Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

Uganda kuidhinisha Kiswahili kama lugha ya pili baada ya Kingereza - Wakenya fursa hizooo

Ukwel ni kwamba...kingenge kina wakanganya watanzania...wengi wenu wanaondika na kuongea kingereza fasaha hasa hapa jf ni wale ambao walisomea nje ya nchi...
Lkn ukikutana na jamaa wa st kayumba utashangaa...utajiuliza huyu wa ni graduate kwel ama ananizengua tu...
Manake jamaa atangangania muongee kingereza wakati yeye hayumo kabisa...
marekebisho Tafadhali
"Wakanganya"
"Ananizengua"
"Atangangania"
Mwandishi mashuhuri kutoka 254😂😂😂🏃🏃🏃
 
...Kana kwamba sijawahi kaa darasani na kufundishwa. Silabi,konsonanti na irabu huna cha kunifundisha hapo.
Nilishangaa nyie wenye kiswahili hamjui mnyambuliko wa vitenzi
Ninakufundisha mengi tu ndio maana kila nikikunyuka misamiati migumu unakimbilia google kuhakiki sarufi na kukariri tuvineno uchwara!

Kwanza nataka nikuoe ili nikufundishe Kiswahili vizuri.
 
Ukwel ni kwamba...kingenge kina wakanganya watanzania...wengi wenu wanaondika na kuongea kingereza fasaha hasa hapa jf ni wale ambao walisomea nje ya nchi...
Lkn ukikutana na jamaa wa st kayumba utashangaa...utajiuliza huyu wa ni graduate kwel ama ananizengua tu...
Manake jamaa atangangania muongee kingereza wakati yeye hayumo kabisa...
marekebisho Tafadhali
"Wakanganya"
"Ananizengua"
"Atangangania"
Mwandishi mashuhuri kutoka 254 huyo😂😂😂🏃🏃🏃
 
Ninakufundisha mengi tu ndio maana kila nikikunyuka misamiati migumu unakimbilia google kuhakiki sarufi na kukariri tuvineno uchwara!
Kwanza nataka nikuoe ili nikufundishe Kiswahili vizuri.
Nimekaa muda mrefu bila kutumia Google. Kwa sasa natumia jf tu.
Kiswahili nilikuwa nakipenda nikiwa shuleni (as a subject) right now sina haja nacho
 
Heheeee!!duh!!kumbe wewe hujui kiswahili..please we komaa na kisukuma tu...

Heheee..kujua kiswahili kwn wataka niongee km unavyoongea wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwel wewe ni kilaza[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
marekebisho Tafadhali
"Wakanganya"
"Ananizengua"
"Atangangania"
Mwandishi mashuhuri kutoka 254 huyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hukiona hivyo ujue ulienda shule kusomea kuwa mtumwa ndiyo maana una haja nacho wenzako watz ni kinyume mfano mm kingereza sins haja nacho maana sikitumii popote hadi kimepata kutu
Nimekaa muda mrefu bila kutumia Google. Kwa sasa natumia jf tu.
Kiswahili nilikuwa nakipenda nikiwa shuleni (as a subject) right now sina haja nacho
 
Heheeee!!duh!!kumbe wewe hujui kiswahili..please we komaa na kisukuma tu...
Heheee..kujua kiswahili kwn wataka niongee km unavyoongea wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwel wewe ni kilaza[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
wasukuma mmefanana nao ila wamewazidi kiswahili.katika kiswahili sanifu hatuna haya maneno👇
"Ananizengua"
"Atangangania"
Huyu mwendawazimu vipi huyu mbona haelewi
From north zone of tz
 
Kwavile mnajidanganya Watanzania hawajui Kiingereza, bila kufahamu tofauti ya Watanzania na Wakenya, ni shobo kwenye lugha ya Kiingereza!!

Hivi kabisa unaamini mtu amesoma History, Kiswahili, and English kwa miaka 4, kisha akaenda A-Level akasoma History, Kiswahili, English (HKL),au (HGL) kwa miaka 2!

Baada ya hapo, anaenda chuo akasoma ama Linguistic, BA, n.k, na kwa madogo wa siku hizi, wapo wengi sana waliosoma English Medium kuanzia shule ya msingi; lakini bado unaamini wote hao hawajui Kiingereza?!

