Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Wamekuja na masando makubwa makubwa Uganda. Njaa njaa za Mseven. Sasa hawa anawatunzaje wakianza kuzaa Mitaliban ijae East Afrika kote. Hapa M7 alikua analenga hela tu
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Kwa hiyo ulitamani uwe mmoja wao ili ujikute Los angelous au washington, pole ndugu.
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Kikubwa ilikuwa na mafuta imetua salama
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Kutoka Afghanistan na kwenda UK,Ufaransa,au Spain na kutoka Afghanistan na kwenda Uganda wapi karibu,hawa wazungu sio ndugu zetu kabisa,yaani kama wana Covid ndio wawabwage Africa kwanza then wakisha hakikisha kuwa wako salama ndio wawapeleka Marekani!kwanini wasiwapeleke kwenye nchi za wazungu wenzao ambao ni maswahiba wao pia...?
 
Inaonekana wewe mleta mada uwezo wako wa kuchanganua hoja za mahusiano ya kimataifa (international relations) ni mdogo sana.
Mkuu nenda kwenye jukwaa la taarabu huku wanaume tunajadili mustakabali wa dunia
 
nilisikia jana kwa redio ,inasemekena marakenani ndio wamewaomba uganda kuwahifadhi kwa mda ndani ya miezi 3,baada ya apo
watafanyinwa transfer sehemu nyingine ya kuwapeleka.
 
United states of America has requested that Uganda take in 2000 Afghan refugees, a request President of Uganda, Yoweri Museveni has agreed to.

Refugees Minister for Uganda, Esther Anyakun had confirmed that the President was ready to accept these Afghanistan refugees who are currently in desperation and are eager to leave Afghanistan after Taliban fighters retake power control after 20years of power struggle.

Source:
https://news247gh.com/president-mus...hanistan-refugees-at-the-request-of-america/
 
nahisi harufu ya Kitu kupikwa huu ukanda wa Africa Mashariki. Wameanza na Mozambique, Baada ya Miaka Michache ijayo tutegemee matukio mengi ya kigaidi kwenye ukanda wa africa Kusini na Mashariki, kisha wamarekani waje kuvamia nchi zetu kwa kisingizio cha kuleta utulivu na kutusaidia kupambana na ugaidi huku wakichota rasilimali ya mafuta, madini n.k.
 
nahisi harufu ya Kitu kupikwa huu ukanda wa Africa Mashariki. Wameanza na Mozambique, Baada ya Miaka Michache ijayo tutegemee matukio mengi ya kigaidi kwenye ukanda wa africa Kusini na Mashariki, kisha wamarekani waje kuvamia nchi zetu kwa kisingizio cha kuleta utulivu na kutusaidia kupambana na ugaidi huku wakichota rasilimali ya mafuta, madini n.k.
Mbona kama unatumia chongo kuona mbali
 
Serikali ya uganda imekubali kupokea wakimbizi takribani 2000 kutoka nchini Afaghanisitani kufuatia anguko la serikali eliokuepo madarakani na wana mgambo wa kitalibani kuchukua madaraka ya nchi hiyo.

Je uganda ina uwezo wa kuhifadhi hao watu au ni mpango wa Marikani, kupunguza wakimbizi nchini mwake?

Je kuna haja ya Tanzania kufuata hizo dollar pia za Marikani kwa kuwakaribisha wakimbizi hao Faghanistan waje nchini au watageuka kua hatari kwa usalama wa nchi?

Disaster preparedness minister says Uganda is expected to host about 2,000 refugees from Afghanistan with 500 expected to arrive today.

bit.ly/3CSvTSM | #VisionUpdates

Museveni anataka kuwaachia warithi wake nchi iliyoharibika ili waseme kipindi chake kulikuwa hakuna fujo.
 
nahisi harufu ya Kitu kupikwa huu ukanda wa Africa Mashariki. Wameanza na Mozambique, Baada ya Miaka Michache ijayo tutegemee matukio mengi ya kigaidi kwenye ukanda wa africa Kusini na Mashariki, kisha wamarekani waje kuvamia nchi zetu kwa kisingizio cha kuleta utulivu na kutusaidia kupambana na ugaidi huku wakichota rasilimali ya mafuta, madini n.k.
Kwan ww hizo marekan wakija bongo kuiondoa ccm hauta furah mkuu waje hata Leo
 
nahisi harufu ya Kitu kupikwa huu ukanda wa Africa Mashariki. Wameanza na Mozambique, Baada ya Miaka Michache ijayo tutegemee matukio mengi ya kigaidi kwenye ukanda wa africa Kusini na Mashariki, kisha wamarekani waje kuvamia nchi zetu kwa kisingizio cha kuleta utulivu na kutusaidia kupambana na ugaidi huku wakichota rasilimali ya mafuta, madini n.k.

Mpiga ramli kwa kutumia makalio[emoji1787][emoji1787]


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
United states of America has requested that Uganda take in 2000 Afghan refugees, a request President of Uganda, Yoweri Museveni has agreed to.

Refugees Minister for Uganda, Esther Anyakun had confirmed that the President was ready to accept these Afghanistan refugees who are currently in desperation and are eager to leave Afghanistan after Taliban fighters retake power control after 20years of power struggle.

Source:
President Museveni of Uganda has agreed to take in 2000 Afghanistan refugees at the request of America - News247gh
Ndiyo maana pamoja na udikiteita wa Museveni, wamarekani wamekaa kimya as if hawaoni. Maslahi ya Marekani indiyo priority na si wefare ya mwanadamu kama wanavyojinasibu
 
Museveni ni mmoja viongozi madalali barani Afrika. Nina hakika amesha cash out deal hili bila kujali maslahi na hata matakwa ya Waganda. Kwake yeye binafsi hii ni fursa.
 
CDM mngekuwa na akili mngepelekea wale masela wa Talebani hizi dangaji mjini humu zikazae na Watalebani mngeweza kupata species jeuri ambayo ikisema inaandamana hairudi nyuma na ikishika bunduki hakuna kulala....hili kizazi cha taleban CDM mkikipata asubuhi tu CCM inasurrender....lakini hawa vijana wenu chips yai na k-vant hata mlio wa mpasuko wa puto tairi tayari mbio zake Dar - Moro..
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
Mkuu nenda kwenye jukwaa la taarabu huku wanaume tunajadili mustakabali wa dunia
Mnajadili mustakabali wa dunia wakati vichwani ni watupu kabisa, hamjui hata ni kwanini hao wakimbizi wa Afghanistan wameombewa hifadhi ya muda hapo Uganda.
Pathetic!
 
Back
Top Bottom