya social housing.
 
Serikali ya uganda imekubali kupokea wakimbizi takribani 2000 kutoka nchini Afaghanisitani kufuatia anguko la serikali eliokuepo madarakani na wana mgambo wa kitalibani kuchukua madaraka ya nchi hiyo.

Je uganda ina uwezo wa kuhifadhi hao watu au ni mpango wa Marikani, kupunguza wakimbizi nchini mwake?

Je kuna haja ya Tanzania kufuata hizo dollar pia za Marikani kwa kuwakaribisha wakimbizi hao Faghanistan waje nchini au watageuka kua hatari kwa usalama wa nchi?

Disaster preparedness minister says Uganda is expected to host about 2,000 refugees from Afghanistan with 500 expected to arrive today.

bit.ly/3CSvTSM | #VisionUpdates

Tutarajie mengi zaidi kutoka Uganda
 
Wote nyie wajinga tu hamjui!! jiulizeni kwa nini uganda tu! imeteuliwa kuwa hodhi hao wakimbizi!!!!
mnashindwa kujiuliza kwa nini isiwe msumbiji au zimbabwe!!! au Morroco sasa sikiliza.....

Haya ni maandalizi ya kuichukua uganda maksudi na taatibu ile iwe km sehemu muhimu ya nchi ya ahadi, ni plan ya miaka mingi mno!! Waafrica wachache sana, tunalijua hili! na wengi wa hao wakimbizi kutoka pakstani waliomo ni wayahudi!!!

Kwa ni ni Uganda;
Ina aminika Africa Mashariki/na Africa kaskazini yooote iliyoko ndani ya mto Nile en some kilometers away beyond , kuelekea mto Tigris na Euphrate ni sehemu maalumu ya nchi ya ahadi ya Mungu, yaani aliyoitoa Mungu kwa Father Abraham, km taifa teule, taifa la israel.

Sasa Basi ISRAEL ya leo watalipataje?? ndo mipango km hivi, kuanza na Uganda pole pole!! hao hao wakimbizi sasa watakuwa wakaazi!! jiulize tu kwani hao TALIBAN si ndugu zao na hao wakimbizi???, na

USA walilianzisha wao kuivamia Afghanistani? kwa nini hao wakimbizi wasibaki huko huko kwao?? mbona hawajaokoa wakimbizi wa DRC, Rwanda, Msumbiji, nk km hivo wanavo wasaidia hao??!

Uganda iliandaliwa kitambo sana, baada ya kusomesha Mseveni atoe mwanya, akakubali!! ndo maana gaidi Konyi alipumzishwa pasipo julikana ili kutoa nafasi hii! hakuna mjanja yeyote Duniani anajua Konyi alipo?? hakuna!!

imepigwa kimyaa tu, sehemu Konyi anakula bata kwa kazi nzuri aliyo ifanya ya kuwaandalia hawa ngozi nyeupe sehemu ya nchi ya ahadi kama ilivo ki-Biblia na ndo lengo lao kitambo sana!! Netanyahu na Uganda vilikuwa damu damu!


Hujiulizi kwa nini USA ishadadie ivo? eti kuchukua wakimbizi wa Afghanistani? mbaali huko? tena kwa vita walioianzisha wao kimaksudi kabisaaa?? kisa kwa kuipiga mabomu WTC, maksudi tu, hao wanaoingia Uganda ya leo ni Mayahudi pure!!

Jiulize tangu lini nchini USA kuka vamiwa kirahisi ivo, eti na ulinzi woote huo wa Pentagon mweee?? mjinga tu ndo ata shindwa kuelewa!! jiulize tu kwa nini? hao USA wasiwapeleke kwa waarabu wenzao!

vita ipiganwe Asia na hifadhi ya wakimbizi katikati ya Africa, tena pale ambapo Israel wana pa-mendea miaka kibao!!!! wapi na wapi! hapo lazima tu watakaa!! watazaana mpaka baasi.... Africa Mashariki Byebye!!!

mko sehemu ya Isarel ndo maana ya ileee bendera ya israel ya Leo! ina maana fiche, wachache sana tunaijua! iko hivi.... zileee Bluu mbili zina maanisha Mito miwili mikubwa kati ya Euphrate River na Nile river! na


ile Alama ya nyota iko katikati ni nchi zooote zilizoko katikati ya hii mito! ni mali ya Israel na ndo zenye Mali nyingi Duniani!! so zitakuwa under Israel milele! yote amina....

weee!! subiritu muda utasema! Tanzania na ujanja woote ina jiandaa kumilikiwa! na haitaguswa kwa lolote!! KImyaaa !! akija Rais mgumu na kidomo domo kama jiwe anatulizwa in peace Mysterious Death! Kikwete anajua mchezo mzima! atafanyaje!!

kiongozi pekee wa Africa aliye jua huu mchezo mchafu wa wazungu akakataa kutumika kwa nguvu na Mali ni Rais wa zamani, waUganda marehemu Idd Amini tu! eti wakampuuza sababu haja soma madarasa ya kizungu,

Nyerere alijua bidaye sana na akajuta mnooo!! lkn akashindwa kugeuka jiwe!!!!! sisi tunaofahamu tunanyimwa nafasi serikalini!!! hayaa bana... kuhakikisha maneno yangu!! ni hivi

ukiisema israel vibaya popote Duniani, kwa lugha yeyote yenye influnce duniani wao israel wanaona fresh, thread yako haiendi!! hii mpaka kuituma nimetumia ufundi mkubwa sana kuituma,
 
Hawa dawa yao rahisi tu!! ni wapigishwe katerero wote kike na kiume, yaani wafundishwe kuipiga i-katerero, ilee ya upepo! hadi kufumba macho!! maweee!! hakika ya wallah! hawata kumbuka Afghanistan......
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waache kuvaa suruali za kulalia bila boxa na shot kanzu
Box umedanganywa dogo, zinafanya kimshedede kiduchu! af zina dawa ya kufyonza uuume soon unakuwa shoga wale wanajua faida ya limshedede kuogelea.
 
Hii sasa kali hivi uliona kale kajamaa kamevaa kaboka! kalikuwa kana ning'inia dirishani kabisaaa! km kana sema '' e! banae! fungua bana!''!!
 
Back
Top Bottom