Unachekesha!! Unachekesha kwa sababu usichofahamu ni kwamba, wakati nyie mnaonea fahari kuongea Kiingereza hata pasipo na sababu za msingi, Watanzania wengi wanaamini kuongea Kiingereza pasipo na sababu za msingi ni ushamba na ulimbukeni!!

Kwa mfano, ukinikuta nimesimama kwenye kituo cha daladala ukaniongelesha Kiingereza, amini usiamini, ama sitakujibu, na kama nitakujibu, basi nitakujibu kwa Kiswahili!

Nitakujibu kwa hiyo lugha ya kigeni endapo tu utakuwa hufahamu Kiswahili!!

Halafu kingine usichokijua ni kwamba, Watanzania wengi tatizo lao ni kwenye Kiingereza cha kuongea lakini sio cha kuandika!!!

Kwenye kufundisha Kiswahili, Mfundishaji anahitajika kuwa na ufahamu wa kawaida wa lugha ya Kiingereza lakini anatakiwa kuwa na ufahamu wa juu wa Kiswahili, lakini sio ufahamu wa juu wa Kiingereza na ufahamu wa kawaida wa Kiswahili!!
Nikiwa kwenye daladala kuna watu huwa sipokei simu zao, sababu ni kuongea kingereza mbele ya kadamnasi mana kila mtu atakuangalia kwa mshangao mkubwa wakijiuliza huyu jamaa wa wapi? Mhamiaji nini? Kwani hajui lugha ya Taifa letu? Au kuna kitu hataki tuelewe(anateta nini huyu) ?
Kifupi watanzania hatujawahi kuona umuhimu wa kingereza japo wapo wanaozungumza vizuri kwa ufasaha kabisa wakiwa sehemu husika inapohitajika kufanya hivyo.
 
Hauwezi ukaijua lugha bila kuitumia, tena ukubwani, yaani unakumbana na Kingereza kuanzia kidato cha kwanza, halafu haukitumii kwenye mawasiliano, hicho kidogo unachofundishwa kinakutoka mara moja.
Lugha yoyote ile lazima uitumie mara kadhaa ndio uje kuimudu. Mpo ovyoo sana kingereza watu wa ze ze ze, na hata Kiswahili uandishi wenu ovyoo sana.
Hamna lugha hata moja mliyoimudu, hadi zenu za asili, asilimia kubwa kati yenu hamjui hata salamu kwa lugha zenu za asili.
Kwenye jamii ya watanzania hakuna lugha ya muhimu kushinda kiswahili, hivyo hata mtu akijue lugha nyingine tofauti na hii basi hatoitumia hadi pale inapomlazimu kuitumia.
Kwa kifupi tumefanikiwa sana kujali lugha yetu kwa 100%.
 
Kwenye jamii ya watanzania hakuna lugha ya muhimu kushinda kiswahili, hivyo hata mtu akijue lugha nyingine tofauti na hii basi hatoitumia hadi pale inapomlazimu kuitumia.
Kwa kifupi tumefanikiwa sana kujali lugha yetu kwa 100%.

Hamna kitu ila ujuha tu, ukiangalia stakabadhi nyingi kwenu zimeandikwa kwa kingereza, mikataba, hati hata mahakamani, matajiri wenye hela zao wanapeleka watoto wao wakasomeshwe kingereza kwenye shule za English medium ilhali makajamba wa Tandale mnaambiwa mkomae na Kiswahili ili kudumisha uzalendo, ila nafasi za ajira mojawapo wa vigezo humo wanaandika kwamba lazima uwe na uwezo wa kusoma, kuandika na kuongea kingereza, mlalahoi wa Tandale hajawahi kukiongea labda ile kukumbana nacho kwenye shule ya upili, kaambulia ze ze ze nyingi tu na catalist, anashindwa kufanya maombi.

