mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Bado Tanzania!
Hyo mikopo mnayokopa kila siku na matumiz ya mikopo hiyo hayaijulikan huku deni la Taifa linapaa kila kukicha itawatokea puani!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado Tanzania!
Hyo mikopo mnayokopa kila siku na matumiz ya mikopo hiyo hayaijulikan huku deni la Taifa linapaa kila kukicha itawatokea puani!!
Hilo ni dictator la EAMseveni ndiyo maana hataki kutoka madarakani
YapHilo ni dictator la EA
C wajenge kwao na kwao bahari si hipo tuTanzania inatakiwa kulipa compasation ya hela itakayotumiwa na China kuchimba bandari ya bagamoyo.
We hujiulizi kwa nini China wanaitaka sana hiyo bandari kuliko sisi tunavyoitaka? Wachina wako tayari kuuwa kiongozi yoyote anayepinga bandari hiyo.
Bandari ya Bagamoyo sio mkopo ni tri Gvt financing kuna Oman TZ na China.bilioni 450tsh zimewatoa kamasi waganda,sisi ni trillion 21,wengine tulipokuwa tunalia kifo cha magufuli tulionekana kana kwamba tunalilia ulaji kukatika,sijui ulaji gani ulikuwepo awamu ya 5[emoji17][emoji17]
Hata figo zetu watachukua,hawa zingzong wametumwa pesa aisee wamemaliza miti yetu yote mikubwa wamepeleka kwao kidogo wamalize punda zote nchini.Wakikubaliana kule bwagamoyo watuambie na sisi wanaweka nini bondi, maana hawa zungoren hawashindi kuchukua hata watu!
bilioni 450tsh zimewatoa kamasi waganda,sisi ni trillion 21,wengine tulipokuwa tunalia kifo cha magufuli tulionekana kana kwamba tunalilia ulaji kukatika,sijui ulaji gani ulikuwepo awamu ya 5[emoji17][emoji17]
Hivi washaanza hata kuchimba mtaro kweli,story za bomba kitambo Sana nazisikiaM7 Ni muongo maisha yake yote,hilo bomba halitajengwa Wala nini.Kule Tanga si tulimpa bandari miaka mingi ilishapita,hajawahi kuifanyia chochote kile.
Yule jamaa Ni muongo EA hakuna wa kumfikia.
😄😄 Hakuna kitu mzee,Ni bila bila tu.Hivi washaanza hata kuchimba mtaro kweli,story za bomba kitambo Sana nazisikia
Yule dingi maneno mingi muongo Sana kama swahiba wake😄😄 Hakuna kitu mzee,Ni bila bila tu.
Taarifa za ndani sanaaaa, eti tumeiweka zanzibar [emoji1787][emoji1787][emoji1787].koloni letuuHivi sisi kwenye bandari ya bagamoyo tunaweka bondi kitu gani?
Taarifa za ndani sanaaaa, eti tumeiweka zanzibar [emoji1787][emoji1787][emoji1787].koloni letuu
Kwani tumekopa tena?Wakuu, wahenga walisema " mwenzio akinyolewa, zako tia maji' hawakukosea!!
Kumekuwa na malalamiko mengi mno kutoka kwa wadau wenye mapenzi mema na nchi yetu pendwa Tanzania( Nikiwemo Mimi mshale21 ), juu ya mikopo na kupanda kwa Kasi kwa deni la Taifa, huku kukiwa na viuluzo vingi namna ambavyo fedha hizo zinatumiwa katika kutekeleza miradi mbalimbali, matokeo yake, waziri Mwigulu simple tu antoka hadharan anadai tuangalie miradi inayoendelea nchini!!
Tunaporaise doughts juu ya ukuaji wa deni la Taifa hatukurupuk, tunapoonesha kutia mashaka kwenye mikopo tunayoipata kimataifa hatukurupuk, pamoja na kwamba mikopo inakuja na mashart yake na kwamba ni masharti magum au laah, ikumbukwe deni la Taifa linapanda daily, na ni muhim kuonyesha umakini mkubwa katika suala hili!
Bila shaka Rais Samia na Rais wa muda wote wa uganda , Rais Museveni ni marafiki sana, na wanashirikiana sana, na wanapongezana sana , sasa Uganda uwanja wa ndege mchina kapita nao kwa kushindwa kulipa deni, huku kwetu deni linakua kwa Kasi sana!
Kwa kuwa tumeona exactly madhara ya kushindwa kulipa deni kwa kujifunza kwa majirani zetu, ni muhimu Rais Samia aongeze umakini sana kwenye maswala ya mikopo!
Deni la Taifa ni kubwa , Bado mnang'ang'ana mikopo na miradi inayozidi uwezo wa uchumi tulio nao, hii ni hatari sana, na kwa mfumo huu ipo siku tutasikia mbuga Fulani au ziwa au mgodi fulan sio Mali ya Tanzania!!
Punguzen matumiz yasiyo ya lazima