ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Mabwabwa naona watakuwa wanashangilia muda huu wa kuruhusiwa kufanya dhambi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani watu wanavyohemka utadhani hiyo mkkundu inayodinywa ni yao.
Kudinywa adinywe mwingine lakini kuhemka uhemke wewe....it just doesn't make sense!
na mimi najibu kama ivi;mimi siungi mkono tendo la kishoga ila naunga mkono haki zao...ni sawasawa na mwizi alieiba mtaani kwenu mnaomba tusichukue sheria mkononi....in addition kukubali ama kukataa kutambu ahaki zao kama binadamu wengine hakutaondoa ivyo vitendo,vipo n avitaendelea kuwwepo...we need a sign of maturity handling these stuffs...Nyani Ngabu naomba nikuulize kwa ustaarabu kabisa. Je wewe hili jambo kwako unaona ni sahihi? Je wewe ni mtetezi wa hao minority? Kwa utashi wako wa kumuogopa MUNGU unadhani ni sahihi kushabikia matendo ya Kishoga?
Kama nitakuwa nimekukera pls nisamehe........daaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nyani Ngabu naomba nikuulize kwa ustaarabu kabisa.
Je wewe hili jambo kwako unaona ni sahihi?
Je wewe ni mtetezi wa hao minority?
Kwa utashi wako wa kumuogopa MUNGU unadhani ni sahihi kushabikia matendo ya Kishoga?
Kama nitakuwa nimekukera pls nisamehe........daaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh.......!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kipi usichoelewa apo
waacheni watu wale raha zao...kama ni kiama kila mtu ana cku yake
nimemjibu simpo tu kwamba yeye at.[o]mbe ile sehem sahihi .iyo nyingine awaachie hao mashoga watajuanana Mungu wao....ujue kitakachotuua bongo ni unafiki tu..nawapenda wazungu wapo straight foward..kukubali haina maana ur a folower....
Naam, kama unataka kujadili mambo kwa ustaarabu sina shida kabisa na nashukuru kwa hilo.
Binafsi sipendi kabisa hayo mambo. Lakini, kwa vile tu mimi siyapendi hiyo haina maana ya kwamba kama wapo wanaoyapenda basi ndo nianze kuwafuatilia, kuwanyanyasa, na kuwanyanyapaa. Kila mtu na maisha yake. Kama mtu jambo hulipendi basi achana nalo, kaa nalo mbali kabisa.
Kwa hiyo kwangu mtu kuwa shoga mimi hiyo haininyimi raha, hainikoseshi usingizi, wala hainizibii riziki yangu. Aidha, kama wahusika wa huo ushoga ni watu wazima, mimi sina shida nao kabisa ili mradi tu wakae mbali na anga zangu. Sinaga mambo ya kufuatilia maisha ya watu. Yaliyomo kwenye maisha yangu yananitosha.
Kwani wewe huwa unaathirika vipi endapo wanaume wawili wakiamua kuingiliana kimwili kwenye faragha ya makazi yao?
Mimi ni mtetezi ubinadamu. Binadamu ambaye hajamdhuru wala kumtendea kosa binadamu mwingine yeyote yule hastahili kuadhibiwa kwa kuamua kuishi maisha yake apendavyo yeye.
Hata ikitokea nione wewe unanyanyapaliwa kwa lolote lile nitakutetea tu ili mradi uwe hujamfanyia ubaya mtu mwingine.
Mimi ni agnostic na siwezi kumwogopa mtu au kitu ambacho hakuna ushahidi kuwa kipo.
Wala hujanikera. Nirudie tu tena kukushukuru kwa ustaarabu uliouonyesha katika kuuliza maswali yako.
kwa taarifa yako tu vitendo vya kishoga siku izi wala hutaweza kumtambua mtu kwa muonekano wake;wapo vijana smart,wana elimu zao,kazi zao nzuri,familia ya mke na watoto na on the backside wanaliwa ndogo japo kwa siri sana....sasa how do u handle someone like this!!utmjuaje kwanza.....
Kwahiyo hata ukiambiwa mzazi wako wa kiume, mwanao au kaka yako ni shoga we unachekelea tu na kuzidi kuwapongeza!!?
lazima ujueeeee hao mashogaaaaa hawatakiwi kabisa kuoewa nafasi katika jamiiii kwani wana haribu watoto kwa kuwaingiziaaa katika makundi kama wao, shoga syo mstarabu hata siku mojaaa mimi shogaa akinileteaaa usen.... wake namkataa vibaooooo au mtu eti awatete mapungaaaa namfanyaaaa hivyohivyo, back to our topic serikali lazimaa iwabane mashogaaaa syo kuwaruhusu wajiachieeeee tu mpakaa wao wanajionaa wako sawa na upumbavu wao......wanaofanya kumbuka kuna watoto wanakiwa wao wakiona hayo wataona sawa tu.kwa hyo lazima tuwa dhibiti......nimemjibu simpo tu kwamba yeye at.[o]mbe ile sehem sahihi .iyo nyingine awaachie hao mashoga watajuanana Mungu wao....ujue kitakachotuua bongo ni unafiki tu..nawapenda wazungu wapo straight foward..kukubali haina maana ur a folower....
