mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Kuna kitu kinitwa debt trap
hapa kuna tsh 21 trillion inalipwaje hii???wakati bajeti tu huwa ni 18trillion na huwa inatajwa 33trillion[emoji16][emoji16]
naskia uchimbaji wa gesi uwekezaji ni 70trillion,na deal linanyemelewa kwa kasi muda wowote ngoma inamalizwa mezani.
nina imani 1000% huyu mama hana sauti,kuna genge lenye tamaa na kiu kavu limeshapora udhibiti wake.