Uganda, Makerere: Afisa utawala afukuzwa baada ya kushitakiwa kwa kumdhalilisha Mwanachuo kimapenzi

Ila huyo dada kamkomoa tu angalia kivazi na alivyo tulia huku akifanyiwa hayo
Sema huyo Dada kashtaki huko chuoni ukiingia ofisini hukamata kwa nguvu bila kujali kisa wao ni watoa marks, sema tu wengihupotezea
 
Yaani unanyonywa uchi kinguvu unapata na muda wa kupiga picha? Unabakwa hlf upo busy kupiga picha. Mambo mengine yanashangaza.
 
Mkikuyu hajui mambo ya chumvini ila mbona sijsona neno CHUPI hapo ? Kama ilivuliwa au jamaa kajitisa hivo hivo. Huku kwetu Uvinza ukimlamba mwanamke kwenye utamu hata kama ni mama mkwe hamuambii mtu.
 
Nina shaka, yawezekana walikuwa na mahusiano so yamekwisha sababu ya sintofahamu, so mdada ameamua amkomeshe jamaa...hawa watu ujue tunapaswa kuishi nao kwa akili
Hata mimi nashangaa alipigaje picha huku anaendelea kwa nini hakupata akili ya kupiga kelele?
 
Mpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.

Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Kwanini usipate?
 
SI HAKIII KABISAAAA HUYO DADA NDO ASHTAKIWE
 
Mpuuzi huyo mwanafunzi, sema kuna mambo wamepishana na huyo jamaa,
Haiingii.akilini dada mzima ufanyiwe vile na apate mda wa kumpiga picha mhusika.

Jamaa kaingizwa mkenge na dellilah!!
Soma vizuri hapo wanakuambia ilikuwa ni mtego.
 
duuuhh huyo jamaa alikua ananyonyaje kias cha huyo dada kupata hata nguvu ya kujipiga picha!!???[emoji848]
 
Sio Kenya lkni, tukio la dada ni Uganda, Makerere University mkuu
 
Huyo profesa sekta ya unyonyaji hajaipatia shule vizuri yani unamnyonya like kunyonya serious anachukua simu anapiga picha?? I [emoji23][emoji23][emoji23] anapata wapi hizo nguvu shubamiti yani hiyo ya chini angetoa mwenyewe bila shuruti [emoji38][emoji38][emoji38].
 
Huyo mwanafunzi katafuta kiki tuu ajalazimishwa mkono mmoja unapiga picha taratibu anafuhia kunyonywa harafu baadae anaandika barua ndeefu...kwani kutoka office hiyo ilikua kazi kuliko kubaki usanii tuu huo..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…