Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Kama pana wanawake wazuri, najitolea kuwasaidia idadi wasizidi watatu.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Uganda ina uwezo huo. Mpaka sasa inahifadhi wakimbizi wengi sana wa Congo DRC, Burundi, South Sudan na Somalia. Mpaka mwaka 2019, Uganda ilikuwa inahifadhi wakimbizi 1,223,003. Tanzania hadi mwaka 2020 tulikuwa na wakimbizi 258,280 tu. Kwa hio wametupita kwa mbali sana kwenye kuhifadhi wenye shida za ukaazi.
Kila kitu unashindanisha?
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Ndio maana watu wansemaga Museven ni dikteta ila huwezi kukuta USA ikimkoromea! Itamkoromeaje kwa namna hii?
 
Nashauri mama Samia atume ndege zetu akachukue wanawake na watoto tuwamegee sehemu kule kwetu kilolo kuna maardhi yapo tu hayana mtu wa kukaa na pia tutajipatia pisi kali za kiarabu
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Waafrika sijui nani katuroga....hii ni mikakati tu ya kuja kuanzisha vita Afrika mashariki kutumia kibaraka wao..hapo target kubwa ni congo na madini..we unashangaa hii miaka mi5 kumekua na stori nyingi sana za ugaidi usioeleweka umeanzia wapi unaishia wapi...hawa wanatafuta njia kuja weka kambi huku tu..... DR Congo accepts US military help against ADF militia nachukia sana mabeberu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
So wa Marekani wanataka jamaa wakajifunze kuogabna kuvaa Uganda kabla hawajapelekwa kwao?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ili waache kuvaa suruali za kulalia bila boxa na shot kanzu
 
Naomba nisaidie kuna kitu kinanitatiza. Taliban wamechukua nchi ila tofauti na vikundi vingine vya ukombozi vinapopigania ukombozi huwa wanaungwa mkono na wananchi ila Taliban ni tofauti nini tatizo?
Kwa mujibu wa memba mmoja, jamii zilizokuwepo nchini huwa zinaonewa sana na hawa wataleban
 
Mrangi mkuu unajua kuna siku ntakutafuta huko na exposure sana. Uligusiaga kidogo biashara yako ya real estate Canada kwenye comment flani hivi. Nikasema huyu si mwenzetu. Ila unakausha hujioneshioneshi.
Huu jamaa inaonyesha mpambanaji sana
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Si wamejilipua wacha wapewe vipande walime matoke😂😂
 
Kambi zote za wakimbizi zilizoko mkoa wa Kigoma zisifungwe sasa. Hao waafghan kwa wingi wao wapelekwe huko kwenye makambi..... Fursa hiyo kwa Tanzania na EAC kwa ujumla... Mulamula.
Makambi ya Kogoma mengine yamekuwa shule, mfano Lugufu girls high school na Lugufu boys high school mkuu, majengo mengine yanakaliwa na viongozi wa ccm, mfano Lugufu karibu na makao makuu ya Wilaya Uvinza.
 
Back
Top Bottom