Uganda yafuta sheria iliyokuwa inapinga ndoa za jinsia moja

Uganda yafuta sheria iliyokuwa inapinga ndoa za jinsia moja

Mkuu swala la msingi ni kwanini wamagharibi wanalishikia bango swala hilo hata wanatishia kunyima msaada??? hapo kuna nini? soma alama za nyakati.
Shetani sasa hivi anatoa makucha sana. Pia kwani mzungu tu ndo atufundishe jinsi ya kuishi? kwani yeye ni mungu? Mbona China hawafosi ki hivyo? kwanini watuonee waafrika? huo ni ushenzi haitakiwi uingizwe kwenye sheria ya nchi. Nchi inaundwa na watu wenye imani tofauti, hawa wote hakuna imani yao inayoruhusu vitu hivyo, sasa hiyo inayokuja ni ya Shetani kabisa. kuwa makini.

mimi sijakataa kuwa ushoga ni dhambi na ni kazi ya shetani. nakubaliana asilimia 100 kuwa tusikubali kabisa kuhalalisha ushoga. mie tatizo langu lipo kwenye ile kuonyesha double standards. kwa nini tunakemea sana ushoga na kutunga sheria dhidi ya hiyo dhambi lakini wakuu wa nchi hawalaani uzinzi na kutunga sheria dhidi ya hiyo dhambi? tukienda mbali sasa inafika wakati kuwa tunahalalisha uzinzi maana watu wanafunga ndoa wakiwa na mimba kabisa. hili ndio mie nalikataa. tuwe na msimamo mkali pia dhidi ya uzinzi nataka nione waku wa nchi wakisema kuwa sasa jamani yoyote anayehusika na uzinzi ni kufungwa.
 
issue is not comparison wewe....issue is that its a sin period. mnasema oh becoz wanaenda kinyume na maumbili na jinsi binadamu wanatakiwa kujamiana....but mbona watu siku hizi wanapenda blowjob. je hiyo sio kinyume na maumbile. mbona hao hamtaki kuwafunga?

mimi nakubaliana kabisa kuwa ushoga ni dhambi. unzinzi pia ni dhambi ambazo zote zinafanywa na wanadamu ambao lengo lao ni kuburudika. sasa kwa nini huku tutoa hukumu kali wakati upande wa pili tunachekelea na kuhushabikia? mimi kama serikali ingekuwa nasema kuwa tutatoa hukumu ile ile pande zote mbili nisingekuwa na tatizo lolote



Yes !!
Wewe ni great thinker!!
Umeongea jambo la ukweli kabisa watu wanataka kumchagulia Mungu dhambi kubwa kuliko zote.
Tujiulize viongozi wanaong'oa kucha waandishi wa habari na madaktari wanaotetea maslahi ya watu na haki zao nao pia wanajifanya ni wema kisa eti wanasema mashoga wafungwe au wanyongwe kabisa ilhali rushwa ya pesa na uzinzi umeshamiri kila mahali.Imani za kutoa makafara watoto kwa ajili ya kutafuta mali ziko kila upande wa nchi,dhulma na utapeli umejaa mitaa yote kwa lengo la kutafuta fedha.
Wakati wa uchaguzi uongo mwingi na wizi wa kura kila mahali kwenye nchi za kiafrika na za Kiarabu hali inayopelekea kumwaga damu.Biashara haramu za dawa za kulevya na ujangili umejaa lakini hao wanaofanya haya machafu wanajifanya kwamba hizi ni dhambi ndogo kuliko ya ushoga.

Mimi suala la ushoga naona ni la mtu na upumbavu wake na ukimtii Mungu na kuheshimu maadili halina nafasi kwako.Lakini rushwa ,ujambazi na wizi vinaiangamiza jamii.

Watu wasome vizuri ni kwa nini Mungu aliamua kuiangamiza miji ya Sodoma na Gomora. Kwa kifupi wale watu wote walikua ni waovu hapakua na hata mtu mmoja aliyekua anamwabudu Mungu.Hata malaika walipotumwa pale walifanya njama ili wawakamate na kuwalawiti lakini walishindwa kwani malaika waliwapiga kwa upofu na hawakuweza kuwaona.
Mungu alimhakikishia Ibrahim kuwa kama pangekua na watu wema WATANO TU pale Sodoma basi Mungu angewasamehe watu wote wa Sodoma na asingeuangamiza ule mji pamoja na dhambi yao ya ubasha na ushoga lakini Mungu hakumwambia kwamba wale ninawaangamiza kwa sababu dhambi yao ni kubwa. Mungu hakuona hata watu watano wanaomwabudu na kuliombea Taifa.
Hata wakati wa gharika Mungu aliwaangamiza kwa sababu ya uzinzi na kuacha kumwabudu Mungu.