Kwa hiyo kwangu mtu kuwa shoga mimi hiyo haininyimi raha, hainikoseshi usingizi, wala hainizibii riziki yangu. Aidha, kama wahusika wa huo ushoga ni watu wazima, mimi sina shida nao kabisa ili mradi tu wakae mbali na anga zangu. Sinaga mambo ya kufuatilia maisha ya watu. Yaliyomo kwenye maisha yangu yananitosha.
Long live Robert Mugabe ......... soma hapa chini ujue huyu mtu anastahili heshima ya aina yake ........
'This nonsense from Europe, keep their homosexual nonsense there and not cross over with it.'
Mugabe added: 'We did not fight for this Zimbabwe so it can be a homosexual territory. We will never have that here and if there are any diplomats, who will talk of any homosexuality, just tell me. We will kick them out of the country without any excuse. We wont even listen. Any signal that they are homosexual we kick them out of the country before sunset.
Mugabe also made other threats. 'If you pass a law that rejects homosexual marriages, we will punish you like what they are doing to Uganda and us. And they say they want you to believe that if a man gets another man and they have a homosexual relationship, they have human rights to do so.' 'But that act is inhuman. Its not human and human rights cannot derive from acts, which are inhuman. That does not exist in jurisprudence.'
Mugabe also said: 'What is wrong is wrong and cannot be right but they say no, human beings are free to marry each other, and look at the absurdity of it all, when God created the world, we learned from the Bible, He created animals, forests, lastly He created man. Because man was lonely, He got from the side of man, a rib and created a woman...thats the start of society as we know it from the bible.'
Kwa mfano ikitokea kaka yako au mdogo wako au mwanao wa kumzaa mwenyewe akiamua kuwa shoga haitakunyima raha.. kukukosesha usingizi wala kukuzibia riziki yako..?
Shoga siku zote ni mharibifu wa watoto wadogo,ambao hawajafikia umri wa kuamua lipi la kufuata na lipi la kuacha.Mashoga wengi wanaanzishwa ushoga na mashoga wakubwa wanapokuwa watoto.Unapoutetea ushoga,ujuwe moja kwa moja unavunja haki ya mtoto.Naam, kama unataka kujadili mambo kwa ustaarabu sina shida kabisa na nashukuru kwa hilo.
Binafsi sipendi kabisa hayo mambo. Lakini, kwa vile tu mimi siyapendi hiyo haina maana ya kwamba kama wapo wanaoyapenda basi ndo nianze kuwafuatilia, kuwanyanyasa, na kuwanyanyapaa. Kila mtu na maisha yake. Kama mtu jambo hulipendi basi achana nalo, kaa nalo mbali kabisa.
Kwa hiyo kwangu mtu kuwa shoga mimi hiyo haininyimi raha, hainikoseshi usingizi, wala hainizibii riziki yangu. Aidha, kama wahusika wa huo ushoga ni watu wazima, mimi sina shida nao kabisa ili mradi tu wakae mbali na anga zangu. Sinaga mambo ya kufuatilia maisha ya watu. Yaliyomo kwenye maisha yangu yananitosha.
Kwani wewe huwa unaathirika vipi endapo wanaume wawili wakiamua kuingiliana kimwili kwenye faragha ya makazi yao?
Mimi ni mtetezi ubinadamu. Binadamu ambaye hajamdhuru wala kumtendea kosa binadamu mwingine yeyote yule hastahili kuadhibiwa kwa kuamua kuishi maisha yake apendavyo yeye.
Hata ikitokea nione wewe unanyanyapaliwa kwa lolote lile nitakutetea tu ili mradi uwe hujamfanyia ubaya mtu mwingine.
Mimi ni agnostic na siwezi kumwogopa mtu au kitu ambacho hakuna ushahidi kuwa kipo.
Wala hujanikera. Nirudie tu tena kukushukuru kwa ustaarabu uliouonyesha katika kuuliza maswali yako.
Umesema kweli mkuu.Kwa mfano ikitokea kaka yako au mdogo wako au mwanao wa kumzaa mwenyewe akiamua kuwa shoga haitakunyima raha.. kukukosesha usingizi wala kukuzibia riziki yako..?
Shoga siku zote ni mharibifu wa watoto wadogo,ambao hawajafikia umri wa kuamua lipi la kufuata na lipi la kuacha.Mashoga wengi wanaanzishwa ushoga na mashoga wakubwa wanapokuwa watoto.Unapoutetea ushoga,ujuwe moja kwa moja unavunja haki ya mtoto.
Vile vile mashoga ni nguvu kazi ambayo,inakuwa haina kazi tena,shoga huwa amelegea,mawazo,akili,fikira,mtizamo na ni mlemevu wa akili.
Unapomtete shoga,unakasema unatetea haki ya kibinadamu,je wanaopinga ushonga,hawana haki ya kibinadamu?