Uganda yasalimisha umiliki uwanja wa ndege Entebbe kwa Wachina

Uganda yasalimisha umiliki uwanja wa ndege Entebbe kwa Wachina

Hahaha,Naipenda Afrika na viongoz wake wote.Walianza na sisi mikataba ya gasi asilia ya mtwara,wakaja Zambia Sasa waganda.Nani alisema viongozi wa ccm wanatupeleka sehemu sahihi!
 
Hafu watawala wa africa hujipendekeza kwa nchi kisa hawakemei udictator ona sasa yanayotokea Uganda, na tanzania tujifunze hyo bandari ya bagamoyo
 
Nafikiri kungekuwa na kuweka Bond Magu angetuambua tu kuwa eti wanataka airport ila ugumu wa pale ni kuwa kutoemdeleza Bandari nyingine alafu wakishachukua lile eneo ndiyo basi ni lao hupaswi kuwauliza wanaweka nini wala nani kaja pale, suala la usalama ni lao na suala wanafanya nini nje na Bandari huruhusiwi zaidi utaletewa report tu kuwa mwaka huu tumepata hasara ya billion 90 huku ukisubiri siku wapate faida ndo wakupe gawio.
Watoto na wajukuu zetu watakuja kutulaumu kwa maamuzi mabovu yanayofanyika leo
 
These peoples there are using makalio for thinking,unawezaje kupeleka gesi nje nawewe unahitaji kuitumia.....
 
Tanzania tayari tushafika huko,

Tungeweza kuyadhibiti angalau hata sehemu ya kuyazika yanayotapanya Mali za umma na kusaini mikataba ya hovyo ili angalau wajukuu zetu wakiwa wanapitia machungu ya maisha wapite hata kwenye makaburi yao wayapige hata mateke na kuyapupulia juu, hovyo kabisa.
 
Uganda. Maafisa wakuu wa Uganda wamejikuta kwenye tafrani baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe.

Baadhi ya masharti yasiyofaa katika mkataba wa mkopo huo ambao Uganda ilitia saini na Benki ya Export-Import (Exim) ya China Machi 31, 2015, ikiwa hayatarekebishwa, yanaweka wazi mali huru ya Uganda kwenye viambatisho na kuchukua tuzo baada ya usuluhishi huko Beijing.

Kesi dhidi ya mali ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Uganda (UCAA) na mkopeshaji hazitalindwa na kinga ya mtu binafsi kwani serikali ya Uganda, katika makubaliano ya 2015, iliondoa kinga hiyo kwa mali ya uwanja wa ndege

[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
Mwambieni Bikubwa Bandari Bagamoyo ASITUINGIZE CHAKA
Screenshot_20211126-145539_Facebook.jpg
 
Hafu watawala wa africa hujipendekeza kwa nchi kisa hawakemei udictator ona sasa yanayotokea Uganda, na tanzania tujifunze hyo bandari ya bagamoyo
Bora mabeberu wata tunza mazingira wata tulipa mishaara mizur ata wakija kutuachia bandari itakuwa kwenye ubora

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi sisi kwenye bandari ya bagamoyo tunaweka bondi kitu gani?

[emoji851][emoji851]ukute viungo vyetu vya nyuma milioni 60 vimejazwa kwenye makaratasi huko na hatujui tumekaa hapa[emoji13][emoji13]
 
Hii miradi ya Wachina ipo kama karata tatu au chambo kwa samaki, mtu ukiingia tu kwenye 18 zao umeliwa !!🤣🤣.

Wachina ni wachawi. Uchawi wao kwa waafrika hutuponagi.
Ujumbe huu aupate andujne kiongozi wa mazuzu! Yaani alipelekwa china akaoneshwa mapichapicha mgogo huyu akaingia mzima mzima!
 
Back
Top Bottom