Jiulize ni kwa nini Mungu anayaacha Mataifa ya Waarabu na waafrika wanaangamia kila kukicha,Tajiri na maskini wana mashaka kila kukicha lakini akipata nafasi ya kwenda Ulaya anaona ahueni.

Cha msingi ni kuacha dhambi zote na kumrudia Mungu na Kumpokea Mwana wake wa Pekee Yesu Kristo.
Anasema ,' 'KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU HATA AKAMTOA MWANAWE WA PEKEE ILI KILA AMWAMINIE ASIPOTEE BALI AWE NA UZIMA WA MILELE'' Yohana 3:16.
Hakuna namna nyingine.
 
Yes !!
Wewe ni great thinker!!
Umeongea jambo la ukweli kabisa watu wanataka kumchagulia Mungu dhambi kubwa kuliko zote.
Tujiulize viongozi wanaong'oa kucha waandishi wa habari na madaktari wanaotetea maslahi ya watu na haki zao nao pia wanajifanya ni wema kisa eti wanasema mashoga wafungwe au wanyongwe kabisa ilhali rushwa ya pesa na uzinzi umeshamiri kila mahali.Imani za kutoa makafara watoto kwa ajili ya kutafuta mali ziko kila upande wa nchi,dhulma na utapeli umejaa mitaa yote kwa lengo la kutafuta fedha.
Wakati wa uchaguzi uongo mwingi na wizi wa kura kila mahali kwenye nchi za kiafrika na za Kiarabu hali inayopelekea kumwaga damu.Biashara haramu za dawa za kulevya na ujangili umejaa lakini hao wanaofanya haya machafu wanajifanya kwamba hizi ni dhambi ndogo kuliko ya ushoga.

Mimi suala la ushoga naona ni la mtu na upumbavu wake na ukimtii Mungu na kuheshimu maadili halina nafasi kwako.Lakini rushwa ,ujambazi na wizi vinaiangamiza jamii.

Watu wasome vizuri ni kwa nini Mungu aliamua kuiangamiza miji ya Sodoma na Gomora. Kwa kifupi wale watu wote walikua ni waovu hapakua na hata mtu mmoja aliyekua anamwabudu Mungu.Hata malaika walipotumwa pale walifanya njama ili wawakamate na kuwalawiti lakini walishindwa kwani malaika waliwapiga kwa upofu na hawakuweza kuwaona.
Mungu alimhakikishia Ibrahim kuwa kama pangekua na watu wema WATANO TU pale Sodoma basi Mungu angewasamehe watu wote wa Sodoma na asingeuangamiza ule mji pamoja na dhambi yao ya ubasha na ushoga lakini Mungu hakumwambia kwamba wale ninawaangamiza kwa sababu dhambi yao ni kubwa. Mungu hakuona hata watu watano wanaomwabudu na kuliombea Taifa.
Hata wakati wa gharika Mungu aliwaangamiza kwa sababu ya uzinzi na kuacha kumwabudu Mungu.

Jiulize ni kwa nini Mungu anayaacha Mataifa ya Waarabu na waafrika wanaangamia kila kukicha,Tajiri na maskini wana mashaka kila kukicha lakini akipata nafasi ya kwenda Ulaya anaona ahueni.

