donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Japokuwa Ni act of humanity lakini hawa jamaa sio wakuwaamini sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo waliokeketwa hamuwataki tena mnataka waarabuTuleteeni huku mkoa wa Mara tuwanyooshe hao watoto wazuri wa ki Afghanistan [emoji39][emoji39][emoji39]
Sawa mama ila sio tumesomea Diplomasia wengi ni maainjiniaMnajadili mustakabali wa dunia wakati vichwani ni watupu kabisa, hamjui hata ni kwanini hao wakimbizi wa Afghanistan wameombewa hifadhi ya muda hapo Uganda.
Pathetic!
wanaofanya biashara za magari ni wapakistaniMbona wamejazana hapa
Tz wanafanya biashara ZA magari wamekusumbua?
Wa Afghani sio waarabu take from meRoho za waarabu sio nzuri japo na jinadi kuwa waislamu, ila ki vitendo sio waislamu wazuri bora hao waswahili wetu japo na wenyewe unafiki mwingi tu ila angalau
Au kwaweka isolation huko Marekani, hawa hoteli mbili kubwa zinawatosha mpaka wapatiwe maghorofa ya social housing.Kutoka Afghanistan na kwenda UK,Ufaransa,au Spain na kutoka Afghanistan na kwenda Uganda wapi karibu,hawa wazungu sio ndugu zetu kabisa,yaani kama wana Covid ndio wawabwage Africa kwanza then wakisha hakikisha kuwa wako salama ndio wawapeleka Marekani!kwanini wasiwapeleke kwenye nchi za wazungu wenzao ambao ni maswahiba wao pia...?
Wapo pamoja na wa afgani Piawanaofanya biashara za magari ni wapakistani
Tutarajie mengi zaidi kutoka UgandaSerikali ya uganda imekubali kupokea wakimbizi takribani 2000 kutoka nchini Afaghanisitani kufuatia anguko la serikali eliokuepo madarakani na wana mgambo wa kitalibani kuchukua madaraka ya nchi hiyo.
Je uganda ina uwezo wa kuhifadhi hao watu au ni mpango wa Marikani, kupunguza wakimbizi nchini mwake?
Je kuna haja ya Tanzania kufuata hizo dollar pia za Marikani kwa kuwakaribisha wakimbizi hao Faghanistan waje nchini au watageuka kua hatari kwa usalama wa nchi?
Disaster preparedness minister says Uganda is expected to host about 2,000 refugees from Afghanistan with 500 expected to arrive today.
bit.ly/3CSvTSM | #VisionUpdates
Dogo una akili sanaJapokuwa Ni act of humanity lakini hawa jamaa sio wakuwaamini sana
Box umedanganywa dogo, zinafanya kimshedede kiduchu! af zina dawa ya kufyonza uuume soon unakuwa shoga wale wanajua faida ya limshedede kuogelea.[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waache kuvaa suruali za kulalia bila boxa na shot kanzu