Uganda imepiga marufuku michezo ya kamari na Kampuni za michezo hiyo hazitapewa tena kibali

Uganda imepiga marufuku michezo ya kamari na Kampuni za michezo hiyo hazitapewa tena kibali

Hivi kweli kubeti kunazuia watu wasifanye kazi? Ujinga

Hivi hili nalo linahitaji Kubisha kuwa tokea ujio wa ' Betting ' hapa nchini hata ' Ufanisi ' katika Maofisi mengi umepungua kwakuwa asilimia kubwa ya Wafanyakazi akili zao wameziweka katika kuwaza au kwenda ' Kubeti ' huku wengine hadi wakifikia hatua hadi ya Kudanganya Ofisini Kwao kuwa ' wanaumwa ' ili asiende Kazini na aende ' Kukesha ' katika Vibanda vya Kubeti? Utakuwa ni ' Mpumbavu ' wa Kimataifa.
 
Hivi hili nalo linahitaji Kubisha kuwa tokea ujio wa ' Betting ' hapa nchini hata ' Ufanisi ' katika Maofisi mengi umepungua kwakuwa asilimia kubwa ya Wafanyakazi akili zao wameziweka katika kuwaza au kwenda ' Kubeti ' huku wengine hadi wakifikia hatua hadi ya Kudanganya Ofisini Kwao kuwa ' wanaumwa ' ili asiende Kazini na aende ' Kukesha ' katika Vibanda vya Kubeti? Utakuwa ni ' Mpumbavu ' wa Kimataifa.
Maisha haya ya teknolojia haina haja ya kuaga ofisini, unatandika mkeka wako online then unaendelea na majukumu mengine huku unasikilizia mkeka wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi hili nalo linahitaji Kubisha kuwa tokea ujio wa ' Betting ' hapa nchini hata ' Ufanisi ' katika Maofisi mengi umepungua kwakuwa asilimia kubwa ya Wafanyakazi akili zao wameziweka katika kuwaza au kwenda ' Kubeti ' huku wengine hadi wakifikia hatua hadi ya Kudanganya Ofisini Kwao kuwa ' wanaumwa ' ili asiende Kazini na aende ' Kukesha ' katika Vibanda vya Kubeti? Utakuwa ni ' Mpumbavu ' wa Kimataifa.
Sasa a smart solution ni kuboresha maslahi ya wafanyakazi siyo kuzuia kubeti, ifike mahali tuache kuwa mechanical with every decision
 
Kuna nchi yoyote ile Kubwa duniani imeendelea kwa Kodi za Kubeti? Kuna Watu huwa mnanilazimisha niwe ' nawadharau ' kila Uchao hapa Jamvini / Jukwaani. Jifunze Kujenga Hoja tafadhali.
Kwa taarifa yako hata hao unaowashauri wafungie betting wananufaika na michezo hii aidha kwa kucheza au kukusanya kodi so ni kama unampigia mbuzi gita!
Kuzuia betting ni kuhujumu uchumi wa nchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubet ndo kazi yenyewe, wafanye kazi ipi tena!?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukikaa na Watu wenye ' akili ' zilizotukuka unaweza mbele yao na kwa Kujiamini kabisa ukasema kuwa ' Kubeti ' ni sehemu mojawapo ya Ajira? Ingekuwa ni Ajira ingeitwa Michezo ya Kubahatisha? Hivi kwanini baadhi yenu hamjishtukii kuwa ni ' Watupu ' kabisa Vichwani mwenu na badala ya Kuchangia basi muwe tu Watamazaji na muwaache wale wenye kujua ' Kufikiri ' ndiyo wachangie?

Siwapingi wale wote ambao mnampinga Rais Museveni na mnasema kuwa ' Kubeti ' hakuna madhara ila nataka Mtu akija hapa na Kupinga basi hata ' Hoja ' yake ya Kiutetezi iwe na mashiko kama siyo mantiki lakini siyo kuja Kujibu Kitoto kama siyo Kipuuzi kama hivi na kwa huyo Mwenzako hapo juu.
 
Hivi hili nalo linahitaji Kubisha kuwa tokea ujio wa ' Betting ' hapa nchini hata ' Ufanisi ' katika Maofisi mengi umepungua kwakuwa asilimia kubwa ya Wafanyakazi akili zao wameziweka katika kuwaza au kwenda ' Kubeti ' huku wengine hadi wakifikia hatua hadi ya Kudanganya Ofisini Kwao kuwa ' wanaumwa ' ili asiende Kazini na aende ' Kukesha ' katika Vibanda vya Kubeti? Utakuwa ni ' Mpumbavu ' wa Kimataifa.
Utafiti huu umeufanyia wapi?