Cha msingi ni kuacha dhambi zote na kumrudia Mungu na Kumpokea Mwana wake wa Pekee Yesu Kristo.
Anasema ,' 'KWA MAANA JINSI HII MUNGU ALIUPENDA ULIMWENGU HATA AKAMTOA MWANAWE WA PEKEE ILI KILA AMWAMINIE ASIPOTEE BALI AWE NA UZIMA WA MILELE'' Yohana 3:16.
Hakuna namna nyingine.

umenikumbusha umemtaja mungu..kuna mdada mmoja ambaye ni mtasha kutoka USA aliwahi kuniambia wakati nabishana naye kuhusu ushoga, nikiutetea kwamba sio jambo natural na mungu hapendi, but yeye akawa anawatetea wanaume mashoga na kusema kwamba Men have "G-spots" in their bottom. Kama mungu hapendi asingewawekea G-spot .. ya nini sasa..na akasema sijui biology yeye anaijua vizuri sana, she was very confident ?!!
Binafsi nilibaki kimya tu.

niliwahi kuutupia uzi wa majadiliano yetu na huyu mdada kipindi fulani wanaume humu JF waliogopa kuujadili... sure.
binafsi nionavyo knowledge is vast and more complex with time...ya mwaka 47 tuwaachie wao tufikirie yaliyopo..watu waliwaogopa viongozi wa dini na baibo zamani..siku hizi kila jambo linawekwa mezani na kuhojiwa kabla halijakubalika.

mijadala mingi duniani inaonyesha kwamba bibilia haikatazi ushoga, kwa maana kwamba haijaugusia kabisa..hivyo wanaoukataa ni swala la utamaduni zaidi.
 
Private, non-commercial and consensual sex between two adults is not a matter of state! Over his own body the human being is sovereign. What happened to that idea? Live and let live, people!
Homosexuality is not unafrican https://docs.google.com/file/d/1ExC...G868vnLSxk5danDYWE3zWEwaVFyvqbn3Ai/edit?pli=1
Homosexuality is not unnatural. In fact, homosexuality has been found in many animal species but homophobia is in only one species, humans. So which is unnatural? Homosexual behavior in animals - Wikipedia, the free encyclopedia
You dont need a law to tell you whether you are gay or not. If you are not then you aren't. One cant be 'infected' or 'recruited' as some of you put it.
I am not gay myself, but i just think that if we are gonna hang or kill someone for something, at least it should be for a genuine reason! Learn to value life.....no human being can create even a strand of human hair or a fingernail. so value others! It is only for God to judge (and btw, if you are gonna use the Bible to justify homophobia, know that the Old Testament also bans eating of pork, says that a woman raped should be married by her rapist, says that you should be put to death if you work on a Sabbath and so much more. Why be selective and run to the Bible only when it suits you? As for Soddom and Gomorah, it is highly debatable that the two cities were burned to the ground for homosexuality. Read Ezekiel 16:49-50. Also, remember the issue of religious freedom? Not everyone believes in your god or your holy book.)
 

Attachments

  • images[1].jpeg
    images[1].jpeg
    5.6 KB · Views: 343
mimi sijakataa kuwa ushoga ni dhambi na ni kazi ya shetani. nakubaliana asilimia 100 kuwa tusikubali kabisa kuhalalisha ushoga. mie tatizo langu lipo kwenye ile kuonyesha double standards. kwa nini tunakemea sana ushoga na kutunga sheria dhidi ya hiyo dhambi lakini wakuu wa nchi hawalaani uzinzi na kutunga sheria dhidi ya hiyo dhambi? tukienda mbali sasa inafika wakati kuwa tunahalalisha uzinzi maana watu wanafunga ndoa wakiwa na mimba kabisa. hili ndio mie nalikataa. tuwe na msimamo mkali pia dhidi ya uzinzi nataka nione waku wa nchi wakisema kuwa sasa jamani yoyote anayehusika na uzinzi ni kufungwa.

Ok mkuu nimekupata
 
umenikumbusha umemtaja mungu..kuna mdada mmoja ambaye ni mtasha kutoka USA aliwahi kuniambia wakati nabishana naye kuhusu ushoga, nikiutetea kwamba sio jambo natural na mungu hapendi, but yeye akawa anawatetea wanaume mashoga na kusema kwamba Men have "G-spots" in their bottom. Kama mungu hapendi asingewawekea G-spot .. ya nini sasa..na akasema sijui biology yeye anaijua vizuri sana, she was very confident ?!!
Binafsi nilibaki kimya tu.

niliwahi kuutupia uzi wa majadiliano yetu na huyu mdada kipindi fulani wanaume humu JF waliogopa kuujadili... sure.
binafsi nionavyo knowledge is vast and more complex with time...ya mwaka 47 tuwaachie wao tufikirie yaliyopo..watu waliwaogopa viongozi wa dini na baibo zamani..siku hizi kila jambo linawekwa mezani na kuhojiwa kabla halijakubalika.

mijadala mingi duniani inaonyesha kwamba bibilia haikatazi ushoga, kwa maana kwamba haijaugusia kabisa..hivyo wanaoukataa ni swala la utamaduni zaidi.

