Sema huyo Dada kashtaki huko chuoni ukiingia ofisini hukamata kwa nguvu bila kujali kisa wao ni watoa marks, sema tu wengihupotezeaIla huyo dada kamkomoa tu angalia kivazi na alivyo tulia huku akifanyiwa hayo
yajayo yanafurahishaYaani unanyonywa uchi kinguvu unapata na muda wa kupiga picha? Unabakwa hlf upo busy kupiga picha. Mambo mengine yanashangaza.
Hata mimi nashangaa alipigaje picha huku anaendelea kwa nini hakupata akili ya kupiga kelele?Nina shaka, yawezekana walikuwa na mahusiano so yamekwisha sababu ya sintofahamu, so mdada ameamua amkomeshe jamaa...hawa watu ujue tunapaswa kuishi nao kwa akili
Kwanini usipate?Mpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.
Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Chukulia kitendo cha purukushani, jaribu kudhani kama itawezekana kuchukua simu kisha kupiga picha!Kwanini usipate?
Soma vizuri hapo wanakuambia ilikuwa ni mtego.Mpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.
Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Sio Kenya lkni, tukio la dada ni Uganda, Makerere University mkuuHii habari ina utata sana, ila wakenya nao wajanja wajanja sana na sheria wanazijua. Huyu binti alijua anachokifanya ila profesa kaingia kwenye mtego.
Kuna siku Nairobi nilipotelewa na pesa hotelini kama 100 USD, nikamuuliza kijana anaefanya usafi kama kwa namna yeyote ameziona. Akasema hajachukua, nikamwambia nitoe taarifa kwa mkuu wako wa kazi? Akasema ni sawa tu! Dah, ile ningeenda kichwakichwa angecheza na sheria na ingekula kwangu. Nikaishia kutoa taarifa bila kusema au kumtuhumu mtu.