FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kafungia vijana tu?Tatizo ana poor thinking capacity tuu,kwani ni vijana tuu hucheza hiyo michezo?,hiyo michezo huchezwa hata na watu wa makamo wenye majukumu yao,na wao hucheza kama burudani tuu kupata buku buku za viatu wala si kwa kujitajirisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ..Jiwe naye atoe maelekezo hapa alafu tuone mapato ya TRA yakipanda kwa kasi ya ajabu
ikipigwa marufuku hapa vijana wengi watabaki mabachelaRais wa Uganda, Youweri Museveni amepiga marufuku michezo ya kubashiri (betting) nchini humo, kwa madai kuwa yameathiri nguvu kazi ya taifa kwani vijana hawafanyi kazi kwa bidii tena. Amegiza kutotolewa kwa leseni mpya, au kuhuishwa leseni za makampuni ambayo tayari yana leseni.
=========
Uganda bans sports betting
Uganda's President Yoweri Museveni has ordered that no new licences should be issued to sports betting companies nor renewing of permits for the existing ones.
According to Minister of State for Finance, Mr David Bahati, the President gave the directive saying that gambling has diverted attention of the youth from hard work.
“We have received a directive from President Museveni to stop licensing sports betting, gaming and gambling companies. The President has now directed the board which has been regulating them. From now onwards, no new companies are going to be licensed. Those which are already registered, no renewal of licences when they expire,” Mr Bahati revealed on Sunday during a church service in Rugarama Hill in western Kabale town.
Mr Bahati said church leaders who have been against sports betting can now praise the Lord because their prayers have been answered.
However, the Ministry of Finance spokesman, Mr Jim Mugunga, said he was unaware of the president's directive but added that he does not doubt it.
Only in AfricaUnaruhusu kamari unakataza mirungi na bangi na Bado unajiona upo sawa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kafanya jambo jema Jpm nawe fanya huku kwetuHaya tunasubiri hiv punde