Huyo mdada alikuwa ni wakala wao. Kwenye bible au kurani sijawahi kusikia kuwa watu wa jinsia moja wameoana na yesu au muhamad kawabariki. Hakuna kitu kama hicho.
Hiyo G-spot sielewi ni kitu gani, ok, nahisi huyo mwanadaa anaweza kusema ni kitu kwa ajili ya ku stimulate tendo la gona nakadhalika na kadhalika, lakini bado hawezi ku elezea ki dini ni wapi wameieleza kwamba imewekwa kwa wanaume kwa ajili hiyo.
Huyo hajui kuchambua sayansi na dini. Sayansi na dini ni vitu vinavyoenda sambamba lakini kuvibainisha inakuwa ngumu.
 
Ahhhaa biblia haikugusia kwa sabab mungu hakuwahi kufikiria kama binadam angefiriska kiroho kias hicho lakin vtab vibgne vilivyokuja baada ya biblia havijakataza?,vimefanya hvyo ooo africa my lucky continent where do these shit europeans seding us!,na hata walipokuwa wanatutawala enzi hizo walitumia vitabu hvyo hvyo kutulainisha mioyo yetu....hata hvi wanajua kama sheria tulizo nazo zinakataa wameamua kutumia vitabu vitakatifu kwani wanajua tunazisjudu dini tena walizoleta wenyewe kuliko hata wao wanavyozisujudu
 
Kama mungu angejua kuwa ushoga ni deal basi wanaumenao wangepewa tumbo.la uzazi ma washike mimba na kuzaa...kama wataanza kuzaa basi waruhusiwe lakin kama wakioana na hawwezi kuzaa basi moto uwafae tena hapapa dunian....mungu sio mnoko aumbe mwanake then tumuone hana maana,wajinga wa.kutupwa tena mashoga wanotetea hili...puuuumabavu.sana haoooooooo!
 
Ahhhaa biblia haikugusia kwa sabab mungu hakuwahi kufikiria kama binadam angefiriska kiroho kias hicho lakin vtab vibgne vilivyokuja baada ya biblia havijakataza?,vimefanya hvyo ooo africa my lucky continent where do these shit europeans seding us!,na hata walipokuwa wanatutawala enzi hizo walitumia vitabu hvyo hvyo kutulainisha mioyo yetu....hata hvi wanajua kama sheria tulizo nazo zinakataa wameamua kutumia vitabu vitakatifu kwani wanajua tunazisjudu dini tena walizoleta wenyewe kuliko hata wao wanavyozisujudu

Safi sana mkuu, yaani humu JF kwa watu wanaofatilia issue kama wewe ni wachache tu.
Jamaa wenyewe ndo walituletea dini. sasa hivi wanajipinga wenyewe.
Hawa jamaa ni washenzi tu, hakuna cha wana akili kubwa kuliko sisi wala nini, ni ushetani ndo unaowasumbua.
Na mungu atawaadhibu.....
 
Huyo mdada alikuwa ni wakala wao. Kwenye bible au kurani sijawahi kusikia kuwa watu wa jinsia moja wameoana na yesu au muhamad kawabariki. Hakuna kitu kama hicho.
Hiyo G-spot sielewi ni kitu gani, ok, nahisi huyo mwanadaa anaweza kusema ni kitu kwa ajili ya ku stimulate tendo la gona nakadhalika na kadhalika, lakini bado hawezi ku elezea ki dini ni wapi wameieleza kwamba imewekwa kwa wanaume kwa ajili hiyo.
Huyo hajui kuchambua sayansi na dini. Sayansi na dini ni vitu vinavyoenda sambamba lakini kuvibainisha inakuwa ngumu.

ni kawaida mtu akitetea jambo fulani kutokana na fikra watu hum-provoke kuwa anahusika, fahamu wapo watu wanatetea mambo fulani kwasababu ya upeo wao na wala sio kuwa ni wanachama na utakuta hanufaiki nacho ila anaona ni jambo sahihi based on rational argument not otherways.

