Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ila vina sambaza Ukimwi!
Itakuja lini huku kwetu hii sheria?
I can't wait kuona watu watakavyo babaika!!
tena alitakiwa kuweka kipengele cha kuwabaka kabisa...wanatufanya tushindwe kutembea kwa raha migegedo juu juu tuu.
Ila vina sambaza Ukimwi!
Vimini havileti ukimwi...
Vimini havileti ukimwi...
Mtu mwingine hawezi kukusambazia wewe ukimwi, UKIMWI si ugonjwa wa kuambukizana.
Vinaleta Nyege.
Mtetea havai kimini mbona jogoo anapata nyege?
na anakimbiza hadi anajikwaa....
Huku haiwezi kuja sababu ya joto kali hasa Dar
N nyege hazileti ukimwi!!
Mtetea havai kimini mbona jogoo anapata nyege?
na anakimbiza hadi anajikwaa....
vp na ww unapenda kimin bi dada!
napenda sana....
Sawa wacha nikubaliane na wewe! VIMINI VINACHANGIA MAAMBUKIZI YA UKIMWI!
Maadili ya Mwafrika nayalindwe kwa namna yoyote ile!!! Kudos museveni!!!