Kuna kipindi nikiwa Tanzania tukaomba sehemu mradi, sasa waliokua wanatufanyia mahojiano (interview) wakawa wanang'ang'ana kingereza, nilipata raha sana maana nilitiririka na kuwanyamazisha wakawa hata maswali yenyewe wanashindwa kuyauliza, maana inambidi jamaa ateme yai na kuweka swali lake sawa, sasa anajikuta anakwama kwama anaishia kati....hehehe

Watanzania wachache ambao huwa na uwezo wa kuongea kingereza wanapata raha sana, maana inakua kama mtaji kwao, kunao wamesomea Kenya, yaani kama hao kupata ajira ni kazi rahisi tu, hebu angali hili tangazo hapa chini

ajira.jpg
 
Watu wa Uganda hawapendi hio lugha, inatumika tu Sana na watu wa kabila la waganda na jiji kuu la Kampala lakini ukienda Kwa wasoga wanatumia tu lugha Yao, ukienda Kwa watoro wanatumia tu kitoro vile vile wanyankole na wakonjo kule rwenzori .uziri wa Bantu za Uganda ni kwamba ukijua lugha moja utaelewa 90% ya lugha zingine za kibantu na inakua rahisi Sana Kwa ajili ya mawasiliano.
Ni kwa sababu ya muingiliano wao na asili yao ni moja sema wanajitenganisha kijiogorafia tu lakini wote ni wamoja.
Ni mfano hapa kwetu wasukuma, wasumbwa na wanyamwezi, hawa hawatetani hata kidogo.
Wagogo, wakaguru, waruguru, wazaramo, wandengereko pia wanaingiliana kwa % kubwa sana ya misamiati yao.
Wahehe, wabena na wakinga kwa mbali pia wanarandana sana hata rafudhi yao.
Ni muingiliano wa jamii na jamii unaochangiwa na asili moja ndiyo imewafanya wanganda waonekane hivyo.
 
Hauwezi ukaijua lugha bila kuitumia, tena ukubwani, yaani unakumbana na Kingereza kuanzia kidato cha kwanza, halafu haukitumii kwenye mawasiliano, hicho kidogo unachofundishwa kinakutoka mara moja.
Lugha yoyote ile lazima uitumie mara kadhaa ndio uje kuimudu. Mpo ovyoo sana kingereza watu wa ze ze ze, na hata Kiswahili uandishi wenu ovyoo sana.
Hamna lugha hata moja mliyoimudu, hadi zenu za asili, asilimia kubwa kati yenu hamjui hata salamu kwa lugha zenu za asili.
Sio kingereza ni kiingereza kuna double (i) ny'ie ndio mmetuharibia kiswahili cha Google na Facebook ni kibaya sijawahi kuona 😛😛
 
Bwahahaaaaaa...hujui kiswahili jomba...we msukuma...nani kakwambia km hayo ni maneno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..

Hyo sentensi bana...ni vile nayashikanisha maneno tu...huna jipya msukuma...umeshindwa na hoja[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]..usiforce niongee kiswahili km chako baba...


wasukuma mmefanana nao ila wamewazidi kiswahili.katika kiswahili sanifu hatuna haya maneno[emoji116]
"Ananizengua"
"Atangangania"
Huyu mwendawazimu vipi huyu mbona haelewi
From north zone of tz
 
Bwahahaaaaaa...hujui kiswahili jomba...we msukuma...nani kakwambia km hayo ni maneno[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]..
Hyo sentensi bana...ni vile nayashikanisha maneno tu...huna jipya msukuma...umeshindwa na hoja[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]..usiforce niongee kiswahili km chako baba...
jifunze uandishi wa kiswahili sanifu hatuhitaji baradhuli humu jf wenzio wakikosolewa wanaelewa.unatia kichefuchefu kwa uandishi wako.hunalolote unalojua
CHAGA BOY FROM NORTH ZONE OF TZ
 
Uandishi tena...heheee!!ukiona mtu kakomaa na uandishi wa mtu jf...basi ujue mada ime mlemea....
Kwanza we msukuma wajua nn zaidi kuunga juhudi...

I don't have strong feelings either way..
jifunze uandishi wa kiswahili sanifu hatuhitaji baradhuli humu jf wenzio wakikosolewa wanaelewa.unatia kichefuchefu kwa uandishi wako.hunalolote unalojua
CHAGA BOY FROM NORTH ZONE OF TZ
 
Uandishi tena...heheee!!ukiona mtu kakomaa na uandishi wa mtu jf...basi ujue mada ime mlemea....
Kwanza we msukuma wajua nn zaidi kuunga juhudi...
I don't have strong feelings either way..
unajichekesha kitu gani au ndo unatafuta bwana!?.mashoga mna mambo
 
Back
Top Bottom