kitu ambacho naweza kukisema ni kwamba kwa jinsi alivyokuwa akitetea ni wazi kwamba, huyu mdada sio wakala wa mashoga, ila ni mtu anayeamini mtu anayo haki ya ku-enjoy na mwili wake anavyotaka. pengine Anayo-sympathy na wanaume wanaobanduliwa na kwamba wana-enjoy.

just like women ambao wanapenda ku-enjoy sexual feelings.
She's a girl she has feelings she's so sincere for those men who love to be Fu*ked. alikwenda mbali sana nilipomuuliza.. kama angependa kusikia mtoto wake wa kiume aliyemzaa ni shoga akajibu..angependa sana, kwani kama mama yoyote duniani anapenda kuona mtoto wake akifurahi!(sikutarajia jibu hili!!)

kuhusu koran, japo sipo hapa kujadili dini ila vipo vifungu na vitendo vya mtume wanavyojaribu kuvihusisha, mfano kwa yeye kuwanyonya ndimi (french kiss)watoto wa kiume wa hassan ali, na habari za lutu kwenye koran na maeneo mengi..
pia lipo swala la mwanaume kusex na mwanamke kinyume na maumbile linalosemwa kuhalalishwa kwenye koran, na ufahamu everything about G spot inapoanzia na kuishia kuanzia kwa mwanamke as well as mwanaume......unaweza kutafuta mwenyewe ukapata hizi taarifa-- anyway nimegusia lakini siko hapa kujadili dini .

kuhusu g-spot kwa wanaume, fahamu tu kwamba logically, there's sensational and pleasurable feelings otherways wasingetaka kuf*r*w*, after all sio mashoga wote wana njaa ya pesa wengine ni very rich. mcheki Sir elton john na Boy george(george michael).wote wa England.

yule dada mzungu aliniambia nenda kajichunguze wewe binafsi kwanza...nakumbuka nilimjibu "sina haja manake najiamini(am comfortable, na sina haja yaku-doubt uanaume wangu".

kimsingi ilikuwa kiburi tu lakini ukisoma zaidi vitabu you will find this G spot to men's bottom very clear.

Pia ufahamu tu mjadala wa ushoga worldwide sio mjadala rahisi ni complex issue iliyoathiri makanisa, misikiti, tamaduni mbali mbali na jamii mbalimbali, and with time hali inaonekana itazidi kuwa mbaya huku Africa. Wazungu ulaya walipambana kuzuia Ushoga wakashindwa, kwa sasa ufaransa na uingereza zinaendelea kuzuia but when changes come will come.Histoira kwa USA pekee wanasema miaka 15 iliyopita, ilikuwa ni aibu kwa mtu kujulikana ni shoga, lakini sasa hivi aibu haipo tena, na hawa wamarekani wamechelewa kwani Europe ndio walianza mabadiliko mapema. Hata hizi nchi za Africa is just a matter of time..
 
ni kawaida mtu akitetea jambo fulani kutokana na fikra watu hum-provoke kuwa anahusika, fahamu wapo watu wanatetea mambo fulani kwasababu ya upeo wao na wala sio kuwa ni wanachama na utakuta hanufaiki nacho ila anaona ni jambo sahihi based on rational argument not otherways.

kitu ambacho naweza kukisema ni kwamba kwa jinsi alivyokuwa akitetea ni wazi kwamba, huyu mdada sio wakala wa mashoga, ila ni mtu anayeamini mtu anayo haki ya ku-enjoy na mwili wake anavyotaka. pengine Anayo-sympathy na wanaume wanaobanduliwa na kwamba wana-enjoy.

just like women ambao wanapenda ku-enjoy sexual feelings.
She's a girl she has feelings she's so sincere for those men who love to be Fu*ked. alikwenda mbali sana nilipomuuliza.. kama angependa kusikia mtoto wake wa kiume aliyemzaa ni shoga akajibu..angependa sana, kwani kama mama yoyote duniani anapenda kuona mtoto wake akifurahi!(sikutarajia jibu hili!!)

kuhusu koran, japo sipo hapa kujadili dini ila vipo vifungu na vitendo vya mtume wanavyojaribu kuvihusisha, mfano kwa yeye kuwanyonya ndimi (french kiss)watoto wa kiume wa hassan ali, na habari za lutu kwenye koran na maeneo mengi..
pia lipo swala la mwanaume kusex na mwanamke kinyume na maumbile linalosemwa kuhalalishwa kwenye koran, na ufahamu everything about G spot inapoanzia na kuishia kuanzia kwa mwanamke as well as mwanaume...... anyway nimegusia lakini siko hapa kujadili dini..

