kinundu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 2,029
- 2,158
Vp kugegedana nako sio addicted kwa watu wengi maana wapo wanao waza kugegedana wakiwa ofisini na kiasi cha kipato chao wana kielekeza hukoHivi hili nalo linahitaji Kubisha kuwa tokea ujio wa ' Betting ' hapa nchini hata ' Ufanisi ' katika Maofisi mengi umepungua kwakuwa asilimia kubwa ya Wafanyakazi akili zao wameziweka katika kuwaza au kwenda ' Kubeti ' huku wengine hadi wakifikia hatua hadi ya Kudanganya Ofisini Kwao kuwa ' wanaumwa ' ili asiende Kazini na aende ' Kukesha ' katika Vibanda vya Kubeti? Utakuwa ni ' Mpumbavu ' wa Kimataifa.
Sent using Jamii Forums mobile app