Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi

Afghan are very good people. Ni jamii ya Pashtun ndio watata na ndio Taliban na wako wengi ni asilimia 42 na hao Pashtun hawasafiri kabisa. Ni hizi jamii zingine za afghanistan minority kama Uzbek, Hazara, Tajik, Aimak, Baloch (akina Rostam), Turkmen hao ndio unawaona wanatoroka Afghanistan. Wanaonewa sana na Taliban kwasababu wametofautiana kimafundisho na mila.

Malala ni pashto wa Pakistan sijui imetokea vipi akawa na Mrengo tofauti. Ndo maana Taliban wanammaindi


Hao Pashtun wanayo asili ya Israel (ni bani Israel).
 
Mkuu nadhani hawaungwi mkono na Wananch wengi kwasababu ya Sheria tofauti kali za kiislam Sharia (form of sharia Islamic law based on fundamentalism and militant Islamism) ambayo imechanganyikana na mila na Desturi za kabila la Pashtun kwasababu asilimia 98 ya Wataliban ni Pashtun. Wako kivyao.


WATU HAWAJUI KWAMBA PASHTUNS NI BANI ISRAELI.

Hao ni wazao wa Israeli nao ni wakorofi jinsi walivyokuwa ndugu zao wa mashariki ya kati.
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.

Tambua tu kwamba watapewa hadhi ya ukimbizi hivyo kugharamikiwa na UN. Japo siyo nchi iliyoendelea bado ni afadhali watapata uhakika wa kuishi bila milio ya risasi
 
Serikali ya uganda imekubali kupokea wakimbizi takribani 2000 kutoka nchini Afaghanisitani kufuatia anguko la serikali eliokuepo madarakani na wana mgambo wa kitalibani kuchukua madaraka ya nchi hiyo.

Je uganda ina uwezo wa kuhifadhi hao watu au ni mpango wa Marikani, kupunguza wakimbizi nchini mwake?

Je kuna haja ya Tanzania kufuata hizo dollar pia za Marikani kwa kuwakaribisha wakimbizi hao Faghanistan waje nchini au watageuka kua hatari kwa usalama wa nchi?

Disaster preparedness minister says Uganda is expected to host about 2,000 refugees from Afghanistan with 500 expected to arrive today.

bit.ly/3CSvTSM | #VisionUpdates

Hapa ndipo utagundua nguvu na hila za Marekani. Leo unaweza ukaliona dogo hili. Ukawaza tu kwa kiwango sha kibinaadamu, yani kuwasadia ndug walio kwenye majanga. Keshokutwa, USA anaweza kutengeneza kikundi cha wanaharakati kupitia watu hawahawa, iwe kwa ajili ya kutumika Afghanstan , ndani ya nchi mwenyeji ama popote kwa maslahi ya USA na vibaraka wake. Tuhesabu siku tu!
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Kabisa Uganda itapiga hela, na Museven atajenga mahusiano mazuri na marekani

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
USA ameishashituka,haya majitu hsyana shukrani,yapeleke USA,kesho yataamka yakuchinje yakitaka yajengewe msikiti kila kona,ila hapo UG,yatapewa kila kitu kama wakimbizi na US kupitia UN,watatoa msaada mkubwa
Na wanatembeaga na visu vikali vilivyopinda
images-9.jpg
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Nineona BBC Jana,sasa m7 naye anakubalije kirahisi hivi
 
Marekani wamemwomba raisi Museven awahifadhi kwa muda kabla hawajapelekwa Marekani.

Wapo 2000 na wote inabidi wapimwe COVID-19 wawe documented maana wengine waliingia tu kwenye ndege.

Hivyo wapo kwenye Transit Uganda itapiga mpunga wa kutosha hapo.

Ni shughuli ya miezi mitatu na nchi zingine zitaleta watu hao hapo Uganda.

Marekani itagharamia kila kitu.
Duh ,kumbe[emoji848]
 
Hahaha,msema kweli mpenzi wa mungu

Kwa waliyokulia kulia kino %35 wamekanyaga iran[emoji23][emoji23][emoji23]

Ah poa tutafutane

Nakuambia hawo wa Afghan wamekuja afrika
Ni kama chura kapigwa take
Maana kna mafgan mmja yuko mbeya igurusi analima sana mpunga anakuambia afrika ndiyo
Kwenyewe[emoji23][emoji23][emoji23]

Ova
Aisee[emoji848]
 
Kila kitu unashindanisha?
Nilikuwa natoa ufafanuzi tu, kwa mdau mmoja anayesema Uganda haiwezi kubeba wakimbizi 2000 toka Afghanistan. Nikamjibu kwa takwimu. Pole kama umekwazika
 
Yaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Kapicha plzz
 
Back
Top Bottom