kuhusu g-spot kwa wanaume, fahamu tu kwamba logically, there's sensational and pleasurable feelings otherways wasingetaka kuf*r*w*, after all sio mashoga wote wana njaa ya pesa wengine ni very rich. mcheki Sir elton john na Boy george(george michael).wote wa England.

yule dada mzungu aliniambia nenda kajichunguze wewe binafsi kwanza...nakumbuka nilimjibu "sina haja manake najiamini(am comfortable, na sina haja yaku-doubt uanaume wangu".

kimsingi ilikuwa kiburi tu lakini ukisoma zaidi vitabu you will find this G spot to men's bottom very clear.

Pia ufahamu tu mjadala wa ushoga worldwide sio mjadala rahisi ni complex issue iliyoathiri makanisa na misikiti na jamii mbalimbali, and with time hali inaonekana itazidi kuwa mbaya huku Africa. Wazungu ulaya walipambana kuzuia Ushoga wakashindwa, wanasema miaka 15 iliyopita iliaminika, MArekani ilikuwa ni aibu kwa mtu kujulikana ni shoga, lakini sasa hivi aibu haipo tena, na hawa wamarekani wamechelewa kwani Europe ndio walianza mabadiliko mapemo. Hata hizi nchi za Africa is just a matter of time..

Well thought
 
Private, non-commercial and consensual sex between two adults is not a matter of state! Over his own body the human being is sovereign. What happened to that idea? Live and let live, people!
Homosexuality is not unafrican https://docs.google.com/file/d/1ExC...G868vnLSxk5danDYWE3zWEwaVFyvqbn3Ai/edit?pli=1
Homosexuality is not unnatural. In fact, homosexuality has been found in many animal species but homophobia is in only one species, humans. So which is unnatural? Homosexual behavior in animals - Wikipedia, the free encyclopedia
You dont need a law to tell you whether you are gay or not. If you are not then you aren't. One cant be 'infected' or 'recruited' as some of you put it.
I am not gay myself, but i just think that if we are gonna hang or kill someone for something, at least it should be for a genuine reason! Learn to value life.....no human being can create even a strand of human hair or a fingernail. so value others! It is only for God to judge (and btw, if you are gonna use the Bible to justify homophobia, know that the Old Testament also bans eating of pork, says that a woman raped should be married by her rapist, says that you should be put to death if you work on a Sabbath and so much more. Why be selective and run to the Bible only when it suits you? As for Soddom and Gomorah, it is highly debatable that the two cities were burned to the ground for homosexuality. Read Ezekiel 16:49-50. Also, remember the issue of religious freedom? Not everyone believes in your god or your holy book.)
asante kwa UZi. JustDoItNow atakuwa amekusoma fresh......
 
Last edited by a moderator:
asante kwa UZi. JustDoItNow atakuwa amekusoma fresh......
@ralphtz
Mkuu ralphtz When you discuss something, you have your base stand on it.

Where is your base? Bible? koran? Science? or else? As i said before, Normally science and religion goes together but is strictly difficult to simulate them. For example, in old testament people were dying because of eating pork only because they fail to manage preparation of pig meet as it contain a lot of TB and other infectious bacteria. So they banned it.
Other things are dogmatic and we do not need to ask GOD why?
GOD created woman to help man in many things as well as sexual action.
Now what i wonder is that, why some people nowadays especially Europeans and their fellow Americans force some other people to allow homosexuality?
Ok for your point we should wait people themselves to demand their government to allow homosexuality and not foreigners to force it.
Lastly i would like to know that are you believe in GOD or SATAN? and Religion or Science? Because there are people believe in GOD's religion and other believe in Satan religion.
Be happy and kindly reply using your own knowledge given by GOD or SATAN.
Ahsante sana.
permanides vasco da gamma Ngurubhe mzabzab 1000 digits mavado fungi
 
Last edited by a moderator:
@ralphtz
Mkuu ralphtz When you discuss something, you have your base stand on it.

