debbug
JF-Expert Member
- Jun 9, 2018
- 562
- 855
asantYangu ni ya kuanzia 85% hadi 100% huku yako ikiwa inaanzia 0.03% hadi 1.7% sasa huoni kuwa anayetakiwa ' Kushangaza ' ni Wewe?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
asantYangu ni ya kuanzia 85% hadi 100% huku yako ikiwa inaanzia 0.03% hadi 1.7% sasa huoni kuwa anayetakiwa ' Kushangaza ' ni Wewe?
Antibiotic GENTAMYCINE kwa kutumia IQ yako ya juu kabisa tusaidie sisi wakulima kutofautisha 'kilimo' na betting (hasa hiki cha kutegemea mvua)Binafsi naona hili la ' Betting ' hasa hapa Tanzania na kwa jinsi ninavyoona kama lisipoangaliwa kwa umakini au hata ' Kufutwa ' kabisa au kuwekwe ' Kanuni ' fulani kuna ' Hatari ' kubwa mno ya Kijamii na hata ya Kisaikolojia kwa ' Wanaobeti ' inakuja. Siamini kama Rais Museveni ' amekurupuka ' tu kuja na haya ' Maamuzi ' ila kuna aliloliona na ndiyo maana ameamua bora achukiwe au asemwe vibaya ila aiokoe Uganda na Vizazi vya Waganda.
Naungana nae Rais Museveni kwa 100% zote na nampongeza kwa hii hatua na nawaomba Marais wengine wamuige.
Aisee bora unisaidie mkuu naona hajawahi fanya biashara wala kilimo kwa kifupi kwanye kutafuta pesa kwa njia yyte ni kamali tosha Even ujambazi yahn una-risk ili uje kuingza kitu flani ko kuna mawili hapo upate ama laaa labda kama umeajiriwa selikalini unsubir mwenzi ufike ukafolen dirishani..... imenibid nicheke kama sio kulia pia leo nimeamin humu ndani hata msakatonge mimi ni GT sema tu sianzishag sirediAntibiotic GENTAMYCINE kwa kutumia IQ yako ya juu kabisa tusaidie sisi wakulima kutofautisha 'kilimo' na betting (hasa hiki cha kutegemea mvua)
Watu wanabet online mzeeHivi hili nalo linahitaji Kubisha kuwa tokea ujio wa ' Betting ' hapa nchini hata ' Ufanisi ' katika Maofisi mengi umepungua kwakuwa asilimia kubwa ya Wafanyakazi akili zao wameziweka katika kuwaza au kwenda ' Kubeti ' huku wengine hadi wakifikia hatua hadi ya Kudanganya Ofisini Kwao kuwa ' wanaumwa ' ili asiende Kazini na aende ' Kukesha ' katika Vibanda vya Kubeti? Utakuwa ni ' Mpumbavu ' wa Kimataifa.
Ukimdharau mtu anapungukiwa nin kwani na wew unapata nin...suala sio nchi kuendelea kwa kodi za betting ishu ni je iyo betting inachangia kodi kiasi gani...btw akuna nchi iliyoendelea kwa kodi kutoka chanzo kmoja tuKuna nchi yoyote ile Kubwa duniani imeendelea kwa Kodi za Kubeti? Kuna Watu huwa mnanilazimisha niwe ' nawadharau ' kila Uchao hapa Jamvini / Jukwaani. Jifunze Kujenga Hoja tafadhali.
Ukisema wasiojitambua unakosea...mana akuna siku ambayo mtu kakuomba usaidie kulisha family yake. Acha zako bibieKubeti ni kucheza kamari, watanzania tumeingia mtegoni na kamari. Vijana siku hizi hawafanyi kazi wamekalia kucheza kamari tu, sio vijana hata watu wazima wasiojitambua wako busy na mikeka kweli waafrika tunapaswa tutawaliwe tena ili tupate maendeleo!
Kama na wew unashinda mtandaoni mda wote km uyo unaemsema basi na wew ni 0.03% tuYangu ni ya kuanzia 85% hadi 100% huku yako ikiwa inaanzia 0.03% hadi 1.7% sasa huoni kuwa anayetakiwa ' Kushangaza ' ni Wewe?
ni kweli kwa kuwa serikali hiyo hiyo inakusanya kodi kwenye hiyo michezo. Lazima watu wenye akili kama zitto wawaunge mkono wananchiHii ikitokea hapa Tanzania wananchi wataandamana na Zitto atawaunga mkono huku akiishambulia serikali kuwa haijali wananchi wake wababaishaji wa ku-bet kila kukicha ili tu apate kiki.
m7 huwa ana akili ila sema basi tu madaraka hulevyaHatimaye Rais wa Uganda Mwanamume ' Mwamba wa Mbarara ' au ' Mwamba wa Kinyankole ' Yoweri Kaguta Museveni amefuta rasmi na kuzuia kabisa michezo yote ya Kubahatisha ( Betting ) nchini humo kwa kusema kwamba imesababisha Waganda wengi wawe Wavivu na Kuirudisha nchi nyuma Kimaendeleo kwakuwa hawajitumi katika Kuwajibika na Kuijenga nchi hiyo.
Haya na wale Marais ' Watoto ' wengine igeni hili upesi ili nchi zetu nazo zipige hatua haraka.
Nawasilisha.
Hatimaye Rais wa Uganda Mwanamume ' Mwamba wa Mbarara ' au ' Mwamba wa Kinyankole ' Yoweri Kaguta Museveni amefuta rasmi na kuzuia kabisa michezo yote ya Kubahatisha ( Betting ) nchini humo kwa kusema kwamba imesababisha Waganda wengi wawe Wavivu na Kuirudisha nchi nyuma Kimaendeleo kwakuwa hawajitumi katika Kuwajibika na Kuijenga nchi hiyo.
Haya na wale Marais ' Watoto ' wengine igeni hili upesi ili nchi zetu nazo zipige hatua haraka.
Nawasilisha.[/QUOT
Hii logic ni kubwa sana!Kama hawafanyi kazi pesa ya kubetia wanapata wapi? Hii ni sawa na kusema watu hawafanyi kazi wanakunywa pombe tu. Je, hizo pombe wanagawa bure?!