Uganda imepiga marufuku michezo ya kamari na Kampuni za michezo hiyo hazitapewa tena kibali

Uganda imepiga marufuku michezo ya kamari na Kampuni za michezo hiyo hazitapewa tena kibali

good move and Tanzania should move in that way
 
Asitulaze njaa wenzake
Screenshot_2-2.png
 
Siku magufuli aliyozungumza na wachezaji wa timu taifa ikulu waziri mwakyembe aliweka wazi mkakati wa serikali kuanzisha kampuni ya michezo ya kubahatisha mbele ya Rais wa jamhuri ya muungano.

Na wamepiga marufuku kamari ila matangazo ya kamari yanaendelea kwenye TV station za nchi yao.
 
Na hapa Tanzania napo mamlaka zisitishe michezo hii. Kusema kweli inachosha na sasa wameiweka katika vyombo vya habari. Yaani ukifungulia redio au luninga mambo ni hayo tu. Tunawafundisha nini watoto wadogo?. Zamani kamari zilichezwa kwenye makasino.

Hali ikiendelea hivi tutakuja kujuta sana baadae

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rais wa Uganda, Youweri Museveni amepiga marufuku michezo ya kubashiri (betting) nchini humo, kwa madai kuwa yameathiri nguvu kazi ya taifa kwani vijana hawafanyi kazi kwa bidii tena. Amegiza kutotolewa kwa leseni mpya, au kuhuishwa leseni za makampuni ambayo tayari yana leseni.
=========​

Uganda bans sports betting

Uganda's President Yoweri Museveni has ordered that no new licences should be issued to sports betting companies nor renewing of permits for the existing ones.

According to Minister of State for Finance, Mr David Bahati, the President gave the directive saying that gambling has diverted attention of the youth from hard work.

“We have received a directive from President Museveni to stop licensing sports betting, gaming and gambling companies. The President has now directed the board which has been regulating them. From now onwards, no new companies are going to be licensed. Those which are already registered, no renewal of licences when they expire,” Mr Bahati revealed on Sunday during a church service in Rugarama Hill in western Kabale town.

Mr Bahati said church leaders who have been against sports betting can now praise the Lord because their prayers have been answered.
However, the Ministry of Finance spokesman, Mr Jim Mugunga, said he was unaware of the president's directive but added that he does not doubt it.
ikipigwa marufuku hapa vijana wengi watabaki mabachela
 
Raisi wa Uganda Yoweri Kaguta Museveni ameiagiza serikali yake kutokutoa leseni mpya na kutoendeleza leseni za uendeshaji kwa kampuni za kubashiri (kamari) katika michezo.
Waziri wa mambo ya fedha bwana David Bahati amethibitisha hili huku akisema chanzo ni mchango hasi wa michezo ya kamari hasa kwa vijana ambao badala ya kufanya kazi kwa bidii wamekua wakibashiri na kutegemea kupata hela kwa uraisi.

Michezo ya kubashiri ni maarufu sana nchini Uganda ikikadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 70 ya waganda wenye umri chini ya miaka 30 wanajihusisha na kamari, hii pia Imechangiwa na makampuni ya kubahatisha mtandaoni (online betting) ambayo kwa sasa Uganda yanakadiriwa kuwa zaidi ya 400 yaliyopo ndani na nje ya Uganda, haya yamewezesha watu wengi zaidi kubet huku wakiendelea na shughuli zao kama vile za maofisini.

Uganda's Yoweri Museveni 'bans' sports betting - Daily Nation

Tanzania tunasubiri nini ? Ukizingatia makampuni haya mengi ni ya nje yanakuja tu na kuvuna hela kiurahisi huku wakipumbaza vijana wetu kwamba unahitaji ela kidogo tu na kubet ili upate nyingi zaidi.

Big up Uganda hakuna uzuri wa Kamari si Duniani wala Peponi.




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Serikali ya Uganda imepiga marufuku michezo ya kubashiri maarufu kama betting kutokana na lundo kubwa la vijana nchini humo kujikita katika michezo hiyo huku wakishindwa kujishughulisha na kazi rasmi.

Kwa kuanzia, serikali imekataza utoaji wa vibali vipya kwa makampuni mapya ya betting, na yale makampuni ambayo leseni zao zimeisha, hawatapata vibali vipya kwa mwaka huu 2019.

My take:

Ni wakati muafaka kwa serikali yetu kulitazama pia suala hili la michezo ya kubahatisha kwa jicho la umakini.
 
Back
Top Bottom