Where is your base? Bible? koran? Science? or else? As i said before, Normally science and religion goes together but is strictly difficult to simulate them. For example, in old testament people were dying because of eating pork only because they fail to manage preparation of pig meet as it contain a lot of TB and other infectious bacteria. So they banned it.
Other things are dogmatic and we do not need to ask GOD why?
GOD created woman to help man in many things as well as sexual action.
Now what i wonder is that, why some people nowadays especially Europeans and their fellow Americans force some other people to allow homosexuality?
Ok for your point we should wait people themselves to demand their government to allow homosexuality and not foreigners to force it.
Lastly i would like to know that are you believe in GOD or SATAN? and Religion or Science? Because there are people believe in GOD's religion and other believe in Satan religion.
Be happy and kindly reply using your own knowledge given by GOD or SATAN.
Ahsante sana.
permanides vasco da gamma Ngurubhe mzabzab 1000 digits mavado fungi
.
My stand is for Christians, and i'm not pro Gay: I understand the complexity behind all that gay thing, and i may be dogmatic as much as i can be but i can not change the reality by just being an idealistic person.

Pope Francis :
"When I meet a gay person, I have to distinguish between their being gay and being part of a lobby. If they accept the Lord and have goodwill, who am I to judge them? They shouldn't be marginalized. The tendency (to homosexuality) is not the problem ... they're our brothers."
"The problem, he said was, lobbies that work against the interest of the church. Though he was answering a question about the so-called "gay lobby" at the Vatican.

.............................

 
mimi sijakataa kuwa ushoga ni dhambi na ni kazi ya shetani. nakubaliana asilimia 100 kuwa tusikubali kabisa kuhalalisha ushoga. mie tatizo langu lipo kwenye ile kuonyesha double standards. kwa nini tunakemea sana ushoga na kutunga sheria dhidi ya hiyo dhambi lakini wakuu wa nchi hawalaani uzinzi na kutunga sheria dhidi ya hiyo dhambi? tukienda mbali sasa inafika wakati kuwa tunahalalisha uzinzi maana watu wanafunga ndoa wakiwa na mimba kabisa. hili ndio mie nalikataa. tuwe na msimamo mkali pia dhidi ya uzinzi nataka nione waku wa nchi wakisema kuwa sasa jamani yoyote anayehusika na uzinzi ni kufungwa.

Wewe jamaa kitu gani ambacho huelewi? mbona unakazania sana vitendo vingine vya ngono? issue hapa ni kuwa ushoga ni"Unnatural" si kwa binadamu pekee hata wanyama hawafanyi tendo kama hilo, sasa usilazimishe kulinganisha ushoga na makosa mengine, hapa ni kuwa mwanamume anaingiliwa sehemu ya aja kubwa ambayo toka mungu amemuumba kazi yake ni kutoa kinyesi tuu,sasa binadamu na tamaa zake analazimisha kuingilia eneo hilo ndio maana inaitwa kinyume na maumbile!! ungesema hivi kama mtu anazaliwa na kujikuta hisia zake ziko kwenye sehemu hiyo ya kutolea haja kubwa basi tuweke mjadala hapa na wataalamu watueleze ni kweli?au watu wanalazimisha tuu, na je kama kuna dawa za kuongeza nguvu za kiume je za kuondoa hisia za kufirwa haziwezi kupatikana? hapo ndio mjadala ujikite na si kulazimisha ushoga kwa kuuita haki za binadamu, mkumbuke waafrika na wazungu calture zetu zinatofautiana sana,umasikini tulionao unatoka na tawala zetu kushindwa ingawa tumejaaliwa mali nyingi za asili, kwa hiyo kinachotakiwa kwetu ni kujiimarisha kiuchumi ili nchi zetu zisiingie kwenye mtego wa ushoga, watoto wetu watatulaani sasa baadaye.
 
How unfortunate that the Pope doesn't realize that the conduct of man has already been judged by God.Our conduct is either accepted or rejected by the bible so we don't have to judge conduct because it has been done by the One who defines righteousness. 1 Corinthians 6:9-11; 1 Timothy 1:10; Romans 1:27; Hebrews 13:4

'True Christianity' does not conform to the desires of the people but holds God's righteous standards on high and abides by them. 1 John 5:3; 2 John 1:6; 1 Corinthians 5:13
 
we unaotetea mashoga hebu lete ------ yako....tukuonyeshe kwann watu wanaupinga ushoga
 
Back
Top Bottom