Benaya-
JF-Expert Member
- Jul 31, 2019
- 4,415
- 7,631
Sunnihao jamaa ni Sunni au Shia?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sunnihao jamaa ni Sunni au Shia?
Waache na kukata suruali na kunyoa ndevu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waache kuvaa suruali za kulalia bila boxa na shot kanzu
Watakayooona yafaa.Na wale mercenaries ambao US itawatuma kwenda Congo watatokea kwenye unit ipi?
Kwenye hao hao mamluki waliotoka Afghan au kitakuja kikosi fresh from pentagon?
Sent from my BLA-L29 using JamiiForums mobile app
Mzee Yoweri Kaguta Museveni anafahamu namna ya kucheza na diplomasia zote za kihuni na kistaarabu, ni komandoo ati.Ndio maana watu wansemaga Museven ni dikteta ila huwezi kukuta USA ikimkoromea! Itamkoromeaje kwa namna hii?
Hujachelewa mkuu, jiandae🙂Nafikiri ni muda wa kutafta hifadhi kwa mzee Yoweri Kaguta 😅😅😅 mchongo wa kuzamia US umeiva
Sio Waarabu hao, ata Kiarabu hawakijui mkuuNgoja niibukie Uganda nikachague pisi Kali ya kiarabu
Mmarekani fala sana......ila ana akili
Unawajua sanaAfghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.
Malala ni pashto wa Pakistan sijui imetokea vipi akawa na Mrengo tofauti. Ndo maana Taliban wanammaindi
Waache wabaki huko huko,Mtakuja kulishwa mabomu badala ya fitofu Mnyalukolo.Mkuu mimi mwenyewe nmekasirkka sana!
.
Wangewaleta huku kilolo tulimege fitofu alafu tungejipatia pisi za kiarabu
kama huyu anafaa kbs kwenye kilimo cha mpungaSura pana za kibabeView attachment 1895837
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wamefanana sana na kina Yuda, Petro au hawa ndiyo mafarisayo?
Comrade niliona sura kama yako 😃 kwenye hiace flani ilielekea Nairobi kutokea namanga!!.Ni muhimu sana nyie pambaneni na Tozo sie wacha tukale kuku wa UNHCR hapo wakati tukisubiria pipa la kwenda USA
USA ameishashituka,haya majitu hsyana shukrani,yapeleke USA,kesho yataamka yakuchinje yakitaka yajengewe msikiti kila kona,ila hapo UG,yatapewa kila kitu kama wakimbizi na US kupitia UN,watatoa msaada mkubwaYaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Shida ya hawa watu wakishalowea tu wataanza harakati zao za kudai utawala wa sharia kama kule walikotoka. Marekani awe makini na watu wa namna hii.Wangewapeleka hata Alaska huko au Hawii
Tatizo sharia Baba. Nani anataka kukaa nchi yenye adhabu za kijima kama kupigwa mawe mpaka unakufa kisa kuzini.Naomba nisaidie kuna kitu kinanitatiza. Taliban wamechukua nchi ila tofauti na vikundi vingine vya ukombozi vinapopigania ukombozi huwa wanaungwa mkono na wananchi ila Taliban ni tofauti nini tatizo?
Pakistan, Iran, Syria ni lazima familia itoe daktari, engineer, mwanasheria, accountant. Kama umezaliwa pekeyako basi daktari au engineer.Raia wa hizo nchi ni watu peace sana...nilisoma chuo kimoja na muAfghan mmoja miaka ya nyuma, alikuwa anasomea udaktari wa wanadamu ili akirudi kwao akasaidie jamii za huko...vita ni kitu kibaya sana
Mataifa yaungane kuwapa hifadhi hao jamaa...