Muache kumpandisha daraja mtumishi wa umma huku mnatishia kupoka mafao yake halafu kichaka cha kujifichia kiwe betting.

Hao ambao hawabeti, kwa nini wasipandishwe vyeo ili wanaobet waone wivu na wao waache kubet?

Huyo mganda atakuwa kabet mhindi akampiga dau lake sasa anaweweseka
 
kwa hili nakubaliana na mhe. Museveni , taifa haliwezi kujengwa na vijana wasiojibiidisha kufanya kazi na kutegemea kamari na michezo ya bahati nasibu kama ajira.

Serikali ya Tanzania inabidi ichukue hatua haraka kuwatoa vijana katika addiction hii ya kamari, ipige marufuku kabisa vijana kujihusisha na kamari.

Kama haitawezekana , serikali kupitia ofisi za wakuu wa wilaya iandae utaratibu wa kutengeneza vitambulisho kuwasajili vijana wanaotaka kucheza kamari au bahati nasibu na kijana atakayesajiliwa awe na kazi nyingine kama sifa ya kupewa kibali cha kucheza.

Njia nyingine kama suluhisho , kamari na bahati nasibu zote zichezwe kupitia huduma za simu kama tatu mzuka na biko. Hii itasaidia kuona flow ya pesa ambayo kijana anaitumia kwenye kamari na hivyo serikali kupitia TCRA kudhibiti pesa hiyo. serikali iweke sheria kuwa kwa wiki mtu yeyote anatakiwa kutumia 1000/ au 2000/ tu kwa michezo ya kubahatisha na si zaidi ya hapo.
 
Ukikaa na Watu wenye ' akili ' zilizotukuka unaweza mbele yao na kwa Kujiamini kabisa ukasema kuwa ' Kubeti ' ni sehemu mojawapo ya Ajira? Ingekuwa ni Ajira ingeitwa Michezo ya Kubahatisha? Hivi kwanini baadhi yenu hamjishtukii kuwa ni ' Watupu ' kabisa Vichwani mwenu na badala ya Kuchangia basi muwe tu Watamazaji na muwaache wale wenye kujua ' Kufikiri ' ndiyo wachangie?

Siwapingi wale wote ambao mnampinga Rais Museveni na mnasema kuwa ' Kubeti ' hakuna madhara ila nataka Mtu akija hapa na Kupinga basi hata ' Hoja ' yake ya Kiutetezi iwe na mashiko kama siyo mantiki lakini siyo kuja Kujibu Kitoto kama siyo Kipuuzi kama hivi na kwa huyo Mwenzako hapo juu.
Kwa hali ilivyo hata biashara ni mchezo wa kubahatisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kubeti ni kucheza kamari, watanzania tumeingia mtegoni na kamari. Vijana siku hizi hawafanyi kazi wamekalia kucheza kamari tu, sio vijana hata watu wazima wasiojitambua wako busy na mikeka kweli waafrika tunapaswa tutawaliwe tena ili tupate maendeleo!
 
Maisha haya ya teknolojia haina haja ya kuaga ofisini, unatandika mkeka wako online then unaendelea na majukumu mengine huku unasikilizia mkeka wako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ofisi ngapi za Siku hizi zinaruhusu Wafanyakazi wake kuwa ' online ' muda wote? Kumbuka kuna Ofisi zingine sasa hivi zimeweka Sheria kwamba zikimfuma tu Mfanyakazi wake ' anabeti ' hasa muda ule wa Kazi basi na Ajira yake nayo ndiyo itakomea / itaishia hapo hapo. Acha ubishi / bambi Watu wengi hasa Wafanyakazi huwa wanakuwa huru ' Kubeti ' wakiwa nje ya maeneo yao ya Kazini japo kuna wale ' Watukutu ' fulani ambao wanaweza hata ' Kubeti ' mbele ya ' Bosi ' wake.
 
Hatimaye Rais wa Uganda Mwanamume ' Mwamba wa Mbarara ' au ' Mwamba wa Kinyankole ' Yoweri Kaguta Museveni amefuta rasmi na kuzuia kabisa michezo yote ya Kubahatisha ( Betting ) nchini humo kwa kusema kwamba imesababisha Waganda wengi wawe Wavivu na Kuirudisha nchi nyuma Kimaendeleo kwakuwa hawajitumi katika Kuwajibika na Kuijenga nchi hiyo.

Haya na wale Marais ' Watoto ' wengine igeni hili upesi ili nchi zetu nazo zipige hatua haraka.

Nawasilisha.
Safi sana hii kitu inaniuzi sana ni janga la taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom